Hii Barabara ya (KAHAMA) Mnazi mmoja - Lugera Mbona mashimo?

Jamaludin

Member
Joined
Apr 26, 2024
Posts
48
Reaction score
40
Hivi hii barabara ya kutokea Senta ya Mnazi mmoja kwenda lugela sent a ya juu mpaka kutokezea supermarket mpya mbona no mashimo tuu? Yaani nibarabara ambayo haina mwelekeo kabsa barabara hiohio na mtalo nihuohuo, na barabara ya kutokea mnazi mmoja kwenda Rami, serikali inaingiza kipato kupitia barabara hii na hasa ni kwa sekta ya madini, lakini barabara walishaitelekeza , naomba mlitazame hili swala.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…