mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Mimi mwenyewe nipo huko.napiga hela.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni muhimu kupata uelewa, kwa sababu inbox nimetembelewa na watu wa huko nje, US na Canada, wanashawishi kuhusu hii biashara.bora umepost wengi wajifunze
Tusaidie tuweze kupata muangaza mkuuMimi mwenyewe nipo huko.napiga hela.
Nimekwambia mwambie alokwambia akuazime hiyo dolla 200 umemuuliza??Lengo ni kutafuta ukweli; hiyo platform ni ya uongo?
Mjomba hizo websites wanatengeneza wenyewe kila kitu mpaka mifumo ya kupokea transactions zote, unabisha weka hio dollar 200 utarudi tena hapa kutuambia huku unalia Ila usiseme hatukukwambia
Kenge hua HAUSIKII mpaka sikio litoke damu
View: https://www.youtube.com/watch?v=7gI-w6Dw77I
Source nimekupa kabisa fanya at your own risk
Huyo jamaa anaeelezea humo alikua anaicheza hio michezo a to z kaelezea kila kitu kinavyokua na wanaoperate all over the world na wana target victims km wewe mwenye njaa za Pesa kijingajinga mnapenda easy money on the internet mnaishia kupigwa cyber slave
View: https://www.youtube.com/watch?v=Ti7YDegRMYE
Wanasema ili ufanikiwe, lazime ujue pia kutoaNimekwambia mwambie alokwambia akuazime hiyo dolla 200 umemuuliza??
Ukiangalia hizo documentary wamekuelezea kila kitu ni wewe tu kuangalia na kumsikiliza anasemaje,Ebu fafanua vizuri kuhusu link niliyoiweka, ni ya matapeli?
toa sasa , alafu ulete mrejesho,Wanasema ili ufanikiwe, lazime ujue pia kutoa
Mtapeliwa haamini mpaka katapeliwa Equation x, Sasa tutaongeza na equation y then tu solve simultaneously equation, ili uone kama equation ziko well defined au majibu yanakuja infinity.Ukiangalia hizo documentary wamekuelezea kila kitu ni wewe tu kuangalia na kumsikiliza anasemaje,
na ukileta mrejesho tutakuomba hiyo dolla 200 wewe sasa, iliikishatoa dolla2500 tukurudishie dollar 1000toa sasa , alafu ulete mrejesho,
Nitumie helaTusaidie tuweze kupata muangaza mkuu
Yaan Equation x unaambiwa kwamba hio dollar 200 mtumie huyo tapeli atakachofanya atakuonyesha kwamba imeingia kwenye akaunt yako alafu baada ya hapo akaendesha scam yake na kuonyesha kua umepiga km dollar 500 kwa hio itakua dollar 700 inasoma kwenye akaunt yako na atakuonyesha lakini hatokuruhusu kutoa mpaka uingize dollar 1000 kwanza (wanapiga lock akaunt yako), sasa wewe na mitamaa yako na ulivyo zuzu utatuma dollar 1000 alafu circle itaendelea hivyo yeye anavuna TU kutoka kwako wewe hupati kitu alafu kule washenzi wanachekelea walivyo kufanya Zombie na mtumwa wao unatuma tu Pesa bila kujiuliza mara 3Mtapeliwa haamini mpaka katapeliwa Equation x, Sasa tutaongeza na equation y then tu solve simultaneously equation, ili uone kama equation ziko well defined au majibu yanakuja infinity.
Hakuna ela za hivyo anazotaka Equation x, kama Wana uwezo wa kuzalisha faida zote hizo Kwa nini wahangaike na dola 200. Kwamba yeye anakosa dola 200 imzalishie faida ya dola 2500 akae anawaomba watu waweke hio pesa.Yaan Equation x unaambiwa kwamba hio dollar 200 mtumie huyo tapeli atakachofanya atakuonyesha kwamba imeingia kwenye akaunt yako alafu baada ya hapo akaendesha scam yake na kuonyesha kua umepiga km dollar 500 kwa hio iitakua dollar 700 inasoma kwenye akaunt yako na atakuonyesha lakini hatokuruhusu kutoa mpaka uingize dollar 1000 kwanza (wanapiga lock), sasa wewe na mitamaa yako na ulivyo zuzu utatuma dollar 1000 alafu circle utaendelea hivyo yeye anavuna TU kutoka kwako wewe hupati kitu alafu kule washenzi wanachekelea walivyo kufanya Zombie na mtumwa wao unatuma tu Pesa bila kujiuliza mara 3
ukiitwa kwenye fursa... ujue wewe ndo Fursa... RIP Ruge MNi muhimu kupata uelewa, kwa sababu inbox nimetembelewa na watu wa huko nje, US na Canada, wanashawishi kuhusu hii biashara.
Inawezekana, kwa sababu ni mashangazi wazuri kweli, wananishawishi 😀ukiitwa kwenye fursa... ujue wewe ndo Fursa... RIP Ruge M
Alafu ni mabinti wakali kweli 😀; au ndio utapeli wa kisasaHakuna ela za hivyo anazotaka Equation x, kama Wana uwezo wa kuzalisha faida zote hizo Kwa nini wahangaike na dola 200. Kwamba yeye anakosa dola 200 imzalishie faida ya dola 2500 akae anawaomba watu waweke hio pesa.
Niwatu wachache ambao huwa wanaamin scammer wapo bila kutapeliwa. Sasa muache atapeliwe ili aweze kuwapa elimu wengine, maana yeye Equation x ni tomaso haamini mpaka ajionee katapeliwa.
Umeomba lkn verification ID?.Inawezekana, kwa sababu ni mashangazi wazuri kweli, wananishawishi 😀
Hapa kuna cha kujifunzaYaan Equation x unaambiwa kwamba hio dollar 200 mtumie huyo tapeli atakachofanya atakuonyesha kwamba imeingia kwenye akaunt yako alafu baada ya hapo akaendesha scam yake na kuonyesha kua umepiga km dollar 500 kwa hio itakua dollar 700 inasoma kwenye akaunt yako na atakuonyesha lakini hatokuruhusu kutoa mpaka uingize dollar 1000 kwanza (wanapiga lock akaunt yako), sasa wewe na mitamaa yako na ulivyo zuzu utatuma dollar 1000 alafu circle itaendelea hivyo yeye anavuna TU kutoka kwako wewe hupati kitu alafu kule washenzi wanachekelea walivyo kufanya Zombie na mtumwa wao unatuma tu Pesa bila kujiuliza mara 3
Jichanganye uone kama nimabinti au washkaji waliovaa uhusika wa mabinti .Alafu ni mabinti wakali kweli 😀; au ndio utapeli wa kisasa
Hapana, kwa sababu ata bodo kufungua akaunti; ingawa wananilazimisha nifungue haraka; nimewapiga saundi nikawaambia mpaka baada ya miezi mitatu nitafanya hivyo.Umeomba lkn verification ID?.