stow away
JF-Expert Member
- Dec 5, 2022
- 11,073
- 21,945
Scammers kaa mbali mita elfu 50 usiguse huo waya, yaan usijaribu kabisa soon wanakugeuza Zombie S2KIZZYKianzio cha chini kuwekeza ni dolla 200.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Scammers kaa mbali mita elfu 50 usiguse huo waya, yaan usijaribu kabisa soon wanakugeuza Zombie S2KIZZYKianzio cha chini kuwekeza ni dolla 200.
Mi nimemwambia ajaribu kumuomba amuazime hiyo dolla 200, profit ikitoka anarudisha na nyongeza juu, aone kama atakubali huyo anayempa hiyo fursa, ambaye kashalewa progit mpaka anaanza kusaidia wengine kuingia kwenye fursa🤣Scammers kaa mbali mita elfu 50 usiguse huo waya,
Usimponze hao scammers wana mbinu nyingi sana, nyingi sana za kupiga hela maelezo ni marefu Ila usiguse niliona DW walionyesha documentary ya hao jamaa wakawa framed wapo waliodakwa na wapo wanaosakwa mpaka kesho, issue ni hio hio cryptocurrencyMtoa mada shukuru sana hawa watu wamecomment kwenye huu uzi, kwamba dola 200, profit dolla 2500,
Muombe akufhamini hiyo dolla 200 profit ikitoka utampa dolla 1000 then wewe kwenye ile dollar 250 utabaki na dollar 1500 akikubali hii account sito futa ila ntacha kucomment kwenyw nyuzi yoyote mpaka mwaka uishe
AsijaribuMi nimemwambia ajaribu kumuomba amuazime hiyo dolla 200, profit ikitoka anarudisha na nyongeza juu, aone kama atakubali huyo anayempa hiyo fursa, ambaye kashalewa progit mpaka anaanza kusaidia wengine kuingia kwenye fursa🤣
Link yao hii hapa:-Mlio soon [emoji776]
teslatradeshareclub.com
Link yaoUsimponze hao scammers wana mbinu nyingi sana, nyingi sana za kupiga hela maelezo ni marefu Ila usiguse niliona DW walionyesha documentary ya hao jamaa wakawa framed wapo waliodakwa na wapo wanaosakwa mpaka kesho, issue ni hio hio cryptocurrency
teslatradeshareclub.com
Mjomba hizo websites wanatengeneza wenyewe kila kitu mpaka mifumo ya kupokea transactions zote, unabisha weka hio dollar 200 utarudi tena hapa kutuambia huku unalia Ila usiseme hatukukwambiaLink yao
![]()
Home - Tesla Trade Share Club
Tesla Trade Share Club is a group of financial and cryptocurrency experts that invest in mining and cryptocurrency trading.teslatradeshareclub.com
Link yao
![]()
Home - Tesla Trade Share Club
Tesla Trade Share Club is a group of financial and cryptocurrency experts that invest in mining and cryptocurrency trading.teslatradeshareclub.com
Mtoa mada kwanini umeweka hii link🤣🤣 au ndo ulikua mkakati huuLink yao hii hapa:-
![]()
Home - Tesla Trade Share Club
Tesla Trade Share Club is a group of financial and cryptocurrency experts that invest in mining and cryptocurrency trading.teslatradeshareclub.com
Hata forex hela ipo, ila sio rahisi kama inavotangazwa, na matokeo yake madalali wa forex wamekua ndo wengiMatapeli tu hao,...Ni sawa na wale wa forex
Wa forex wanaofaidi hao madalali wanasema leta Hela nikuzungushieHata forex hela ipo, ila sio rahisi kama inavotangazwa, na matokeo yake madalali wa forex wamekua ndo wengi
Forex ukitaka upambanie, tafuta mwalimu wa kuaminika then anza kukomaa nayo sasa kama biashara zingine tu, mtu akikwambia njoo nikuzungushie mkimbie🤣🤣Wa forex wanaofaidi hao madalali wanasema leta Hela nikuzungushie
Kweli AiseeForex ukitaka upambanie, tafuta mwalimu wa kuaminika then anza kukomaa nayo sasa kama biashara zingine tu, mtu akikwambia njoo nikuzungushie mkimbie🤣🤣
Ngosha weka mbali na watotoMchanganuo wake:-
BASIC
- Invest $200 earn $2500
- Invest $300 earn $3500
- Invest $400 earn $4500
- Invest $500 earn $5000
PRO
- $1000 earn $10,000
- $2,000 earn $15,000
- $3,000 earn $20,000
- $4,000 earn $25,000
- $5,000 earn $30,000
- $10,000 earn $50,000.
PREMIUM
- 1BTC earn 5BTC
- 2BTC earn 10BTC
- 3BTC earn 16BTC
- 4BTC earn 22BTC
- 5BTC earn 30BTC.
Lengo ni kutafuta ukweli; hiyo platform ni ya uongo?Mtoa mada kwanini umeweka hii link🤣🤣 au ndo ulikua mkakati huu
Lengo ni kutafuta ukweli; hiyo platform ni ya uongo?We jamaa lengo la uzi huu ni kuuliza ueleweshwe au umekuja kutafuta vichwa?
Kumbe na wazungu nao ni matapeli?Matapeli tu hao,...Ni sawa na wale wa forex