Hicho kikundi chenu dhidi ya January Makamba hamtafika popote

Hicho kikundi chenu dhidi ya January Makamba hamtafika popote

Yaani hata umeme ukatike mwaka mzima January Makamba anazo sifa na uwezo wa kuwa rais.

Anayempima na kumnanga January Makamba kwa umeme atuambie ni lini umeme umewahi kuwa stable nchi hii.

Hawa sukuma gang tumewastukia.
Stupidity reply [emoji706][emoji706][emoji706]
 
Watu wanapata shida bure, Tz hii Kuna watu bila kujali KWa sasa Wana nafasi ila Urais wa nchi hii wataendelea kuusoma kwenye magezeti,

January, nape, mwigulu, ila yupo dogo mmoja KWa sasa yupo CCm ila miaka ijayo kupitia nje ya CCM atakuja kuwa Rais wa nchi hii/ pm/ maana kipindi hicho ccm haitakuwepo kabisa
 
1. Baada ya January kusema wabunge waendelee kuongea Sasa naona wabunge wamelipa machawa ili wamtandike makamba

2. Umeme haujawahi kuwa stable per sale ingawa tatizo la umeme halijawa serious kiivo machawa wamelipwa kuja juu kumchafua Januari Makamba

3. Wivu ni kitu kibaya sana mlikua na nafasi ya kuendeleza mradi wa Gesi mtwara mkaja na siasa kuwa ule una ufisadi Sasa mmesikia trillion 16 zitapatikana kila mwaka basi wivu unawasumbua hamlali ni January Makamba.

Nawakumbusha tuu
Bado Bomba la mafuta
Bomba la gesi Kenya
Uchimbaji wa mafuta
Bado bandari ya Bagamoyo
Yaani mkae Kwa kutulia

Januari yuko bize kufanya kazi alizotumwa na Rais Samia
Majungu yenu hamtafika popote
Jamaa wanajiongelesha wewe utadhani tulikuwa Eden sasa tuko Duniani wakti hakuna siku umeme uliwahi kuacha bila kukatika..

Yule taahira alikuwa amerundika mitoto ya wanyonge kwenye madarasa na yanakaa chini ila ukithubu kuonyesha kwa picha unauwawa.
 
Kama havina mantiki mbona hulali unakesha kuvipambana? Na bado. Mtu afeli form 4 (na hapo kaiba mtihani) aende kuunga uunga vyuo vya kata huko ulaya, asomee tuisheni ya kozi ya upatanishi halafu awe na akili ya kuongoza taifa? Aah hatujawa wajinga kiasi hicho
Unfortunately makaratasi haya define intelligence ya mtu Wala uwezo wake ila nyie takataka ndionategemea makaratasi kama kipimo.cha uwezo wenu mdogo wa kufikiri.
 
1. Baada ya January kusema wabunge waendelee kuongea Sasa naona wabunge wamelipa machawa ili wamtandike makamba

2. Umeme haujawahi kuwa stable per sale ingawa tatizo la umeme halijawa serious kiivo machawa wamelipwa kuja juu kumchafua Januari Makamba

3. Wivu ni kitu kibaya sana mlikua na nafasi ya kuendeleza mradi wa Gesi mtwara mkaja na siasa kuwa ule una ufisadi Sasa mmesikia trillion 16 zitapatikana kila mwaka basi wivu unawasumbua hamlali ni January Makamba.

Nawakumbusha tuu
Bado Bomba la mafuta
Bomba la gesi Kenya
Uchimbaji wa mafuta
Bado bandari ya Bagamoyo
Yaani mkae Kwa kutulia

Januari yuko bize kufanya kazi alizotumwa na Rais Samia
Majungu yenu hamtafika popote
Na Makam naye kaamua kulipa Machawa na Mademu wake waje kumtetea... Sisi tunakaa pembeni kuacha mchafuane. Mwaka 2025 ni Mama tu.
 
Kuna mtu fulani mwenye mapungufu makubwa ya kibinadamu aliwahi kuwa rais itakuwa mwanadamu mstaarabu na mwenye akiili January Makamba??
Makamba ana akili? Basi nyie machawa wake mtakuwa bure kabisa. CCM kutoa Rais mwenye akili bado sana.
 
1. Baada ya January kusema wabunge waendelee kuongea Sasa naona wabunge wamelipa machawa ili wamtandike makamba

2. Umeme haujawahi kuwa stable per sale ingawa tatizo la umeme halijawa serious kiivo machawa wamelipwa kuja juu kumchafua Januari Makamba

3. Wivu ni kitu kibaya sana mlikua na nafasi ya kuendeleza mradi wa Gesi mtwara mkaja na siasa kuwa ule una ufisadi Sasa mmesikia trillion 16 zitapatikana kila mwaka basi wivu unawasumbua hamlali ni January Makamba.

Nawakumbusha tuu
Bado Bomba la mafuta
Bomba la gesi Kenya
Uchimbaji wa mafuta
Bado bandari ya Bagamoyo
Yaani mkae Kwa kutulia

Januari yuko bize kufanya kazi alizotumwa na Rais Samia
Majungu yenu hamtafika popote
Punguzeni shobo kwa matajili
 
Mtapita njia gani kumtoa 2025? Hivi unajua makali ya shoka (chama) na mpini wake nani kashika?
Uongozi mtamu wananchi waridhie naona we unazungumzia makali ya shoka Tena ? Ndo mana nakwambia hizo Siasa za kizamani sana Siasa nzuri ridhisha watu njia inakuwa nyepesi sana
 
Siasa za kizamani sana Siasa nzuri ridhisha watu njia inakuwa nyepesi sana
Njia huwa inakuwa ngumu kama watu wana mwamko. Lkn kwa hapa Tanzania hakuna shida kabisa hata wadanganyika wakiwa wanalia.

Jiwe alifanya ufedhuli wa kutisha hapa lkn wadanganyika waliimba mapambio ya sifa. Ndiyo maana hata rais Samia atapeta tu.
 
Huyu mtoto wa Mzee Makamba na munyambo kazi, popote alipo au nduguye au mtu yeyote wakarbu yake anitafute.

Anakitu wanaita" Ulutwe" hanabdi kusaidiwa kupata Omubazi kutoka kigabiro Cha ichwandimi.
 
Njia huwa inakuwa ngumu kama watu wana mwamko. Lkn kwa hapa Tanzania hakuna shida kabisa hata wadanganyika wakiwa wanalia.

Jiwe alifanya ufedhuli wa kutisha hapa lkn wadanganyika waliimba mapambio ya sifa. Ndiyo maana hata rais Samia atapeta tu.
Aliyekwambia wananchi wanashida na rais Samia nani watu wanawasiwasi na hao chawa waviziaji wanamwangusha Hadi Samia kwa matamaa yao
 
Back
Top Bottom