Hicho kikundi chenu dhidi ya January Makamba hamtafika popote

Hicho kikundi chenu dhidi ya January Makamba hamtafika popote

Ngungenge

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2016
Posts
2,914
Reaction score
3,386
1. Baada ya January kusema wabunge waendelee kuongea Sasa naona wabunge wamelipa machawa ili wamtandike makamba

2. Umeme haujawahi kuwa stable per sale ingawa tatizo la umeme halijawa serious kiivo machawa wamelipwa kuja juu kumchafua Januari Makamba

3. Wivu ni kitu kibaya sana mlikua na nafasi ya kuendeleza mradi wa Gesi mtwara mkaja na siasa kuwa ule una ufisadi Sasa mmesikia trillion 16 zitapatikana kila mwaka basi wivu unawasumbua hamlali ni January Makamba.

Nawakumbusha tuu
Bado Bomba la mafuta
Bomba la gesi Kenya
Uchimbaji wa mafuta
Bado bandari ya Bagamoyo
Yaani mkae Kwa kutulia

Januari yuko bize kufanya kazi alizotumwa na Rais Samia
Majungu yenu hamtafika popote
 
Yaani hata umeme ukatike mwaka mzima January Makamba anazo sifa na uwezo wa kuwa rais.

Anayempima na kumnanga January Makamba kwa umeme atuambie ni lini umeme umewahi kuwa stable nchi hii.

Hawa sukuma gang tumewastukia.
 
Na chawa wewe kakulipa nani? Nenda kamwambie huyo upara labda ahame Tanzania hii, huu udhalimu ataulipa. Tutamkamua tu na pesa ya watanganyika ataitolea matundu yote mwilini kwake, iwe leo, iwe kesho, iwe mtondogoo.
Kwanzia lini mkawa na akili watu kama nyie
 
Gesi hii ikiisha hawa watakuwa na uwezo wa kunuua ingine?? Na je Inawafikiaje?Na je Serikali ya mama Samia mbali na kupata Kodi inanufaika na nini kwa Mtumishi anaelipiwa V8 mafuta.

Nyumba kufanya kazi ya umeneja masoko wa product isiyo zalishwa na taasisi ya Serikali ambayo anaitumikia na kulipwa mshahara? Tafakari na Chukua hatua.

1658119019306.jpeg
 
Yaani hata umeme ukatike mwaka mzima January Makamba anazo sifa na uwezo wa kuwa rais.

Anayempima na kumnanga January amakamba kwa umeme atuambie ni lini umeme umewahi kuwa stable nchi hii.

Hawa sukuma gang tumewastukia.
Eti wamejipanga kufanya mashambulizi.

Hapa kwangu umeme umekatika leo tuu tena mchana nashangaa mbona ni kawaida tuu Kwa Tanzania
Waulize Lin umeme haujakatika
 
Back
Top Bottom