Wewe.
Ngungenge
Je!
Samia Anauza Gas ya Taifa Gas,hiyo anayoinadi Makamba?
Je!
Makamba anatumia ofisi kwa maslahi binafsi,badala ya kutimiza majukumu ya serikali,anatimiza majukumu ya mtu binafsi,halafu tukiwaambia nyinyi vilaza,mnakimbilia Majungu!
Tutajie mafanikio ya Makamba yoyote yale ndani ya hiyo wizara,tangu alipoingia...alivyoikuta na ilipo sasa!
Wezi mkiambiwa ukweli,mnakimbilia kusema mmetumwa na Samia,kwa hiyo Samia kawatuma mkusanye 10% kwa niaba yake sio?
Kuna mradi wa nishati mbadala wa mkaa wa mawe ambao umezinduliwa na Waziri Biteko hivi karibuni.
Kupitia STAMICO.
Nishati ile ni bei rahisi,hata Samia analijua hilo.
Maana alikwisha tembelea STAMICO kupitia Banda lao la maonyesho.
Kwa nini Makamba asiupigie chapuo huo mradi,badala ya Gesi ya Rostam ya Taifa gas hiyo anayoitembeza nchi nzima kwa gharama za Serikali?
Sio kila mtanzania ni mbumbumbu kama mnavyofikiria nyoote na hao mabwana zenu,mnaowatetea humu.
Makamba ameichakaza Tanesco kimkakati,kuanzia utawala hadi kimfumo.
Ili tu achomekee miradi yenye kumpatia 10% akijiandaa kuutafuta urais na ndoto zake za mchana.
That's it......