mimisiowewe
JF-Expert Member
- Mar 11, 2015
- 315
- 309
http://educate-yourself.org/cancer/ ingia hapo ujionee mwenyewe ukweli ila usiwe mvivu wa kusoma. Ndio utagundua ayasemayo ndugu yetu Deception kuwa si mambo ya kikombe cha babu.
The Dr. Philip Binzel list of foods that contain laetrile include: apricot kernels, peach kernels, grape seeds, blackberries, blueberries, strawberries, bean sprouts, lima beans and macadamia nuts (to name but a few).
The FDA claims that laetrile is toxic. This is an absolute lie. Read the first chapter of-Alive and Wellto see how absurd the FDA claim is. It is only toxic to cancer cells.
If you obtain laetrilepills,it is important to take them with natural water during a meal (i.e. with food).
Read Morehttp://www.cancertutor.com/laetrile/
Kumbe Mamlaka ya Chakula na Dawa Marekani inasema iyo Vitamin B17 ni sumu:what:
Na ni illegal, sasa nimejua kwanini hata Tanzania Mbegu za Ubuyu na Mafuta yalipigwa Marufuku eti ni Sumu😕
Fumbo mfumbie Mjinga, watu wangu wanaangamia kwa kukosa Maarifa
http://educate-yourself.org/cancer/ ingia hapo ujionee mwenyewe ukweli ila usiwe mvivu wa kusoma. Ndio utagundua ayasemayo ndugu yetu Deception kuwa si mambo ya kikombe cha babu.
https://www.youtube.com/watch?v=NAMYAoiCSsI
huu ndio ukweli usiopingika kuhusu mambo yanavyojiri katika ulimwengu wa matibabu
Bado hujanipa maelezo ya kutosha huyo binti alitibiwa hospitali gani na alipewa dawa gani.
Kwa maelezo yako inaonekana huyo binti atakuwa na ugonjwa uitwao vitiligo,ugonjwa huu mara nyingi unasababishwa na kinga ya mwili kushambulia mwili wenyewe maeneo mbalimbali kama vile tishu nk,kwa huyu biti yeye ngozi yake ndiyo hushambuliwa.
Sababu kubwa ya ugonjwa huu ndio hiyo niliyoeleza hapo juu au kwa kifupi tunaita 'autoimmune'.Magonjwa aina hii ndio ambayo hospitali huwa hawawezi kuyatibu zaidi ya kuondoa dalili.Kutokana na sayansi ya ugonjwa huu ulivyo,hata tiba hii ya cancer niliyoeleza,yaani vitamin B17 na mtiririko wake unaweza kumtibu vizuri kabisa huyo binti.Ukimpima huyo binti pH ya damu yake,lazima atakuwa acidic zaidi,ukitaka kuamini we nenda kajaribu uone.
Nikupe faida nyingine ya vitamin B17.Bila kujali kama una cancer au la,vitamin B17 pia huweza kutumiwa kama cosmetic ya asili hasa kwa wanawake.Vitamin B17 inapotumiwa,ukiachilia mbali kukulinda dhidi ya magonjwa sugu kama cancer pia inaweka ngozi katika hali ya ubora.Na kama wanawake watagundua siri hii basi hawawezi tena kuhangaika na vipodozi vyenye kemikali chafu.Vitamin B17 ina tabia ya kuondoa mabaka,rangi nyeusi za makovu ya vidonda au vipele kwenye ngozi,mikunjo ya ngozi na kuiweka ngozi katika muonekano mzuri kama mtu atakuwa na tabia ya kuitumia mara kwa mara.Yaani vitamin B17 hutambua vitu ambavyo si vya kawaida juu ya ngozi na kuviondoa.
Mkuu huyu jamaa anaongelea 'cure' for cancer sio prevention, mtu ukiishi healthy siku zote unakula vizuri na unafanya mazoezi utaishi vizuri na vitu kama cancer au magonjwa mengi hutogusa...
Sema tukija kwenye swala la cure, mtu ambaye cancer ishakua, kusema kuna njia za asili kutibu ni kudanganya watu tu ambao wana uhitaji mwisho wa siku wanapoteza muda kua na false hopes na vitu ambavyo havifanyi kazi au mbaya zaidi kupoteza maisha..
Watu walio kwenye matatizo hua wako desperate sana, wako easily deceivable, nadhani unakumbuka babu wa lolliondo kama mfano mzuri, sasa mtu akiwa na cancer anaweza akaona hii kitu akaachana na njia sahihi akaenda kula mihogo sijui madude gani mwisho wa siku tatizo likazidi
Hahahahahaha haya mkubwa....ila kwenye ile thread ya ukimwi nilikuwa pamoja na wewe asilimia zaidi ya 90 na nadhani nilikupa like kipindi kile....sibishi alimradi kubisha tu. HIV ina tatizo kuanzia mwanzo hata hakuna reliable diagnostic test...so hilo tuliache
Nimekuomba mfano maana nataka kujifunza tu ila kama unaona haina maana poa tu !
Hana mfano wakukupa coz hana evidence unajisumbua .Na nikikupa like haimaanishi nakubaliana na yeye bali nimekubali hoja yako wewe nadhani umenisoma!
Sio kweli unalolizungumza...huwezi tu kuibuka na kusema nina tiba ya ugonjwa fulani na tukubali tu, kuna taratibu za kufuata maana hata placebo hutibu wakati fulani na hizo taratibu zinafuatwa na kila mtu hadi sisi. Taratibu hizo zina faida nyingi sana...ndio zimetengeneza dawa zote hizi unazoziona....
Hivi Hata Babu wa Loliondo Alifuata Taratibu .. Maana Mpaka Leo Watu wanaenda Loliondo
Kama na yeye ndio babu wa loliondo style au tuseme babu wa loliondo advanced au babu wa loliondo wa kizazi kipya sawa . Aweke wazi
mada ilikuwa inaenda vzr yani kaibuka mtu mmoja tu kuvuruga basi mada nzima imesimama yameanza malumbano.minashauri Deception usijibu lolote kutoka kwa hao wanaopinga coz hii mada si kwajili yao,we shughulika na wanaotaka kujifunza kutoka kwako,hao wengine wanyamazie tu hata watume comment gani we chuna tu mana watu tumejifunza vzr tuu kuanzia page 1 had 3 but alipoibuka tu mtu wa kujifanya anapinga basi mada imehama na kuwa malumbano watu wameacha hata kuuliza maswali kwa mfano hizo mbegu za apricot na peach zinaliwaje na inavyoonekana ni ngumu kuzitafuna.cjui kama wenzangu mmeishiwa maswali ila mi naona maswali yapo mengi lakini tumefocus kubishana na watu wasiotusaidia ktk haya.