1. Baada ya January kusema wabunge waendelee kuongea Sasa naona wabunge wamelipa machawa ili wamtandike makamba
2. Umeme haujawahi kuwa stable per sale ingawa tatizo la umeme halijawa serious kiivo machawa wamelipwa kuja juu kumchafua Januari Makamba
3. Wivu ni kitu kibaya sana mlikua na nafasi ya kuendeleza mradi wa Gesi mtwara mkaja na siasa kuwa ule una ufisadi Sasa mmesikia trillion 16 zitapatikana kila mwaka basi wivu unawasumbua hamlali ni January Makamba.
Nawakumbusha tuu
Bado Bomba la mafuta
Bomba la gesi Kenya
Uchimbaji wa mafuta
Bado bandari ya Bagamoyo
Yaani mkae Kwa kutulia
Januari yuko bize kufanya kazi alizotumwa na Rais Samia
Majungu yenu hamtafika popote
Wewe.
Ngungenge
Je!
Samia Anauza Gas ya Taifa Gas,hiyo anayoinadi Makamba?
Je!
Makamba anatumia ofisi kwa maslahi binafsi,badala ya kutimiza majukumu ya serikali,anatimiza majukumu ya mtu binafsi,halafu tukiwaambia nyinyi vilaza,mnakimbilia Majungu!
Tutajie mafanikio ya Makamba yoyote yale ndani ya hiyo wizara,tangu alipoingia...alivyoikuta na ilipo sasa!
Wezi mkiambiwa ukweli,mnakimbilia kusema mmetumwa na Samia,kwa hiyo Samia kawatuma mkusanye 10% kwa niaba yake sio?
Kuna mradi wa nishati mbadala wa mkaa wa mawe ambao umezinduliwa na Waziri Biteko hivi karibuni.
Kupitia STAMICO.
Nishati ile ni bei rahisi,hata Samia analijua hilo.
Maana alikwisha tembelea STAMICO kupitia Banda lao la maonyesho.
Kwa nini Makamba asiupigie chapuo huo mradi,badala ya Gesi ya Rostam ya Taifa gas hiyo anayoitembeza nchi nzima kwa gharama za Serikali?
Sio kila mtanzania ni mbumbumbu kama mnavyofikiria nyoote na hao mabwana zenu,mnaowatetea humu.
Makamba ameichakaza Tanesco kimkakati,kuanzia utawala hadi kimfumo.
Ili tu achomekee miradi yenye kumpatia 10% akijiandaa kuutafuta urais na ndoto zake za mchana.
That's it......