Hii biashara imekaaje: Ukraine kuuza damu ya raia wake ili kupata silaha zitakazosaidia kufikia malengo ya NATO dhidi ya Urusi!

Hii biashara imekaaje: Ukraine kuuza damu ya raia wake ili kupata silaha zitakazosaidia kufikia malengo ya NATO dhidi ya Urusi!

mbingunikwetu

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2015
Posts
13,897
Reaction score
18,477
Si siri tena wala siyo madai ya urusi tena, bali ndivyo biashara yenyewe ilivyo. NATO ina malengo yake ya kuidhoofisha urusi, ukraine ikajitokeza na kusema sisi tutatimiza jukumu hilo, tunachohitaji ni kutupatia silaha kwa ajili ya damu ya raia wa ukraine wanayoimwaga ili kufikia malengo ya NATO. Hayo yamesemwa na waziri wa ulinzi wa Ukraine. Kura ina thamani sana, ni lazima kuitumia kwa uangalifu!! Hii serikali ya Ukraine iliwekwa na wa-ukraine wenyewe na leo hii wanauza damu ya wa-ukraine ili wapate silaha za kutimizia matakwa ya NATO!!!

Ukraine on ‘NATO mission’ – defense minister​

Aleksey Reznikov has argued that Kiev is shedding blood for the military bloc and expects weapons in return
Ukraine on ‘NATO mission’ – defense minister

File photo: Ukrainian Defense Minister Alexey Reznikov © AP Photo/Efrem Lukatsky
Kiev is shedding blood to carry out the mission NATO set for itself and expects the “civilized West” to provide weapons and ammunition in return, Ukrainian Defense Minister Aleksey Reznikov has said in an interview for a domestic TV channel.

Hii biashara kwa akili ya viongozi wa ukraine INALIPA!! uza damu upate silaha!! Mwisho wa siku malengo ya NATO yafikiwe!! Halafu ujue hizo silaha siyo bure, mwisho wa siku watazilipia maana ni mkopo wa muda mrefu wenye riba!! Faida yao ni kuona tu kuwa malengo ya NATO yamefikiwa!! Mbaya zaidi ni kwamba, hayo malengo ya NATO yamegonga mwamba, na sehemu ya Ukraine imechukuliwa kuwa ni sehemu ya Urusi!!
 
Hii mbungi itapigwa mpaka tone la mwisho la mtu wa mwisho wa Ukraine ndo ikome.

Marekani kamwe hatokuja kuwaonea huruma Ukraine maana huruma sio jadi yake. Ama kweli kura Moja ina thamani kubwa sana.
Nilikuwa nasikiliza interview ya kamanda wa Urusi anasimamia mapigano Ukraine anasema Ukraine ni ndugu zetu lakini inasikitisha wameamua kuchukua njia hii! Kwa siku mfano Bakhmut wanakufa askari wa Ukraine 600-1000.

Kwa sasa Ukraine hawana askari. Wanakamata raia yoyote wanapeleka mafunzoni wiki kadhaa kisha front line. Askari hawana uzoefu wa kutosha. Yeyote atakayekimbia kuna askari maalumu wamepatiwa order ya kuwaua kwani watahesabika ni wasaliti.
 
Nilikuwa nasikiliza interview ya kamanda wa Urusi anasimamia mapigano Ukraine anasema Ukraine ni ndugu zetu lakini inasikitisha wameamua kuchukua njia hii! Kwa siku mfano Bakhmut wanakufa askari wa Ukraine 600-1000.

Kwa sasa Ukraine hawana askari. Wanakamata raia yoyote wanapeleka mafunzoni wiki kadhaa kisha front line. Askari hawana uzoefu wa kutosha. Yeyote atakayekimbia kuna askari maalumu wamepatiwa order ya kuwaua kwani watahesabika ni wasaliti.
Ni kweli askari wa Ukraine wanakufa wengi sana ila wanatoa resistance kubwa sana kwa warusi kiasi kwamba wamewazuia kusonga mbele kwa speed kubwa.

Swali ni je hao wanaotoa upinzani mkubwa ikiwemo kuwaua watusi kwa idadi kubwa ni akina nani ihal askari wengi wanakufa?

Hii vita ni ngumu
 
Ni kweli askari wa Ukraine wanakufa wengi sana ila wanatoa resistance kubwa sana kwa warusi kiasi kwamba wamewazuia kusonga mbele kwa speed kubwa.

Swali ni je hao wanaotoa upinzani mkubwa ikiwemo kuwaua watusi kwa idadi kubwa ni akina nani ihal askari wengi wanakufa?

Hii vita ni ngumu
Russia ni kana kwamba plan ya vita wanaijua wao wenyewe. Tangu askari wao 83 wauliwe kama wamebadilika; na hili ni tukio la pili kwa wanajeshi wa Russia kifa kwa wingi kwa pamoja tangu huu mtanange uanze.

Baada ya hili tukio wameongeza kasi ya mashambulizi sana! na mpaka sasa wamechukua viunga vingi.

Jimbo la Luhansk mpaka sasa tunavyoandika tayari majeshi ya Ukraine yameshatolewa yote. Imebaki sehemu tu ya Donetsk napo si muda wataondolewa.

Bakhmut ni mji mkubwa na ni mji ambao Ukraine wamepeleka wanajeshi wengi kama Mariupol. Idadi kamili siijui ila kuna vyanzo vinasema huo mji Ukraine imepeleka wanakeshi 60k. Idadi kubwa sana ya wanajeshi.
 
Si siri tena wala siyo madai ya urusi tena, bali ndivyo biashara yenyewe ilivyo. NATO ina malengo yake ya kuidhoofisha urusi, ukraine ikajitokeza na kusema sisi tutatimiza jukumu hilo, tunachohitaji ni kutupatia silaha kwa ajili ya damu ya raia wa ukraine wanayoimwaga ili kufikia malengo ya NATO. Hayo yamesemwa na waziri wa ulinzi wa Ukraine. Kura ina thamani sana, ni lazima kuitumia kwa uangalifu!! Hii serikali ya Ukraine iliwekwa na wa-ukraine wenyewe na leo hii wanauza damu ya wa-ukraine ili wapate silaha za kutimizia matakwa ya NATO!!!

Ukraine on ‘NATO mission’ – defense minister​

Aleksey Reznikov has argued that Kiev is shedding blood for the military bloc and expects weapons in return
Ukraine on ‘NATO mission’ – defense minister

File photo: Ukrainian Defense Minister Alexey Reznikov © AP Photo/Efrem Lukatsky
Kiev is shedding blood to carry out the mission NATO set for itself and expects the “civilized West” to provide weapons and ammunition in return, Ukrainian Defense Minister Aleksey Reznikov has said in an interview for a domestic TV channel.

Hii biashara kwa akili ya viongozi wa ukraine INALIPA!! uza damu upate silaha!! Mwisho wa siku malengo ya NATO yafikiwe!! Halafu ujue hizo silaha siyo bure, mwisho wa siku watazilipia maana ni mkopo wa muda mrefu wenye riba!! Faida yao ni kuona tu kuwa malengo ya NATO yamefikiwa!! Mbaya zaidi ni kwamba, hayo malengo ya NATO yamegonga mwamba, na sehemu ya Ukraine imechukuliwa kuwa ni sehemu ya Urusi!!
That war is madness.
 
Kwahiyo maoni yako ilikuwa kwamba baada ya uvamizi wa mrusi Ukraine asipambane kujilinda. Aiache nchi iende kwa Putin ili "wasimwage damu'
Ukraine imeingizwa chaka na marekani. Hiyo vita haikutakiwa kabisa kuwepo kwani hao ni ndugu kabisa. Zelensky ametumika kimkakati na USA kutaka kuidhoofisha Russia na Russia hawataweza kukubali huo upuuzi.
 
Ukraine imeingizwa chaka na marekani. Hiyo vita haikutakiwa kabisa kuwepo kwani hao ni ndugu kabisa. Zelensky ametumika kimkakati na USA kuidhoofisha Russia na Russia hawataweza kukubali huo upuuzi.
Ukraine imetumika kivipi kuidhoofisha Russia ?
 
Nilikuwa nasikiliza interview ya kamanda wa Urusi anasimamia mapigano Ukraine anasema Ukraine ni ndugu zetu lakini inasikitisha wameamua kuchukua njia hii! Kwa siku mfano Bakhmut wanakufa askari wa Ukraine 600-1000.

Kwa sasa Ukraine hawana askari. Wanakamata raia yoyote wanapeleka mafunzoni wiki kadhaa kisha front line. Askari hawana uzoefu wa kutosha. Yeyote atakayekimbia kuna askari maalumu wamepatiwa order ya kuwaua kwani watahesabika ni wasaliti.
Kwa hyo urusi wanakufa wawili Kwa sku we kiazi, vita ni costful , urusi mwenyewe Hana ahueni yyte kwenye hii vita , maelf ya Askari wake wanauwawa,.... Dawa ya vita ni kuacha , na Ukraine Hana sababu yyte ya kuacha kupambana Kwa sababu yeye ndo kavamiwa , Yani haipo sababu yyte ya kuifanya Ukraine iachane na hii vita , urusi ndo anatakiwa aondoke aiche Ukraine basi ...vinginevyo hii ni prolonged war na ita itafuna urusi vilivyo Kwa sababu wabaya wake wengi wamejifichia humo
 
Kwa hyo urusi wanakufa wawili Kwa sku we kiazi, vita ni costful , urusi mwenyewe Hana ahueni yyte kwenye hii vita , maelf ya Askari wake wanauwawa,.... Dawa ya vita ni kuacha , na Ukraine Hana sababu yyte ya kuacha kupambana Kwa sababu yeye ndo kavamiwa , Yani haipo sababu yyte ya kuifanya Ukraine iachane na hii vita , urusi ndo anatakiwa aondoke aiche Ukraine basi ...vinginevyo hii ni prolonged war na ita itafuna urusi vilivyo Kwa sababu wabaya wake wengi wamejifichia humo
Mkuu Ukraine anasabab ya kuacha.. ni kutangaza Nia yake ya kutaka kujiunga n NATO anaiweke pembe kwa Muda, aifikirie kwanza urusi ataaacha pia.


Hakuna hata mende asiyejua USA sio rafiki mwema labda mavi tu na akina kipara
 
Back
Top Bottom