Hichi kipengele cha Health Insurance €30,000 Schegen visa tunakirukaje

Hichi kipengele cha Health Insurance €30,000 Schegen visa tunakirukaje

Mimi sio mswahili mwezako ni bepari na huwezi kukaa kwenye hotel yangu ni gali sana .
Mimi ni member wa IHG ndugu yangu; sikai Hilton au Wyatt bure bure. Nilitaka pesa ninazopeleka huko nikuletee wewe. Kama huna hotel ndani ya IHG basi usitambe na huenda hoteli hiyo ya kufikirika haipo kabisa. Inawezekana unauza guest house au uko kwenye mtandao kama AirBnB ambao hata mimi nimo ndani yake baada ya watoto wangu kuondoka nyumbani walipokomaa lakini sisemi nina hoteli.
 
Mimi ni member wa IHG ndugu yangu; sikai Hilton au Wyatt bure bure. Nilitakanpesa ninazopeleka huko nikuletee wewe. Kama huna hotel ndani ya IHG basi usitambe na huenda hoteli hiyo ya kufikiriak haipo kabisa. Inawezekana unauza guest house au uko kwenye mtandao kama AirBnB ambao hata mimi nimo ndani yake baada ya watoto wangu kuondoka nyumbana walipokomaa lakini sise i nina hoteli.
Kumekucha
 
Mimi ni member wa IHG ndugu yangu; sikai Hilton au Wyatt bure bure. Nilitaka pesa ninazopeleka huko nikuletee wewe. Kama huna hotel ndani ya IHG basi usitambe na huenda hoteli hiyo ya kufikirika haipo kabisa. Inawezekana unauza guest house au uko kwenye mtandao kama AirBnB ambao hata mimi nimo ndani yake baada ya watoto wangu kuondoka nyumbani walipokomaa lakini sisemi nina hoteli.
What is IHG??
 
Mimi ni member wa IHG ndugu yangu; sikai Hilton au Wyatt bure bure. Nilitaka pesa ninazopeleka huko nikuletee wewe. Kama huna hotel ndani ya IHG basi usitambe na huenda hoteli hiyo ya kufikirika haipo kabisa. Inawezekana unauza guest house au uko kwenye mtandao kama AirBnB ambao hata mimi nimo ndani yake baada ya watoto wangu kuondoka nyumbani walipokomaa lakini sisemi nina hoteli.
Airbnb kuna za 12.000$ kwa week sasa kama unaweza hizo karibu
 
Hujui IHG ni nini halafu unakuja kujambajamba hapa?

Mtego Mdogo tu umejaa jinga kabisa.
Kuuliza sio ujinga nini mpumbavu tu atakae jifanya anajua na kama wewe mstaarabu hujibu swali kwa hiyo nimeelewa uwezo wako wa kufiri na kiwango chako cha uelewa ni kidogo sana
 
France unachukuwa tourist viza ya Sheghen lakini lazima uingilie France kwanza kabla ya kwenda hizo nchi nyingine.
Nchi zao nyingi ndio utaratibu wao huo ukishaingia tu hakuna utaratibu tena wa kusumbuliwa unakokwenda ukitoka hiyo Nchi uliyoombea Visa...
 
Kitu kilichokugopeshani hiyo amount. Yaani bima utakayokata lazima iweze kucoverliability ya USD 30,000 na sio kwamba ukakate bima ya kiasi hicho.

Travel insurance zinaanza dollar 30 na kuendelea na unapata cover ya mpala USD30,000. Makampuni mengi ya bima yanayo hiyo huduma tha highest utalipa ni USD 100.
Kila la kheri
 
From Passport to Visa Applications & Appointments..
Contact us today!!

Tunapatikana:

Jengo la White Beach Park,Tanki Bovu,
Mbezi Beach, Dar es Salaam, Tanzania.
Wasiliana nasi kwa maelezo zaidi.
Social Media Banner.jpg
 

Bro kama unaenda Europe kata hiyo package Kwa 155$ unampata booking ya hotel,flight na insurance hata kama usipozitumia. Hizo ni legit booking za kuombea visa na hiyo insurance ndio utaitumia.

Nanunua hiyo package ndio naombea visa,nikipata visa ya Schengen hua hizo booking na flight situmii ila insurance nakua nayo tayari.
 
Kwenda Europe Kwa tourist visa ni rahisi,kwenda Europe sio lazima uende kutafuta michongo na Maisha sometimes unaenda kuangaza angaza Dunia na kujua historia. Ukitembea unaenjoy maisha in HD level. Tafuta hela bongo nenda ulaya hata siku tano ukatembee urudi update mzuka zaidi wa kutafuta pesa uende Tena sehemu nyengine.
 
Back
Top Bottom