Sa 7 mchana
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 5,214
- 10,276
Wadau nipo ovest ichi kipengele kinanichanganya wakuu. Nashindwa kuelewa nakitambukaje.
Kila kitu nipo sawa isipokuwa tu iyo Bima ya afya wanayoitaka wao ya €30,000 sawa na Tsh 80m.
Kunatips za kuitambuka hii. Nataka kwenda kama mtalii au mwanafunzi wa kujilipia.
Moderator nisaidie kupunguza izo sifuri tatu za mwisho kwenye title ya uzi, isomeka £30,000 na sio £30,000,000 kama ilivyo sasa.
Kila kitu nipo sawa isipokuwa tu iyo Bima ya afya wanayoitaka wao ya €30,000 sawa na Tsh 80m.
Kunatips za kuitambuka hii. Nataka kwenda kama mtalii au mwanafunzi wa kujilipia.
Moderator nisaidie kupunguza izo sifuri tatu za mwisho kwenye title ya uzi, isomeka £30,000 na sio £30,000,000 kama ilivyo sasa.