Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We Mataga toa hapa usukuma gang wakoMambo makubwa mawili anayofanya Rais wa Zambia katika kujenga nchi leo ndiyo aliyokuwa anafanya Magufuli enzi za uhai wake. Leo hii Zambia wanafurahi.
View attachment 2220919
💯Hichilema amepiga bunduki wazambia wangapi , Ameteka wangapi , amebambikia kesi wangapi ?
Msipende kudanganyana watu jamani kwa mambo msiyoyafahamu.Akili ya tajiri hichilema na mfanyabiashara mkubwa ambae aliukwaa Urais nchini kwake hauwezi kumlinganisha na Magufuli, yaani Zambia. Hakuna wapinzani kukamatwa, kutekwa wala hajafukuza wafanyabiashara kiufupi hana kisasi na mtu amefanya talks na wawekezaji tayari wameongeza kumlipa kodi kwenye kopa
Msipende kudanganyana watu jamani kwa mambo msiyoyafahamu.
Nipo Ndola Zambia hadi leo hii zaidi ya wapinzani wa HH wa nne wana kesi za uhujumu uchumi na mali zao zimeshataifishwa.
Anamaanisha katika kuinua uchumi, yaani mazuri ya JPM. Nadhani Magu amewahisema kua atakumbulwa kwa mazuri. Tafuta clip hiyo.Hichilema amepiga bunduki wazambia wangapi , Ameteka wangapi , amebambikia kesi wangapi ?
Swali la kitoto kabisa!Walikiwa lini wapinzani HH?
Hichilema alikuwa mpinzani hadi mwaka 2021!
HH anachukiwa na matajiri wenziye ile mbaya!Anamaanisha katika kuinua uchumi,yaani mazuri ya JPM.Nadhani Magu amewahisema kua atakumbulwa kwa mazuri.Tafuta clip hiyo.
Kwani haya hakuwahi kuyafanya Magufuli?Huyu SUKUMA GANG
We Mataga toa hapa usukuma gang wako
View attachment 2220944
View attachment 2220945
View attachment 2220946
View attachment 2220948
Kwani jiwe yeye alimfanyia nani hayo kama sio maigizo ya kikundi chenu ilikutia doaHichilema amepiga bunduki wazambia wangapi , Ameteka wangapi , amebambikia kesi wangapi ?