Hicho kikundi chenu dhidi ya January Makamba hamtafika popote

Hicho kikundi chenu dhidi ya January Makamba hamtafika popote

Sio njaa hatutaki upambe
Vita yenu na Januari havina mantik
Kama havina mantiki mbona hulali unakesha kuvipambana? Na bado. Mtu afeli form 4 (na hapo kaiba mtihani) aende kuunga uunga vyuo vya kata huko ulaya, asomee tuisheni ya kozi ya upatanishi halafu awe na akili ya kuongoza taifa? Aah hatujawa wajinga kiasi hicho
 
Kwahiyo na wewe umelipwa na January ili uje kuwatandika sawa sawa wale wanaolipwa na kikundi cha Wabunge?

Haya, malizaneni, piganeni tena maeneo ya kupiga ni kichwani tu.
Mimi nilipwe haha njoo tulime korosho kama uko serious hahaha u know
 
Kuna mtu fulani mwenye mapungufu makubwa ya kibinadamu aliwahi kuwa rais itakuwa mwanadamu mstaarabu na mwenye akiili January Makamba??
Kila mwenye kosa lake, linasemwa. Nimeshawaambia, aturudishie umeme wetu freshi, maji fresh na bando zirudi kama zamani. Uone kama hatujamsifia mpaka aote nywele.
 
Kama havina mantiki mbona hulali unakesha kuvipambana? Na bado. Mtu afeli form 4 (na hapo kaiba mtihani) aende kuunga uunga vyuo vya kata huko ulaya, asomee tuisheni ya kozi ya upatanishi halafu awe na akili ya kuongoza taifa? Aah hatujawa wajinga kiasi hicho
Jiwe hakuwa hata vyeti vya kuungaunga lkn alikuwa rais. Itakuwa January Makamba?
 
Kama havina mantiki mbona hulali unakesha kuvipambana? Na bado. Mtu afeli form 4 (na hapo kaiba mtihani) aende kuunga uunga vyuo vya kata huko ulaya, asomee tuisheni ya kozi ya upatanishi halafu awe na akili ya kuongoza taifa? Aah hatujawa wajinga kiasi hicho
We n ngombe mwenzako kafanya field Kwa bil Clinton wakat ww uko Kijiji kwenu nyumba ya nyasi na koroboi huna viatu wala ndala suruali ya shule imechanika
 
Kila mwenye kosa lake, linasemwa. Nimeshawaambia, aturudishie umeme wetu freshi, maji fresh na bando zirudi kama zamani. Uone kama hatujamsifia mpaka aote nywele.
Kwahiyo January Makamba ni waziri wa nishati , waziri wa maji na Waziri wa habari na mawasiliano??
 
1. Baada ya January kusema wabunge waendelee kuongea Sasa naona wabunge wamelipa machawa ili wamtandike makamba

2. Umeme haujawahi kuwa stable per sale ingawa tatizo la umeme halijawa serious kiivo machawa wamelipwa kuja juu kumchafua Januari Makamba

3. Wivu ni kitu kibaya sana mlikua na nafasi ya kuendeleza mradi wa Gesi mtwara mkaja na siasa kuwa ule una ufisadi Sasa mmesikia trillion 16 zitapatikana kila mwaka basi wivu unawasumbua hamlali ni January Makamba.

Nawakumbusha tuu
Bado Bomba la mafuta
Bomba la gesi Kenya
Uchimbaji wa mafuta
Bado bandari ya Bagamoyo
Yaani mkae Kwa kutulia

Januari yuko bize kufanya kazi alizotumwa na Rais Samia
Majungu yenu hamtafika popote
ukweli usemwe
 
Kwahiyo January Makamba ni waziri wa nishati , waziri wa maji na Waziri wa habari na mawasiliano??
Usintoe kwenye reli mkuu, nakuorodheshea namna wananchi hatuthaminiki....wewe sjui ni wa Burundi?
 
Yani nimeona umeandika 'ulidhike' nikaona wacha tu nikuhurumie mkuu, najua unapambania ugali wako!!!

Ina maana sijaorodhesha hapo juu nini kifanyike? Una shida nyingi sana mkuu.
Tafuta ela umeme Huwa haukatiki u know
 
Back
Top Bottom