Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alafu mind you kasema 0-100 siyo 0-60 🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Sijui hizo stats ama test drive reports znatoka wapi. Rumions are nice ila kwa hiyo performance sidhani. If it's that quick enough to pair up gears to hiyo extent.Muachage uongo bhana, unazijua sekunde 9 wewe?
You are so right, ila kama sijakosea point yake nahisi ni kama nilivyofkiri mimi. Kuna super na hyper cars zina enda below that time the so mentioned 9 seconds from 0-60 or 0-100. Ila mimi pia nilishangaa kwa class ya rumion an NA (Naturally Aspired) kukimbia ki hivyo beating Turbocharged automobiles. Mtu unaweza ku mod or tune gari na ukapata more power out of it's motor. Ila kwa stock Rumion kwa huo muda ni ngumu kidogo kuamini.huna gari au una kagari kadogo sana. Range Rover Sports zinatoka 0-100 speed kms kwa sekunde 6.6 we unashangaa hiyo 9? na zipo ambazo ni chini ya hapo.
unatakiwa uwe unafahamu magari usiwe tu unabisha sababu ni maskini. mara nyingi maskini wa mawazo huwa wanatafuta pa kubisha au kukosoa. hiyo kawaida kabisa. nenda kawaulize wenye magari ya ukweli. achana na usafiri maana pengine una babywalker inatumia sekunde 60+
Ajionyeshe kwani kuna mtu, anamjua kwa kumuona humu.Ni gia ya kujionesha kuwa unamiliki magari, hakuna zaidi ya hapo!!
Mimi sina gari na sio mtaalamu wa magari ila hakuna gari ya kwenda km 100 kwa sekunde 9 mniue ila kamwe sikubalihuna gari au una kagari kadogo sana. Range Rover Sports zinatoka 0-100 speed kms kwa sekunde 6.6 we unashangaa hiyo 9? na zipo ambazo ni chini ya hapo.
unatakiwa uwe unafahamu magari usiwe tu unabisha sababu ni maskini. mara nyingi maskini wa mawazo huwa wanatafuta pa kubisha au kukosoa. hiyo kawaida kabisa. nenda kawaulize wenye magari ya ukweli. achana na usafiri maana pengine una babywalker inatumia sekunde 60+
Mimi sina gari na sio mtaalamu wa magari ila hakuna gari ya kwenda km 100 kwa sekunde 9 mniue ila kamwe sikubali
Labda itokee sijaelewa unamanisha nini
Hata gari ya rais haina uwezo huo
Upo sahihi kwa maelezo yako ... ni kweli kabisa hakuna gari inayokwenda 100km ( ubungo - chalinze ) kwa sekunde 9 ..Mimi sina gari na sio mtaalamu wa magari ila hakuna gari ya kwenda km 100 kwa sekunde 9 mniue ila kamwe sikubali
Labda itokee sijaelewa unamanisha nini
Hata gari ya rais haina uwezo huo
Kwani tukisema Duma/chetah anakimbia kilometer 120 kwa saa unadhani ni kweli huwa anakimbia kilometer hizo zote.Mimi sina gari na sio mtaalamu wa magari ila hakuna gari ya kwenda km 100 kwa sekunde 9 mniue ila kamwe sikubali
Labda itokee sijaelewa unamanisha nini
Hata gari ya rais haina uwezo huo
Kwani tukisema Duma/chetah anakimbia kilometer 120 kwa saa unadhani ni kweli huwa anakimbia kilometer hizo zote.
hapa inazungumziwa accrelation yake hata Kama kaishia nusu kilometer lakini tumepima speed yake ya mbio ndani ya hiyo nusu kilometer
... ninyi wote mnazungumzia concept moja - ACCELERATION. Ni gari ipi yenye acceleration kubwa; inayobadili kasi kwa haraka zaidi.
Ni hiv akikanyaga mafuta mengi gar inauwez wakufik speed 100 kwa sekunde 9 tuukwaio inaweza kutembea 100km\9sec from 0
Hizi ni super car sio hizi za kijapan
kwaio inaweza kutembea 100km\9sec from 0
Uongo.... gari kwenda kwa kasi ya 100km/hr haimaanishi itasafiri 100km kwa sekunde 2.5 bali ina uwezo wa kusafiri 100km kwa 1 hr. Kinachozungumzwa hapa ni kwamba kuna gari zenye uwezo wa ku-attain 100km/hr ndani ya 2.5 sec which is possible. Nikupe mfano mwingie, inawezekana gari kufikia kasi ya 200km/hr ndani ya umbali mita 50.
PointGari bwana ni kama mwanamke, wenzio watatumia huko mpaka wachoke, halafu wewe ukimtongoza unajiona umepata kitu kipya.
Hii inategemeana na ukubwa wa injini. Alphard to kwa 2.5 naweza pata 60kphangalia hizi please ujifunze kitu.. kuna gari zinatumia sekunde 2.5 kutoka 0-100. imagine 2.5 seconds. acha kabisa.
- McLaren P1, BAC Mono - 2.8s. ...
- Caterham 620R, 2.79s to 60mph. ...
- Hennessy Venom GT - 2.7s to 60mph. ...
- Porsche 911 Turbo S (992) - 2.6s to 62mph. ...
- Rimac Concept One – 2.5sec to 62mph. ...
- Porsche 918 Spyder, Koenigsegg One:1 – 2.5sec to 60mph. ...
- Tesla Model S, Porsche Taycan Turbo S, Bugatti Chiron - 2.4s to 62mph.
Maelezo yako ya mwanzo(huna gari na sio mtaalam wa magari) yanathibitisha kabisa kuwa hujaelewa kilichomaanishwa.Mimi sina gari na sio mtaalamu wa magari ila hakuna gari ya kwenda km 100 kwa sekunde 9 mniue ila kamwe sikubali
Labda itokee sijaelewa unamanisha nini
Hata gari ya rais haina uwezo huo