Hichi kipengele cha Health Insurance €30,000 Schegen visa tunakirukaje

Kwa hiyo yeye ni house boy?? Housekeeper kistaarabu hizo kazi ziko nyingi lakini inabidi ujue jinsi ya kufanya usafi vile vile muulize atakwambia .
 
Kwa hiyo yeye ni house boy?? Housekeeper kistaarabu hizo kazi ziko nyingi lakini inabidi ujue jinsi ya kufanya usafi vile vile muulize atakwambia .
Unakurupuka sana, unajuwa kazi ya kupika ulaya? Tena kwenye kasri la tajiri?

Bongo alikubali mazishi yake kwenye kampuni ya utalii kwenye camp zao porini ndio maana akamtowa kwenye kampuni Bongo na kumuhamishia ulaya Nyumbani kwake ambalo anatembelewa na matajili wenzake wengi.

Halafu ujifunze kitu kimoja hapa JF tunapoandika vitu huwa hatufungui code zote, ukifunguka sana mtu akipita humu anajuwa wazi anayejuwa hili ni mtu Fulani tu.

Kwahiyo siyo unavyofikiri Dogo ametobowa Tena ili awe comfortable kufanya kazi tajiri amepeleka na mke wake kutoka bongo wanaishi wote, hajui kodi ya Nyumbani wala gharama ya chakula, sasa imagine mtu ambaye yupo serious na maisha kwa miaka mitano atakuwa mtu wa aina gani?
 
Asante kwa maelezo mazuri. SWALI hapanji kwamba kama nikiingia kwa tourist Visa, hapo sijapata mwaliko Bali nimepambana na kuingia kama mtalii. Sasa nikifika huko nitafanyaje ili nibadili status na kupata kufanya vibarua?
 
Ni housekeeper anapewa Euro 1400 wakikata kila kitu anabaki na 800 maisha yanaendelea hata Tanzania angepata mshahara huo kama amefanya kazi vizuri
 
Kwa hiyo unaweza tumia viza ya Europe kuingia Sheghen!!??
 
Asante kwa maelezo mazuri. SWALI hapanji kwamba kama nikiingia kwa tourist Visa, hapo sijapata mwaliko Bali nimepambana na kuingia kama mtalii. Sasa nikifika huko nitafanyaje ili nibadili status na kupata kufanya vibarua?
Mambo mengine ya life style ukifika utaelewa style wanayotumia wenzako kuishi.

Hata hawa Wachina unaowaona Bongo wanafanya biashara viza zao haziwaruhusu kufanya hayo wanayoyafanya.

Mwisho kabisa ujanja ukipata mwanamke wa kuowa tu shughuri imekwisha, na hili wala si gumu kama unajitambuwa.
 
Asante kwa maelezo mazuri. SWALI hapanji kwamba kama nikiingia kwa tourist Visa, hapo sijapata mwaliko Bali nimepambana na kuingia kama mtalii. Sasa nikifika huko nitafanyaje ili nibadili status na kupata kufanya vibarua?
Si unajilipua unakua mkimbizi ghafla kutoka kua Mtalii!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…