Hii Button (Kitufe) kwenye hii gari hakuna anayejua kazi yake nini na wote wanaogopa ibonyeza

Hii Button (Kitufe) kwenye hii gari hakuna anayejua kazi yake nini na wote wanaogopa ibonyeza

Mtu Asiyejulikana

JF-Expert Member
Joined
Sep 11, 2017
Posts
2,254
Reaction score
5,161
Jamaa yangu alinipitia tuende somewhere kusherehekea sikukuu yetu ya Muunganisho wa Tanganyika na Tangapwani.

Alikuja na gari yake mpya Toyota Rumion mwaka 2008 engine ya 1.8 actually hizi gari huwa naziona tu sikuwahi panda au dhania zingekuwa nzuri.

Ndani mambo si mengi saaaana. Ila imetulia sana barabarani. Inakamata vizuri lami hata ukifika 140 unaona gari imetulia tu imelalia lami vizuri inaji servia taratibu.

Nlichopenda ukienda upande wa Manual ina gear mpaka 7. Balaa lake si dogo. From 0- 100 kms inatumia sekunde 9. So nayo imo vizuri tu. Pia ni push start. Yaani unawasha kwa kubonyeza kitufe siyo kuzungusha funguo.

Jambo ambalo sikupenda sana ni kuwa ni CVT gear box. Inapobadili gear husikii kitu upande wa auto. Mimi napenda nisikie gear ikibadilika. Of course nina gari yenye mfumo huo but siifurahii sana. Coz napenda nisikie kitu kiki change.

Ina ECO system unapokuwa speed ndogo automatically inaenda kwenye mfumo huo. Ukikanyaga mafuta ikachanganya inajiondoa yenyewe.

Kiufupi nimeifurahia kuliko Forester yangu ya 2011 sijui kwa nini. Kubwa ni uwezo wake wa ku absorb mashimo kuliko Forester XT 2011. Yangu ni mpya pia ya mwaka jana mwezi wa 11.

But kuna button niliiona pembeni chini ya Usukani. Ni kabutton kadogo tu keusi. Nlimuuliza jamaa haka kana kazi gani. Hakuweza jibu. Akasema naye hajui sababu aliwauliza show room hawakuweza mjibu so anaogopa kukabonyeza.na akanitaka nisikaguse kanaweza kuwa ni kajipu Uchungu.

Ka button kenyewe ndo haka hapa. Wadau wenye kufahami je. Kana kazi gani haka.

IMG_20220427_073837_601.jpg
 
Muachage uongo bhana, unazijua sekunde 9 wewe?
huna gari au una kagari kadogo sana. Range Rover Sports zinatoka 0-100 speed kms kwa sekunde 6.6 we unashangaa hiyo 9? na zipo ambazo ni chini ya hapo.

unatakiwa uwe unafahamu magari usiwe tu unabisha sababu ni maskini. mara nyingi maskini wa mawazo huwa wanatafuta pa kubisha au kukosoa. hiyo kawaida kabisa. nenda kawaulize wenye magari ya ukweli. achana na usafiri maana pengine una babywalker inatumia sekunde 60+
 
huna gari au una kagari kadogo sana. Range Rover Sports zinatoka 0-100 speed kms kwa sekunde 6.6 we unashangaa hiyo 9? na zipo ambazo ni chini ya hapo. unatakiwa uwe unafahamu magari usiwe tu unabisha sababu ni maskini. mara nyingi maskini wa mawazo huwa wanatafuta pa kubisha au kukosoa. hiyo kawaida kabisa. nenda kawaulize wenye magari ya ukweli. achana na usafiri maana pengine una babywalker inatumia sekunde 60+
Haya tajiri tusibishane
 
Haya tajiri tusibishane
  • McLaren P1, BAC Mono - 2.8s. ...
  • Caterham 620R, 2.79s to 60mph. ...
  • Hennessy Venom GT - 2.7s to 60mph. ...
  • Porsche 911 Turbo S (992) - 2.6s to 62mph. ...
  • Rimac Concept One – 2.5sec to 62mph. ...
  • Porsche 918 Spyder, Koenigsegg One:1 – 2.5sec to 60mph. ...
  • Tesla Model S, Porsche Taycan Turbo S, Bugatti Chiron - 2.4s to 62mph.
angalia hizi please ujifunze kitu.. kuna gari zinatumia sekunde 2.5 kutoka 0-100. imagine 2.5 seconds. acha kabisa.
 
  • McLaren P1, BAC Mono - 2.8s. ...
  • Caterham 620R, 2.79s to 60mph. ...
  • Hennessy Venom GT - 2.7s to 60mph. ...
  • Porsche 911 Turbo S (992) - 2.6s to 62mph. ...
  • Rimac Concept One – 2.5sec to 62mph. ...
  • Porsche 918 Spyder, Koenigsegg One:1 – 2.5sec to 60mph. ...
  • Tesla Model S, Porsche Taycan Turbo S, Bugatti Chiron - 2.4s to 62mph.
angalia hizi please ujifunze kitu.. kuna gari zinatumia sekunde 2.5 kutoka 0-100. imagine 2.5 seconds. acha kabisa.
tunazungumzia RUMION acha kutangatanga
 
Back
Top Bottom