CAPTORHINOMORPHS
JF-Expert Member
- Sep 29, 2019
- 3,048
- 7,608
According to some sources wanasema its 12.7Umesoma gari tunayoizungumzia lakini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
According to some sources wanasema its 12.7Umesoma gari tunayoizungumzia lakini?
kwaio inaweza kutembea 100km\9sec from 0Yeeeh
mweleweshe jamaa hayafahamu magariKoenigsegg Gemera
Inaenda 0-60mph in under 2 seconds
tuwekee hizo sourcesAccording to some sources wanasema its 12.7
Toyota supra ina 4,3 seconds na ni ya kijapanHizi ni super car sio hizi za kijapan
Nissan GT-R R35 ina 3.7 secondsHizi ni super car sio hizi za kijapan
Sio vita lakinituwekee hizo sources
Tuseme "ameenn"Wanakuja mkuu! Mimi ni mdau mzuri wa foot print hadi pale Mungu atatenda!
Unaweza ukawa sahihi nimjaribu kutafuta tafsri ya New haya ndio nimepata:Mkuu upya wa kitu si unatokana na anayekimiliki? sijaona ajabu hapo. kama kiatu kimetengenezwa mwaka 1990 we ukaja ukakinunua leo... hicho siyo kipya? au wewe upya una uelewaje?
see..... kwa hiyo unapokimiliki kitu au kukiona for the first time kwako ni kipya. hata demu unaweza ukawa na demu mpya ila wenzako walishapiga.. wewe ambaye hujawahi piga mashine yake anakuwa mpya kwako. so jamaa yuko sahihi.Unaweza ukawa sahihi nimjaribu kutafuta tafsri ya New haya ndio nimepata:
1. produced, introduced, or discovered recently or now for the first time; not existing before.
2.already existing but seen, experienced, or acquired recently or now for the first time.
"her new bike"
Hii ni gari gani inazungumziwa? Maana sioni jina la gariSio vita lakiniView attachment 2202082
Jamaa yangu alinipitia tuende somewhere kusherehekea sikukuu yetu ya Muunganisho wa Tanganyika na Tangapwani.
Alikuja na gari yake mpya Toyota Rumion mwaka 2008 engine ya 1.8 actually hizi gari huwa naziona tu sikuwahi panda au dhania zingekuwa nzuri.
Ndani mambo si mengi saaaana. Ila imetulia sana barabarani. Inakamata vizuri lami hata ukifika 140 unaona gari imetulia tu imelalia lami vizuri inaji servia taratibu.
Nlichopenda ukienda upande wa Manual ina gear mpaka 7. Balaa lake si dogo. From 0- 100 kms inatumia sekunde 9. So nayo imo vizuri tu. Pia ni push start. Yaani unawasha kwa kubonyeza kitufe siyo kuzungusha funguo.
Jambo ambalo sikupenda sana ni kuwa ni CVT gear box. Inapobadili gear husikii kitu upande wa auto. Mimi napenda nisikie gear ikibadilika. Of course nina gari yenye mfumo huo but siifurahii sana. Coz napenda nisikie kitu kiki change.
Ina ECO system unapokuwa speed ndogo automatically inaenda kwenye mfumo huo. Ukikanyaga mafuta ikachanganya inajiondoa yenyewe.
Kiufupi nimeifurahia kuliko Forester yangu ya 2011 sijui kwa nini. Kubwa ni uwezo wake wa ku absorb mashimo kuliko Forester XT 2011. Yangu ni mpya pia ya mwaka jana mwezi wa 11.
But kuna button niliiona pembeni chini ya Usukani. Ni kabutton kadogo tu keusi. Nlimuuliza jamaa haka kana kazi gani. Hakuweza jibu. Akasema naye hajui sababu aliwauliza show room hawakuweza mjibu so anaogopa kukabonyeza.na akanitaka nisikaguse kanaweza kuwa ni kajipu Uchungu.
Ka button kenyewe ndo haka hapa. Wadau wenye kufahami je. Kana kazi gani haka.
View attachment 2202021
Taratibu, tunaacha kujibu swali lililoko mwzani, tunajiingiza kwenye suala la nje ya mada!
Mdau,
Hicho kitufe, kama alivyosema mchangiaji hapo juu, ni kama voice command sensor na haina matumizi yeyote ya maana ama lazma sana huku kwetu.
Ukiangalia vizuri, kuna sehemu pia kidude kama cha bati kwaajili ya kuweka kitu mfano wa kadi. Angalia vizuri utaona
Na wakati mwingine, huwa zinakuja na kadi kabisa za parking walizokua wakitumia huko!
Ni vitu vya kawaida, msiogope. Ukibonyeza, angalia na screen ya radio inavyofanya.
Naomba Extrovert na Offshore Seamen muongezee nyama
Nawasilisha
Kama kimewahi kuvaliwa sio kipya.Mkuu upya wa kitu si unatokana na anayekimiliki? sijaona ajabu hapo. kama kiatu kimetengenezwa mwaka 1990 we ukaja ukakinunua leo... hicho siyo kipya? au wewe upya una uelewaje?
kipya kwa mtu ambaye hajawahi kuvaa au hajawah endesha. ingia darasani kidogo usome maana ya neno kipya au newKama kimewahi kuvaliwa sio kipya.
Na Hilo gari kama limewahi kuendeshwa huko ng'ambo sio jipya
Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
[emoji849][emoji848][emoji19]Hii ni gari gani inazungumziwa? Maana sioni jina la gari