Hicho kikundi chenu dhidi ya January Makamba hamtafika popote

Yaani hata umeme ukatike mwaka mzima January Makamba anazo sifa na uwezo wa kuwa rais.

Anayempima na kumnanga January Makamba kwa umeme atuambie ni lini umeme umewahi kuwa stable nchi hii.

Hawa sukuma gang tumewastukia.
Stupidity reply [emoji706][emoji706][emoji706]
 
Watu wanapata shida bure, Tz hii Kuna watu bila kujali KWa sasa Wana nafasi ila Urais wa nchi hii wataendelea kuusoma kwenye magezeti,

January, nape, mwigulu, ila yupo dogo mmoja KWa sasa yupo CCm ila miaka ijayo kupitia nje ya CCM atakuja kuwa Rais wa nchi hii/ pm/ maana kipindi hicho ccm haitakuwepo kabisa
 
Jamaa wanajiongelesha wewe utadhani tulikuwa Eden sasa tuko Duniani wakti hakuna siku umeme uliwahi kuacha bila kukatika..

Yule taahira alikuwa amerundika mitoto ya wanyonge kwenye madarasa na yanakaa chini ila ukithubu kuonyesha kwa picha unauwawa.
 
Unfortunately makaratasi haya define intelligence ya mtu Wala uwezo wake ila nyie takataka ndionategemea makaratasi kama kipimo.cha uwezo wenu mdogo wa kufikiri.
 
Na Makam naye kaamua kulipa Machawa na Mademu wake waje kumtetea... Sisi tunakaa pembeni kuacha mchafuane. Mwaka 2025 ni Mama tu.
 
Kuna mtu fulani mwenye mapungufu makubwa ya kibinadamu aliwahi kuwa rais itakuwa mwanadamu mstaarabu na mwenye akiili January Makamba??
Makamba ana akili? Basi nyie machawa wake mtakuwa bure kabisa. CCM kutoa Rais mwenye akili bado sana.
 
Punguzeni shobo kwa matajili
 
Mtapita njia gani kumtoa 2025? Hivi unajua makali ya shoka (chama) na mpini wake nani kashika?
Uongozi mtamu wananchi waridhie naona we unazungumzia makali ya shoka Tena ? Ndo mana nakwambia hizo Siasa za kizamani sana Siasa nzuri ridhisha watu njia inakuwa nyepesi sana
 
Siasa za kizamani sana Siasa nzuri ridhisha watu njia inakuwa nyepesi sana
Njia huwa inakuwa ngumu kama watu wana mwamko. Lkn kwa hapa Tanzania hakuna shida kabisa hata wadanganyika wakiwa wanalia.

Jiwe alifanya ufedhuli wa kutisha hapa lkn wadanganyika waliimba mapambio ya sifa. Ndiyo maana hata rais Samia atapeta tu.
 
Huyu mtoto wa Mzee Makamba na munyambo kazi, popote alipo au nduguye au mtu yeyote wakarbu yake anitafute.

Anakitu wanaita" Ulutwe" hanabdi kusaidiwa kupata Omubazi kutoka kigabiro Cha ichwandimi.
 
Njia huwa inakuwa ngumu kama watu wana mwamko. Lkn kwa hapa Tanzania hakuna shida kabisa hata wadanganyika wakiwa wanalia.

Jiwe alifanya ufedhuli wa kutisha hapa lkn wadanganyika waliimba mapambio ya sifa. Ndiyo maana hata rais Samia atapeta tu.
Aliyekwambia wananchi wanashida na rais Samia nani watu wanawasiwasi na hao chawa waviziaji wanamwangusha Hadi Samia kwa matamaa yao
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…