Achana na machoko haya mkuuEti wamejipanga kufanya mashambulizi
Hapa kwangu umeme umekatika leo tuu tena mchana nashangaa mbona ni kawaida tuu Kwa Tanzania
Waulize Lin umeme haujakatika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Achana na machoko haya mkuuEti wamejipanga kufanya mashambulizi
Hapa kwangu umeme umekatika leo tuu tena mchana nashangaa mbona ni kawaida tuu Kwa Tanzania
Waulize Lin umeme haujakatika
Kama havina mantiki mbona hulali unakesha kuvipambana? Na bado. Mtu afeli form 4 (na hapo kaiba mtihani) aende kuunga uunga vyuo vya kata huko ulaya, asomee tuisheni ya kozi ya upatanishi halafu awe na akili ya kuongoza taifa? Aah hatujawa wajinga kiasi hichoSio njaa hatutaki upambe
Vita yenu na Januari havina mantik
Upambe? Hivi unajiona kweli mkuu....Sio njaa hatutaki upambe
Vita yenu na Januari havina mantik
Mimi nilipwe haha njoo tulime korosho kama uko serious hahaha u knowKwahiyo na wewe umelipwa na January ili uje kuwatandika sawa sawa wale wanaolipwa na kikundi cha Wabunge?
Haya, malizaneni, piganeni tena maeneo ya kupiga ni kichwani tu.
Kila mwenye kosa lake, linasemwa. Nimeshawaambia, aturudishie umeme wetu freshi, maji fresh na bando zirudi kama zamani. Uone kama hatujamsifia mpaka aote nywele.Kuna mtu fulani mwenye mapungufu makubwa ya kibinadamu aliwahi kuwa rais itakuwa mwanadamu mstaarabu na mwenye akiili January Makamba??
Jiwe hakuwa hata vyeti vya kuungaunga lkn alikuwa rais. Itakuwa January Makamba?Kama havina mantiki mbona hulali unakesha kuvipambana? Na bado. Mtu afeli form 4 (na hapo kaiba mtihani) aende kuunga uunga vyuo vya kata huko ulaya, asomee tuisheni ya kozi ya upatanishi halafu awe na akili ya kuongoza taifa? Aah hatujawa wajinga kiasi hicho
Mimi nilipwe haha njoo tulime korosho kama uko serious hahaha u know
We n ngombe mwenzako kafanya field Kwa bil Clinton wakat ww uko Kijiji kwenu nyumba ya nyasi na koroboi huna viatu wala ndala suruali ya shule imechanikaKama havina mantiki mbona hulali unakesha kuvipambana? Na bado. Mtu afeli form 4 (na hapo kaiba mtihani) aende kuunga uunga vyuo vya kata huko ulaya, asomee tuisheni ya kozi ya upatanishi halafu awe na akili ya kuongoza taifa? Aah hatujawa wajinga kiasi hicho
Siwezi kuendeleza mjadala wowote wenye chembechembe ya kumfananisha Rais Magufuli na huyo mvuta bangi.Jiwe hakuwa hata vyeti vya kuungaunga lkn alikuwa rais. Itakuwa January Makamba?
Kwahiyo January Makamba ni waziri wa nishati , waziri wa maji na Waziri wa habari na mawasiliano??Kila mwenye kosa lake, linasemwa. Nimeshawaambia, aturudishie umeme wetu freshi, maji fresh na bando zirudi kama zamani. Uone kama hatujamsifia mpaka aote nywele.
ukweli usemwe1. Baada ya January kusema wabunge waendelee kuongea Sasa naona wabunge wamelipa machawa ili wamtandike makamba
2. Umeme haujawahi kuwa stable per sale ingawa tatizo la umeme halijawa serious kiivo machawa wamelipwa kuja juu kumchafua Januari Makamba
3. Wivu ni kitu kibaya sana mlikua na nafasi ya kuendeleza mradi wa Gesi mtwara mkaja na siasa kuwa ule una ufisadi Sasa mmesikia trillion 16 zitapatikana kila mwaka basi wivu unawasumbua hamlali ni January Makamba.
Nawakumbusha tuu
Bado Bomba la mafuta
Bomba la gesi Kenya
Uchimbaji wa mafuta
Bado bandari ya Bagamoyo
Yaani mkae Kwa kutulia
Januari yuko bize kufanya kazi alizotumwa na Rais Samia
Majungu yenu hamtafika popote
Mvuta bangi ni huyu jiwe ambaye alipaswa kuwa Milembe (by Dr. Antony Diallo)Siwezi kuendeleza mjadala wowote wenye chembechembe ya kumfananisha Rais Magufuli na huyo mvuta bangi.
Usintoe kwenye reli mkuu, nakuorodheshea namna wananchi hatuthaminiki....wewe sjui ni wa Burundi?Kwahiyo January Makamba ni waziri wa nishati , waziri wa maji na Waziri wa habari na mawasiliano??
Kwahiyo ili ulidhike unataka Makamba ayafanye yote hayo??Usintoe kwenye reli mkuu, nakuorodheshea namna wananchi hatuthaminiki....wewe sjui ni wa Burundi?
Yani nimeona umeandika 'ulidhike' nikaona wacha tu nikuhurumie mkuu, najua unapambania ugali wako!!!Kwahiyo ili ulidhike unataka Makamba ayafanye yote hayo??
Sawa mkuu, wewe si watoto wako wataishi kwenye mwezi bhana.Sukuma gang tulieni watu wafanye kazi