Hichi kipengele cha Health Insurance €30,000 Schegen visa tunakirukaje

Hichi kipengele cha Health Insurance €30,000 Schegen visa tunakirukaje

Sheria ya viza za Sheghen zinataka Nchi utakayo kaa siku nyingi ndiyo hiyo unaombea viza!!
Huwezi kwenda ulaya bila kuwa na main destination,

Main destination yako ndio unayoombea viza na ndio unakuwa na supporting documents zako za kupewa viza.

Usidhani wazungu ni wajinga kuondowa border kwenye nchi zao za Shenghen, wameweka standard nchi yoyote kati yao itakayokupa viza basi una sifa ya kuingia nchi zote kuondowa urasimu.

Uzuri wa France invitation yangu ilitumwa direct ubalozini kwao Dar na anayenialika ni mzungu mwenzao wanamjuwa vizuri na Tanzania ilimpa ubalozi wa heshima Nice France, kwahiyo ni viza ya kuokota tu.
 
Huwezi kwenda ulaya bila kuwa na main destination,

Main destination yako ndio unayoombea viza na ndio unakuwa na supporting documents zako za kupewa viza.

Usidhani wazungu ni wajinga kuondowa border kwenye nchi zao za Shenghen, wameweka standard nchi yoyote kati yao itakayokupa viza basi una sifa ya kuingia nchi zote kuondowa urasimu.

Uzuri wa France invitation yangu ilitumwa direct ubalozini kwao Dar na anayenialika ni mzungu mwenzao wanamjuwa vizuri na Tanzania ilimpa ubalozi wa heshima Nice France, kwahiyo ni viza ya kuokota tu.
Viza ya kualikwa na mzawa haina mashariti magumu Kama viza za tourist na student! Alafu Dr nakukumbusha tu Ulaya haiko Sheghen!!
 
Maana usije ukaomba viza ya Ulaya ukataka kwenda Sheghen!!!
Sidhani kama unakijuwa ulichokiandika, Shenghen countries ni nchi 26 za ulaya.

Belgium, Czech Republic, Denmark, Germany, Estonia, Greece, Spain, France, Italy, Latvia, Lithuania, Luxembourg, Hungary, Malta, Netherlands, Austria, Poland, Portugal, Slovenia, Slovakia, Finland Sweden, pamoja na Iceland
 
Nauliza tu. Ukiingia na tourist Visa unaweza kubadili na kuanza KUSAKA maisha?
Ukishaingia ngoma unaicheza humo humo, tourist viza ndio njia rahisi kama huna mtu wa kukugurentee invitation na kuthibitisha kukuhudumia ukiwa Shenghen countries.

Ni viza rahisi sana kama unaalikwa na raia wa Shenghen kule kuna form anajaza kudeclare atakuhost kwa kila kitu shughuri imeisha.

Ndio maana unaona hawa marasta wanaovuta bangi na wazungu wakiwachukuwa kwenda nao ulaya hakuna usumbufu wowote.

Kwa kifupi ni kwamba viza ya nchi za ulaya kama unaalikwa na raia au Mgeni mwenye makazi ya kudumu yeye ndio anakuombea viza wewe ubalozini unapekeka application tu. Na kupewa viza yako.
 
Ukishaingia ngoma unaicheza humo humo, tourist viza ndio njia rahisi kama huna mtu wa kukugurentee invitation na kuthibitisha kukuhudumia ukiwa Shenghen countries.

Ni viza rahisi sana kama unaalikwa na raia wa Shenghen kule kuna form anajaza kudeclare atakuhost kwa kila kitu shughuri imeisha.

Ndio maana unaona hawa marasta wanaovuta bangi na wazungu wakiwachukuwa kwenda nao ulaya hakuna usumbufu wowote.

Kwa kifupi ni kwamba viza ya nchi za ulaya kama unaalikwa na raia au Mgeni mwenye makazi ya kudumu yeye ndio anakuombea viza wewe ubalozini unapekeka application tu. Na kupewa viza yako.
Tatizo ni je una ujuzi wowote wa kazi maalum na lugha unafahamu ulipo fikia nchi za shengen hawafahamu kingereza au Kiswahili au kimangungwe je utafanyaje kazi bila lugha?? Itabidi ufanye kazi za shambani au ukuli au kufagia barabara hata hizo unahitaji ujuzi na za hotelini au upishi ni ngumu unataji uzoefu labda aliekualika akusaidie mpaka lini na wabongo hawataki kazi za kubeba boxi kwa hiyo maisha ulaya yatakuwa magumu sana na mwenyeji mwisho atakufukuza kwa uzembe wako kwani yeye ndio itabidi alipe serikalini kama una shida huo ndio ukweli
 
Tatizo ni je una ujuzi wowote wa kazi maalum na lugha unafahamu ulipo fikia nchi za shengen hawafahamu kingereza au Kiswahili au kimangungwe je utafanyaje kazi bila lugha?? Itabidi ufanye kazi za shambani au ukuli au kufagia barabara hata hizo unahitaji ujuzi na za hotelini au upishi ni ngumu unataji uzoefu labda aliekualika akusaidie mpaka lini na wabongo hawataki kazi za kubeba boxi kwa hiyo maisha ulaya yatakuwa magumu sana na mwenyeji mwisho atakufukuza kwa uzembe wako kwani yeye ndio itabidi alipe serikalini kama una shida huo ndio ukweli
Usitishe watu mkuu, lugha hakuna aliyezaliwa nayo, lugha unajifunza Tena nchi ambayo hawatumii Kingereza unajifunza lugha kwa haraka.

Hizi kazi non professional jobs wala hazina strictly ya lugha, unajifunza lugha humohumo.

Kuna Dogo wangu yupo Nice France katoka Bongo hata Kingereza chenyewe cha kuungaunga sema uzuri yule Mungu aliyemchukuwa anaongea kiswahili, kwahiyo yupo France na sasa anaongea kifaransa amejifunza akiwa Ufaransa Tena yeye ni mpishi wa tycoon house, imagine hiyo Nyumbani haikosi wageni na wewe ndio uwasikilize na uwahudumie na amejuwa lugha kwa kuishi nao tu.
 
Wadau nipo ovest ichi kipengele kinanichanganya wakuu. Nashindwa kuelewa nakitambukaje.

Kila kitu nipo sawa isipokuwa tu iyo Bima ya afya wanayoitaka wao ya €30,000 sawa na Tsh 80m.

Kunatips za kuitambuka hii. Nataka kwenda kama mtalii au mwanafunzi wa kujilipia.
View attachment 2680634

Moderator nisaidie kupunguza izo sifuri tatu za mwisho kwenye title ya uzi, isomeka £30,000 na sio £30,000,000 kama ilivyo sasa.
kwa mwezi ni euro 62 minimum

 
Back
Top Bottom