Hichi kipengele cha Health Insurance €30,000 Schegen visa tunakirukaje

Hichi kipengele cha Health Insurance €30,000 Schegen visa tunakirukaje

Usitishe watu mkuu, lugha hakuna aliyezaliwa nayo, lugha unajifunza Tena nchi ambayo hawatumii Kingereza unajifunza lugha kwa haraka.

Hizi kazi non professional jobs wala hazina strictly ya lugha, unajifunza lugha humohumo.

Kuna Dogo wangu yupo Nice France katoka Bongo hata Kingereza chenyewe cha kuungaunga sema uzuri yule Mungu aliyemchukuwa anaongea kiswahili, kwahiyo yupo France na sasa anaongea kifaransa amejifunza akiwa Ufaransa Tena yeye ni mpishi wa tycoon house, imagine hiyo Nyumbani haikosi wageni na wewe ndio uwasikilize na uwahudumie na amejuwa lugha kwa kuishi nao tu.
Kwa hiyo yeye ni house boy?? Housekeeper kistaarabu hizo kazi ziko nyingi lakini inabidi ujue jinsi ya kufanya usafi vile vile muulize atakwambia .
 
Kwa hiyo yeye ni house boy?? Housekeeper kistaarabu hizo kazi ziko nyingi lakini inabidi ujue jinsi ya kufanya usafi vile vile muulize atakwambia .
Unakurupuka sana, unajuwa kazi ya kupika ulaya? Tena kwenye kasri la tajiri?

Bongo alikubali mazishi yake kwenye kampuni ya utalii kwenye camp zao porini ndio maana akamtowa kwenye kampuni Bongo na kumuhamishia ulaya Nyumbani kwake ambalo anatembelewa na matajili wenzake wengi.

Halafu ujifunze kitu kimoja hapa JF tunapoandika vitu huwa hatufungui code zote, ukifunguka sana mtu akipita humu anajuwa wazi anayejuwa hili ni mtu Fulani tu.

Kwahiyo siyo unavyofikiri Dogo ametobowa Tena ili awe comfortable kufanya kazi tajiri amepeleka na mke wake kutoka bongo wanaishi wote, hajui kodi ya Nyumbani wala gharama ya chakula, sasa imagine mtu ambaye yupo serious na maisha kwa miaka mitano atakuwa mtu wa aina gani?
 
Ukishaingia ngoma unaicheza humo humo, tourist viza ndio njia rahisi kama huna mtu wa kukugurentee invitation na kuthibitisha kukuhudumia ukiwa Shenghen countries.

Ni viza rahisi sana kama unaalikwa na raia wa Shenghen kule kuna form anajaza kudeclare atakuhost kwa kila kitu shughuri imeisha.

Ndio maana unaona hawa marasta wanaovuta bangi na wazungu wakiwachukuwa kwenda nao ulaya hakuna usumbufu wowote.

Kwa kifupi ni kwamba viza ya nchi za ulaya kama unaalikwa na raia au Mgeni mwenye makazi ya kudumu yeye ndio anakuombea viza wewe ubalozini unapekeka application tu. Na kupewa viza yako.
Asante kwa maelezo mazuri. SWALI hapanji kwamba kama nikiingia kwa tourist Visa, hapo sijapata mwaliko Bali nimepambana na kuingia kama mtalii. Sasa nikifika huko nitafanyaje ili nibadili status na kupata kufanya vibarua?
 
Unakurupuka sana, unajuwa kazi ya kupika ulaya? Tena kwenye kasri la tajiri?

Bongo alikubali mazishi yake kwenye kampuni ya utalii kwenye camp zao porini ndio maana akamtowa kwenye kampuni Bongo na kumuhamishia ulaya Nyumbani kwake ambalo anatembelewa na matajili wenzake wengi.

Halafu ujifunze kitu kimoja hapa JF tunapoandika vitu huwa hatufungui code zote, ukifunguka sana mtu akipita humu anajuwa wazi anayejuwa hili ni mtu Fulani tu.

Kwahiyo siyo unavyofikiri Dogo ametobowa Tena ili awe comfortable kufanya kazi tajiri amepeleka na mke wake kutoka bongo wanaishi wote, hajui kodi ya Nyumbani wala gharama ya chakula, sasa imagine mtu ambaye yupo serious na maisha kwa miaka mitano atakuwa mtu wa aina gani?
Ni housekeeper anapewa Euro 1400 wakikata kila kitu anabaki na 800 maisha yanaendelea hata Tanzania angepata mshahara huo kama amefanya kazi vizuri
 
Sidhani kama unakijuwa ulichokiandika, Shenghen countries ni nchi 26 za ulaya.

Belgium, Czech Republic, Denmark, Germany, Estonia, Greece, Spain, France, Italy, Latvia, Lithuania, Luxembourg, Hungary, Malta, Netherlands, Austria, Poland, Portugal, Slovenia, Slovakia, Finland Sweden, pamoja na Iceland
Kwa hiyo unaweza tumia viza ya Europe kuingia Sheghen!!??
 
Asante kwa maelezo mazuri. SWALI hapanji kwamba kama nikiingia kwa tourist Visa, hapo sijapata mwaliko Bali nimepambana na kuingia kama mtalii. Sasa nikifika huko nitafanyaje ili nibadili status na kupata kufanya vibarua?
Mambo mengine ya life style ukifika utaelewa style wanayotumia wenzako kuishi.

Hata hawa Wachina unaowaona Bongo wanafanya biashara viza zao haziwaruhusu kufanya hayo wanayoyafanya.

Mwisho kabisa ujanja ukipata mwanamke wa kuowa tu shughuri imekwisha, na hili wala si gumu kama unajitambuwa.
 
Asante kwa maelezo mazuri. SWALI hapanji kwamba kama nikiingia kwa tourist Visa, hapo sijapata mwaliko Bali nimepambana na kuingia kama mtalii. Sasa nikifika huko nitafanyaje ili nibadili status na kupata kufanya vibarua?
Si unajilipua unakua mkimbizi ghafla kutoka kua Mtalii!!
 
Back
Top Bottom