Ridomil gold
JF-Expert Member
- Aug 22, 2020
- 2,790
- 2,232
www ni mpuuuzi huna akili kabisa unawaza UCHADEMA TU KILA KITU HUNA UNALOWAZA BURE KABISA WWEHichilema amepiga bunduki wazambia wangapi , Ameteka wangapi , amebambikia kesi wangapi ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
www ni mpuuuzi huna akili kabisa unawaza UCHADEMA TU KILA KITU HUNA UNALOWAZA BURE KABISA WWEHichilema amepiga bunduki wazambia wangapi , Ameteka wangapi , amebambikia kesi wangapi ?
Huyu hana tofouti na JPM, pdf la kutumbua huwa linatoka usiku moja ya watu aliowatumbua usiku wa manane baada ya sherehe za uhuru ni mkurugenzi mkuu wa usalama wa taifa, mzee ana kinyongo kama magufuli tu 😁HH ana style ya Magu ila kijanja. Makada wa chama tawala mmojammoja anapewa kesi za uhujumu uchumi huku mali zikitaifishwa. Waliokuwa mawaziri sasa hivi tumbo joto. Kisasi cha HH sio poa. Kama hufuatilii siasa za Zambia unaweza ukamwona ni malaika.
Excuses as usual,mda wa fungate unaenda Kasi sana na uchaguzi ukifika sijui kama hiyo itakuwa ndio sera au laa..Hayo ni makosa yaliyofanywa na mtanguliz wake ambaye jamaa anayasahihisha. Ni kwamba Jamaa anabana matumizi yasiyokuwaya lazima, halafu anawekeza kwenye miundombinu. Hiyo ndiyo njia ya serikali kujenga nchi, siyo hii ya kugawana hela hovyo hovyo kwa malipo yasiyokuwa na umuhimu wowote na kudai kuwa unangeza hela kwenye mzunguko. Hela kwenye mzunguka huletwa na shughuli za kiuchumi, hazigawiwiw na serikali kiyenyeji enyeji tu.
Tatizo kubwa ni wapingaji huwa hawaangalii wala kusoma hayo madude wao ni kutekwa, kuua na nk, ndiyo evidence zao.Benki ya Dunia: Vikwazo 12 vya kufanya biashara Tanzania
LICHA ya serikali kuboresha mazingira ya kufanya biashara nchini, Ripoti ya Benki ya Dunia (WB) imetaja vikwazo 12 vya ufanyaji biashara nchini. Katika ripoti hiyo ya mwaka 2019/20 imeonyesha kuwa Tanzania imeboresha baadhi ya mambo kiasi ya kuifanya kushika nafasi ya 141 kati ya 190 mwaka huu...www.jamiiforums.com
Hapa tunaongelea shughuli zakujenga uchumi wa nchi, wewe unaleta siasa za chuki zilizopitwa na wakati. Nchi itajengwa kwa kuzuia matumizi yasiyo ya lazima na kuwekeza kwenye ujenzi wa miundo mbinu; siyo kwa viongozi kupiga safari za nje za kila siku, kufanya mikutano na warsha kwa kutumia hela za walipa kodi hovyohovyo au kwa kucheza sinema.Hichilema amepiga bunduki wazambia wangapi , Ameteka wangapi , amebambikia kesi wangapi ?
Anamaanisha katika kuinua uchumi, yaani mazuri ya JPM. Nadhani Magu amewahisema kua atakumbulwa kwa mazuri. Tafuta clip hiyo.
Sure. Wanaokamatwa kweli wezi.Itakuwa wahujumu uchumi wa kweli sio wa kutengeneza
Msipende kudanganyana watu jamani kwa mambo msiyoyafahamu.
Nipo Ndola Zambia hadi leo hii zaidi ya wapinzani wa HH wa nne wana kesi za uhujumu uchumi na mali zao zimeshataifishwa.
Hichelema mfanyabiashara tajiri, msomi mzuri, Kiingereza kimenyooka...Mambo makubwa mawili anayofanya Rais wa Zambia katika kujenga nchi leo ndiyo aliyokuwa anafanya Magufuli enzi za uhai wake. Leo hii Zambia wanafurahi.
View attachment 2220919
Dictator fakeMagu hakuwa rais,alisema hakujinandaa pia.So tuliongozwa na kivuli cha ntu njinga nchana
Na Usafi Anashiriki...! Aah Kweli ni Magu Mtupu...!!Huyu SUKUMA GANG
We Mataga toa hapa usukuma gang wako
View attachment 2220944
View attachment 2220945
View attachment 2220946
View attachment 2220948
Hao siyo wapinzani. Wakati wewe upo Ndola, mm nipo Lusaka nina info nyingi kuliko wewe.Msipende kudanganyana watu jamani kwa mambo msiyoyafahamu.
Nipo Ndola Zambia hadi leo hii zaidi ya wapinzani wa HH wa nne wana kesi za uhujumu uchumi na mali zao zimeshataifishwa.