Hii biashara imekaaje: Ukraine kuuza damu ya raia wake ili kupata silaha zitakazosaidia kufikia malengo ya NATO dhidi ya Urusi!

Hii biashara imekaaje: Ukraine kuuza damu ya raia wake ili kupata silaha zitakazosaidia kufikia malengo ya NATO dhidi ya Urusi!

Si siri tena wala siyo madai ya urusi tena, bali ndivyo biashara yenyewe ilivyo. NATO ina malengo yake ya kuidhoofisha urusi, ukraine ikajitokeza na kusema sisi tutatimiza jukumu hilo, tunachohitaji ni kutupatia silaha kwa ajili ya damu ya raia wa ukraine wanayoimwaga ili kufikia malengo ya NATO. Hayo yamesemwa na waziri wa ulinzi wa Ukraine. Kura ina thamani sana, ni lazima kuitumia kwa uangalifu!! Hii serikali ya Ukraine iliwekwa na wa-ukraine wenyewe na leo hii wanauza damu ya wa-ukraine ili wapate silaha za kutimizia matakwa ya NATO!!!

Ukraine on ‘NATO mission’ – defense minister​

Aleksey Reznikov has argued that Kiev is shedding blood for the military bloc and expects weapons in return
Ukraine on ‘NATO mission’ – defense minister

File photo: Ukrainian Defense Minister Alexey Reznikov © AP Photo/Efrem Lukatsky
Kiev is shedding blood to carry out the mission NATO set for itself and expects the “civilized West” to provide weapons and ammunition in return, Ukrainian Defense Minister Aleksey Reznikov has said in an interview for a domestic TV channel.

Hii biashara kwa akili ya viongozi wa ukraine INALIPA!! uza damu upate silaha!! Mwisho wa siku malengo ya NATO yafikiwe!! Halafu ujue hizo silaha siyo bure, mwisho wa siku watazilipia maana ni mkopo wa muda mrefu wenye riba!! Faida yao ni kuona tu kuwa malengo ya NATO yamefikiwa!! Mbaya zaidi ni kwamba, hayo malengo ya NATO yamegonga mwamba, na sehemu ya Ukraine imechukuliwa kuwa ni sehemu ya Urusi!!
mjinga sana huyu raisi.Urusi isimchekee.Wamtie adabu kubwa iwezekanavyo.Anaharibu maisha waUJKRAINE ,warusi na sisi sote.
Sijui Urusi wanasubiri nini kutumia hypersonic kupiga vituo vya kimarekani vilivyo jirani.Akileta ubiShi ifuatie nyuklia.
 
mjinga sana huyu raisi.Urusi isimchekee.Wamtie adabu kubwa iwezekanavyo.Anaharibu maisha waUJKRAINE ,warusi na sisi sote.
Sijui Urusi wanasubiri nini kutumia hypersonic kupiga vituo vya kimarekani vilivyo jirani.Akileta ubiShi ifuatie nyuklia.
Ha ha ha Warusi wa Bongoland bwana.
 
mjinga sana huyu raisi.Urusi isimchekee.Wamtie adabu kubwa iwezekanavyo.Anaharibu maisha waUJKRAINE ,warusi na sisi sote.
Sijui Urusi wanasubiri nini kutumia hypersonic kupiga vituo vya kimarekani vilivyo jirani.Akileta ubiShi ifuatie nyuklia.
[emoji851][emoji851] unafikiri Putin havioni hivyo vituo?. Jiulize kama aliweza kulenga shabaha Syria kutokea bahari ya Caspian, nini kinamshinda kulenga vituo vya US karibuyake.

Anajua moto utawaka nyumbani.
US ameonyesha dhahiri uchokoziwake mchana kweupe kwa Russia, na Putin anaogopa kupiga kambizake,jiulize tena kwa nini.
 
[emoji851][emoji851] unafikiri Putin havioni hivyo vituo?. Jiulize kama aliweza kulenga shabaha Syria kutokea bahari ya Caspian, nini kinamshinda kulenga vituo vya US karibuyake.

Anajua moto utawaka nyumbani.
US ameonyesha dhahiri uchokoziwake mchana kweupe kwa Russia, na Putin anaogopa kupiga kambizake,jiulize tena kwa nini.
Nafurahi kila mtu anajuwa kuwa Marekani ni mchokozi na mvujnjaji wa mikataba ya kimataifa aliyoisaini wazi wazi.
Hilo suala lako ni muhimu sana ,la kwa nini Mrusi anashindwa kupiga vituo vya Marekani vinavyosababisha majanga kwa warusi. Mimi nahisi Marekani ashukuru kuwa Putin ndiye raisi kwa sasa.Akiingia madarakani mtu mwenye akili nzuri hatashindwa kufanya lolote lile lililo mikononi mwake ikiwemo kutumia silaha za nyuklia hata iwapo zikipigwa zitarudisha majibu kama hayo.
 
Si siri tena wala siyo madai ya urusi tena, bali ndivyo biashara yenyewe ilivyo. NATO ina malengo yake ya kuidhoofisha urusi, ukraine ikajitokeza na kusema sisi tutatimiza jukumu hilo, tunachohitaji ni kutupatia silaha kwa ajili ya damu ya raia wa ukraine wanayoimwaga ili kufikia malengo ya NATO. Hayo yamesemwa na waziri wa ulinzi wa Ukraine. Kura ina thamani sana, ni lazima kuitumia kwa uangalifu!! Hii serikali ya Ukraine iliwekwa na wa-ukraine wenyewe na leo hii wanauza damu ya wa-ukraine ili wapate silaha za kutimizia matakwa ya NATO!!!

Ukraine on ‘NATO mission’ – defense minister​

Aleksey Reznikov has argued that Kiev is shedding blood for the military bloc and expects weapons in return
Ukraine on ‘NATO mission’ – defense minister

File photo: Ukrainian Defense Minister Alexey Reznikov © AP Photo/Efrem Lukatsky
Kiev is shedding blood to carry out the mission NATO set for itself and expects the “civilized West” to provide weapons and ammunition in return, Ukrainian Defense Minister Aleksey Reznikov has said in an interview for a domestic TV channel.

Hii biashara kwa akili ya viongozi wa ukraine INALIPA!! uza damu upate silaha!! Mwisho wa siku malengo ya NATO yafikiwe!! Halafu ujue hizo silaha siyo bure, mwisho wa siku watazilipia maana ni mkopo wa muda mrefu wenye riba!! Faida yao ni kuona tu kuwa malengo ya NATO yamefikiwa!! Mbaya zaidi ni kwamba, hayo malengo ya NATO yamegonga mwamba, na sehemu ya Ukraine imechukuliwa kuwa ni sehemu ya Urusi!!
Mbona unajitoa fahamu na kujizima data kiasi hiki mkuu? Ukraine anauza vipi damu kupata silaha ilhali alilala na kuamka asubuhi kavamiwa na majambaz toka Russia wanakata mipaka ya ardhi yao na kujimilikisha??
 
Bakhmut ni mji mkubwa na ni mji ambao Ukraine wamepeleka wanajeshi wengi kama Mariupol. Idadi kamili siijui ila kuna vyanzo vinasema huo mji Ukraine imepeleka wanakeshi 60k.
Huu mji una miundo mbinu inayoelekea kufanana na Ile kule Mariupol! Ndiyo maana kutokana na utu wa Russia kasi ya kuchukua imekuwa ndogo, nadhani.
 
Nilikuwa nasikiliza interview ya kamanda wa Urusi anasimamia mapigano Ukraine anasema Ukraine ni ndugu zetu lakini inasikitisha wameamua kuchukua njia hii! Kwa siku mfano Bakhmut wanakufa askari wa Ukraine 600-1000.

Kwa sasa Ukraine hawana askari. Wanakamata raia yoyote wanapeleka mafunzoni wiki kadhaa kisha front line. Askari hawana uzoefu wa kutosha. Yeyote atakayekimbia kuna askari maalumu wamepatiwa order ya kuwaua kwani watahesabika ni wasaliti.
Nilikuwa nasikiliza interview ya kamanda wa ukraine anayengoza mapambano anasema kwa siku wanakufa askari wa urusi 1000 mpaka 2000 na urusi hawana askari wa kutosha ndo maana wanakamata watu mtaani na hata wafungwa magerezani na imepitishwa adhabu kali kwa wasaliti wote huko bungeni. Acha kuongea kama umekatwa kichwa mkubwa.
 
Ni kweli askari wa Ukraine wanakufa wengi sana ila wanatoa resistance kubwa sana kwa warusi kiasi kwamba wamewazuia kusonga mbele kwa speed kubwa.

Swali ni je hao wanaotoa upinzani mkubwa ikiwemo kuwaua watusi kwa idadi kubwa ni akina nani ihal askari wengi wanakufa?

Hii vita ni ngumu
Hii vita ni ngumu kwa sababu kimantiki jeshi la Ukraine na jeshi la urusi ni kama jeshi moja lililogawanywa mara mbili!!! Silaha nyingi alizokuwa nazo ukraine ndiyo hizo hizo alizokuwa nazo urusi kasoro zile silaha kubwa maalumu ambazo hata urusi hana uhuru sana wa kuzitumia maana ni za maangamizi makubwa hata hizo ambazo siyo za nyuklia!!! Kama akizitumia zitaleta mshtuko mkubwa! Hilo jeshi liligawanywa wakati USSR iliposambaratika. Ukraine ndiko ilikokowepo ngome kuu ya majeshi ya baharini huko Crimea na ilikuwa na vinu vitano vya kutengeneza mabomu ya nyuklia na ilikuwa na makombora ya nyuklia karibuni laki mbili!! Mbinu na ukakamavu wa askari ni ule ule tangu enzi za USSR. Ndiyo maana ni kweli Urusi inapata ugumu kiasi fulani. Lakini silaha alizokuwa nazo ukraine karibu zote kwa sasa zimekwisha na anategemea msaada wa silaha toka NATO. Siku NATO wakiacha kutoa silaha na vita vinakoma siku hiyo hiyo! Ila NATO hawawezi kuacha kutoa silaha hadi askari wote wa ukraine waishe!! Kiburi cha Marekani hakitawaruhusu kukubali kushindwa na Urusi!!! Hasara kubwa ni kwa UKraine ambayo itachakazwa sana, hasa urusi itakapoamua kutumia silaha nzito japo si za nyuklia.
 
Si siri tena wala siyo madai ya urusi tena, bali ndivyo biashara yenyewe ilivyo. NATO ina malengo yake ya kuidhoofisha urusi, ukraine ikajitokeza na kusema sisi tutatimiza jukumu hilo, tunachohitaji ni kutupatia silaha kwa ajili ya damu ya raia wa ukraine wanayoimwaga ili kufikia malengo ya NATO. Hayo yamesemwa na waziri wa ulinzi wa Ukraine. Kura ina thamani sana, ni lazima kuitumia kwa uangalifu!! Hii serikali ya Ukraine iliwekwa na wa-ukraine wenyewe na leo hii wanauza damu ya wa-ukraine ili wapate silaha za kutimizia matakwa ya NATO!!!

Ukraine on ‘NATO mission’ – defense minister​

Aleksey Reznikov has argued that Kiev is shedding blood for the military bloc and expects weapons in return
Ukraine on ‘NATO mission’ – defense minister

File photo: Ukrainian Defense Minister Alexey Reznikov © AP Photo/Efrem Lukatsky
Kiev is shedding blood to carry out the mission NATO set for itself and expects the “civilized West” to provide weapons and ammunition in return, Ukrainian Defense Minister Aleksey Reznikov has said in an interview for a domestic TV channel.

Hii biashara kwa akili ya viongozi wa ukraine INALIPA!! uza damu upate silaha!! Mwisho wa siku malengo ya NATO yafikiwe!! Halafu ujue hizo silaha siyo bure, mwisho wa siku watazilipia maana ni mkopo wa muda mrefu wenye riba!! Faida yao ni kuona tu kuwa malengo ya NATO yamefikiwa!! Mbaya zaidi ni kwamba, hayo malengo ya NATO yamegonga mwamba, na sehemu ya Ukraine imechukuliwa kuwa ni sehemu ya Urusi!!
Hata mimi niliisoma asubuhi hii ndiyo nikaona Zelensky regime akili zao fyatu sana wala mtu husije ukadanganyika kirahisi kwamba wanajeshi wa Ukraine wamejitolea kumwaga damu yao ili kuilinda Continetal Europe
na possibly USA dhidi ya
jeshi la Russia,ukweli wa mambo lengo la Zelensky na wapambe wenzake wanatafuta njia mbadala ya kujiunga na NATO on a fast track~wataizuga NATO/US kwa kusema kwamba kuwa jeshi la Ukraine linamwaga damu nyingi sana kutimiza malengo/kwa niaba ya NATO dhidi ya Urusi.

Hivyo kwa akilï za Senselessky na wapambe wake wanajiona wana haki ya kujiunga na NATO
Kwa kuwa WAUkraine wanakufa kwa wïngikwa niaba ya malengo ya NATO yenyewe dhidi ya Urusi
 
Kwa hyo urusi wanakufa wawili Kwa sku we kiazi, vita ni costful , urusi mwenyewe Hana ahueni yyte kwenye hii vita , maelf ya Askari wake wanauwawa,.... Dawa ya vita ni kuacha , na Ukraine Hana sababu yyte ya kuacha kupambana Kwa sababu yeye ndo kavamiwa , Yani haipo sababu yyte ya kuifanya Ukraine iachane na hii vita , urusi ndo anatakiwa aondoke aiche Ukraine basi ...vinginevyo hii ni prolonged war na ita itafuna urusi vilivyo Kwa sababu wabaya wake wengi wamejifichia humo
Tatizo ni kwamba umeingizwa mkenge na propaganda za nchi za magharibi!!! Unachodai wewe ni kwamba Urusi ndiye mchokozi na mvamizi. Hii ni kwa sababu unadhani mgogoro umeanza february 2022. Ukweli ni kwamba ,mgogoro ulianza 2014 kwa kumpindua rais halali aliyekuwa amechaguliwa kihalali na wananchi. Haya mapinduzi yalichochewa na nchi za magharibi!!! Lengo likiwa ni kuitenga ukraine na Urusi na kuiingiza NATO. Majimbo matatu ya Ukraine yenye warusi wengi hayakuyatambua mapinduzi hayo yaani majimbo mawili ya Donbass na jimbo moja la Crimea. Majimbo mawilin ya Donbass yakaamua kujitenga na ukraine na jimbo la Crimea likaamua kujiunga na Urusi. Aliyeanzisha vita ni Ukraine maana ukraine iliyavamia majimbo mawili ya Donbass ili kuyarejeza Ukraine kwa nguvu. Ukraine ilishindwa kuyarejeza hayo majimbo kwa nguvu za kijeshi na vita hivyo viligharimu vifo vya watu 400,000 kwenye hayo majimbo mawili. Ujanja ukatumiwa na nchi za NATO kwa kusainishwa mkataba wa amani wa Minst ambao uliitaka ukraine kuyapatia madaraka ya kujitawala majimbo haya huku yakiwa ndani ya ukraine. Kumbe NATO walitaka kupata muda wa kuiandaa vizuri kijeshi ukraine ili baadaye iweze kuyarejesha kwa nguvu majimbo haya, na huku akiahidiwa kuingizwa NATO ili urusi ije ishindwe kupigana na ukraine ikiwa mwanachama wa NATO!! Urusi ikaliona hili na ikatoa masharti kuwa Ukraine itangaze kutokujiunga na NATO, na NATO itangaze kutokuipokea ukraine kwenye NATO. Sharti hili lilikataliwa na NATO. Hapo Urusi haikuwa na uchaguzi mwingine zaidi ya kuamua kuyatambua majimbo ya Donbass na kuamua kuyakomboa kikamilifu!! Kwa hiyo Urusi iliingia kama mtetezi dhidi ya mashambulizi yaliyokuwa yanaendelea ya Ukraine dhidi ya Donbass.
 
Tatizo ni kwamba umeingizwa mkenge na propaganda za nchi za magharibi!!! Unachodai wewe ni kwamba Urusi ndiye mchokozi na mvamizi. Hii ni kwa sababu unadhani mgogoro umeanza february 2022. Ukweli ni kwamba ,mgogoro ulianza 2014 kwa kumpindua rais halali aliyekuwa amechaguliwa kihalali na wananchi. Haya mapinduzi yalichochewa na nchi za magharibi!!! Lengo likiwa ni kuitenga ukraine na Urusi na kuiingiza NATO. Majimbo matatu ya Ukraine yenye warusi wengi hayakuyatambua mapinduzi hayo yaani majimbo mawili ya Donbass na jimbo moja la Crimea. Majimbo mawilin ya Donbass yakaamua kujitenga na ukraine na jimbo la Crimea likaamua kujiunga na Urusi. Aliyeanzisha vita ni Ukraine maana ukraine iliyavamia majimbo mawili ya Donbass ili kuyarejeza Ukraine kwa nguvu. Ukraine ilishindwa kuyarejeza hayo majimbo kwa nguvu za kijeshi na vita hivyo viligharimu vifo vya watu 400,000 kwenye hayo majimbo mawili. Ujanja ukatumiwa na nchi za NATO kwa kusainishwa mkataba wa amani wa Minst ambao uliitaka ukraine kuyapatia madaraka ya kujitawala majimbo haya huku yakiwa ndani ya ukraine. Kumbe NATO walitaka kupata muda wa kuiandaa vizuri kijeshi ukraine ili baadaye iweze kuyarejesha kwa nguvu majimbo haya, na huku akiahidiwa kuingizwa NATO ili urusi ije ishindwe kupigana na ukraine ikiwa mwanachama wa NATO!! Urusi ikaliona hili na ikatoa masharti kuwa Ukraine itangaze kutokujiunga na NATO, na NATO itangaze kutokuipokea ukraine kwenye NATO. Sharti hili lilikataliwa na NATO. Hapo Urusi haikuwa na uchaguzi mwingine zaidi ya kuamua kuyatambua majimbo ya Donbass na kuamua kuyakomboa kikamilifu!! Kwa hiyo Urusi iliingia kama mtetezi dhidi ya mashambulizi yaliyokuwa yanaendelea ya Ukraine dhidi ya Donbass.
Bandiko safi sana hili, lakini wale wafuasi na wapenda ushoga watalipinga kwa jeuri tu lakina nafsini mwao wanakubaliana na huu ukweli
 
Back
Top Bottom