bitimkongwe
JF-Expert Member
- Oct 21, 2009
- 7,794
- 7,551
huu uongo mwingine wa 21% hebu muwe na jicho la pili la kufanya analysis. Hebu piga hesabu ya idadi ya wafanyakazi 21% ya wanaoajiriwa, halafu upige na hesabu ya wazanzibari wanaotoka vyuo ulete mrejesho hapa kama vinawiana.Waziri Mchengerwa alipokuwa Waziri wa Utumishi na Utawala bora alitengeneza utaratibu haramu wa kuwatengea 21% ya ajira katika taasisi za muungano ndugu zake Wazanzibari.
Mwanzo ulisema uongo,sasa unasema sababu ?.
Kwa taarifa yako Kigosi mwanzo ilikuwa chini ya TAWA kwaajili ya uwindaji.
Sasa jiulize kwanini imepelekwa TFS na mwarabu kaingia mikataba ya misitu yetu.
Kwa taarifa yako Kigosi ina deposit kubwa ya dhahabu kuliko mgodi wa Geita ni suala la muda utagundua viongozi wetu wapo kwaajili yao na familia zao.
Magufuli pamoja na matatizo yake ya kuminya Demokrasia asingefanya haya yinayoyaona sasa.
Mkuu Ngongo heshima kwakoMwanzo ulisema uongo,sasa unasema sababu ?.
Kwa taarifa yako Kigosi mwanzo ilikuwa chini ya TAWA kwaajili ya uwindaji.
Sasa jiulize kwanini imepelekwa TFS na mwarabu kaingia mikataba ya misitu yetu.
Kwa taarifa yako Kigosi ina deposit kubwa ya dhahabu kuliko mgodi wa Geita ni suala la muda utagundua viongozi wetu wapo kwaajili yao na familia zao.
Magufuli pamoja na matatizo yake ya kuminya Demokrasia asingefanya haya yinayoyaona sasa.
mbona unajichanganya kijana? kwanza unasema hakuna hata senti moja ya kuwekeza, baadae unasema unawekeza wataalamu wa kupima viuono vya miti (hawahitaji mafunzo wala malipo?), tena unatafuta verification experts (bila ya gharama yo yote?), peleka tani zako za carbon sokoni (bila ya kuwa na contact person ambae unamlipa?).Aibu kwa Taifa
Carbon emissions projects eti mwarabu ndo asimamie. NA achukuwe mauzo ya Carbon na gawio kidogo atume Aibu kwa Taifa!!!!....hiii miradi haitaji hata senti moja kuwekeza
Unawekeza watalaam tu wa kupima viuno vya miti kushirikiana na GIS experts then chakata ripoti yako contact Verification experts huko Ulaya baada ya hapo peleka tani zako za carbon SOKONI
Kama hatujitambui kwanini wajanja wasitupige tu?? Ikibidi watuuze kabisa na sisi,Tunapigwa vingi kwa wakati Mmoja.
Ukijitambua Uhai wako ni wa kipindi kifupi.Kama hatujitambui kwanini wajanja wasitupige tu?? Ikibidi watuuze kabisa na sisi,
huu uongo mwingine wa 21% hebu muwe na jicho la pili la kufanya analysis. Hebu piga hesabu ya idadi ya wafanyakazi 21% ya wanaoajiriwa, halafu upige na hesabu ya wazanzibari wanaotoka vyuo ulete mrejesho hapa kama vinawiana.
Hifadhi ya Kigosi ina ukubwa wa Kilometa za mraba 21,060. Pengine ni kubwa kuliko Zanzibar yote.Wewe unasema sababu za kuepo dhahabu wakati pale wanasema ni kwasbb ya mgogoro ya aridhi na wana nchi, wewe ulitaka wananchi watomliwe?
Kwamba Kuna dhahabu nyingi na imehamishiwa tfs ili apewe mwarabu Kama Nia yako kwenye bandiko inavooneshaUshahidi upi unaotaka ?.
Mbona unang'ang'ania source mkuu as if JF haiwezi kuwa first source?Source yako
33% ya nchi ni hifadhi,eneo Hilo Nia zaidi ya nchi ya Kenya,Kama Kuna dhahabu serikali ichimbe iwe na reserve yake ya gold ya kutoshaSasa tumewatoa kafara Wanyamapori na uoto wa asili kwa sababu tu ya dhahabu ya miaka kadhaa?
Kwa hvyoi vizazi vijavyo vitakuta nini?
Kwanza Magufuli ndiye aliyeipa hadhi ya kuwa National Park. Kama demokrasia inafanya yote haya haina budi kuminywa.Mwanzo ulisema uongo,sasa unasema sababu ?.
Kwa taarifa yako Kigosi mwanzo ilikuwa chini ya TAWA kwaajili ya uwindaji.
Sasa jiulize kwanini imepelekwa TFS na mwarabu kaingia mikataba ya misitu yetu.
Kwa taarifa yako Kigosi ina deposit kubwa ya dhahabu kuliko mgodi wa Geita ni suala la muda utagundua viongozi wetu wapo kwaajili yao na familia zao.
Magufuli pamoja na matatizo yake ya kuminya Demokrasia asingefanya haya yinayoyaona sasa.
Source muhimu,tofauti na hapo ni umbea tuMbona unang'ang'ania source mkuu as if JF haiwezi kuwa first source?
Ndio mlivyotumwa mtudanganye hivyo?serikali ichimbe iwe na reserve yake ya gold ya kutosha
Wewe bana unataka Nini zaidi alete ? Nawe fuatilia mwenzio kakupa za ndani kabisa.Leta ushahidi ili tujadili vizuri bila hivo zinabaki kua tuhuma tu.