BARDIZBAH
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 5,259
- 10,078
Habari wana jukwaa?
1.Unaamka asubuhi na stress unajiuliza leo itakuaje tena nini kitatokea huko?
2.Kuna wale wanajua kujipendekeza kwa boss na kujifanya wanainformation zote jinsi shughuli za kiofisi zinavyokwenda(Machawa).
3. Kuna wale wana vijikundi vyao vya masengenyo, hao ukitoka tu wanakusema , kuna muda wanasemana mpaka wao wenyewe.
4. Kuna yule boss mwenyewe kutwa kujinunisha, salamu usipo msalimia wewe basi usitegemee yeye kuanza kukusalimia wewe.
Wakuu nipo mkoa X napigania ugali, nalipwa 500k taasisi binafsi, ila naona hizi changamoto zinanivuruga sana. Nina Akiba ya 1.5million nategemea mwez wa 11 niwe hata na 3+ million,, nafikiria kuachana na hii kazi kwakweli, nikajaribu hata biashara. Mimi ni wale watu ambao napenda kuyachukulia mambo personal sana sasa Nateseka sana na Mambo kama hayo juu kwenye maofisi, sina Amani kabisa.
Mwenye ushauri tafadhali wakuu.
Natanguliza shukrani
1.Unaamka asubuhi na stress unajiuliza leo itakuaje tena nini kitatokea huko?
2.Kuna wale wanajua kujipendekeza kwa boss na kujifanya wanainformation zote jinsi shughuli za kiofisi zinavyokwenda(Machawa).
3. Kuna wale wana vijikundi vyao vya masengenyo, hao ukitoka tu wanakusema , kuna muda wanasemana mpaka wao wenyewe.
4. Kuna yule boss mwenyewe kutwa kujinunisha, salamu usipo msalimia wewe basi usitegemee yeye kuanza kukusalimia wewe.
Wakuu nipo mkoa X napigania ugali, nalipwa 500k taasisi binafsi, ila naona hizi changamoto zinanivuruga sana. Nina Akiba ya 1.5million nategemea mwez wa 11 niwe hata na 3+ million,, nafikiria kuachana na hii kazi kwakweli, nikajaribu hata biashara. Mimi ni wale watu ambao napenda kuyachukulia mambo personal sana sasa Nateseka sana na Mambo kama hayo juu kwenye maofisi, sina Amani kabisa.
Mwenye ushauri tafadhali wakuu.
Natanguliza shukrani