kipenseli2021
JF-Expert Member
- Jul 17, 2021
- 1,390
- 1,431
Swadata ni kweli yani mtu akimuona boss basi ataongea kila kitu aonekane yeye ni boraKinachokera zaid bora wao , wajipendekeze ila wasichafulie watu wengine mambo yao.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swadata ni kweli yani mtu akimuona boss basi ataongea kila kitu aonekane yeye ni boraKinachokera zaid bora wao , wajipendekeze ila wasichafulie watu wengine mambo yao.
Nashukuru sana mkuu.Shukuru hapo ni majungu tu.. Kuna sehemu nyingine na uchawi upo..
Kikubwa ni kuwa mvumilivu.. Changamoto haikimbiwi.. Changamoto inakabiliwa.. Kuwa mpole, angalia majukumu yako.. Timiza majukumu yako kwa wakati.. Usijibizane na mtu hapo ofisini.. Siku zote kwenye ukweli uongo hujitenga.. Njia ya muongo ni fupi.. Ipo siku ukweli utajulikana na utaishi kwa amani..
Kama kweli ni mtu wa kuchukulia mambo pesono, ungekuwa ushampa vitasa hata mmoja hapo job ili kuwakata wenge.Mimi ni wale watu ambao napenda kuyachukulia mambo personal sana
Vijana hao hawajitambui mkuu. Yaani vitu vidogo vidogo kama hivyo vinaamkatisha tamaa. Wapi ambapo hakuna majungu kwa sisi ngozi nyeusi. Yaani watu unaokaa nao masaa 7 au 8 wakuumize?Kila penye ridhiki hapakosi majungu, ziba masikio piga kazi kwa bidii weka mipango yako.
Sana tu. Watanzania tuko vizuri sana kwenye sekta hii.Dawa ni kuwa CHURA KIZIWI sio binti kiziwi 🤪, ....... .pengine hata ushirikina upo.
Cha msingi unapiga mpesa? Its enoughHabari wana jukwaa?
1.Unaamka asubuhi na stress unajiuliza leo itakuaje tena nini kitatokea huko?
2.Kuna wale wanajua kujipendekeza kwa boss na kujifanya wanainformation zote jinsi shughuli za kiofisi zinavyokwenda(Machawa).
3. Kuna wale wana vijikundi vyao vya masengenyo, hao ukitoka tu wanakusema , kuna muda wanasemana mpaka wao wenyewe.
4. Kuna yule boss mwenyewe kutwa kujinunisha, salamu usipo msalimia wewe basi usitegemee yeye kuanza kukusalimia wewe.
Wakuu nipo mkoa X napigania ugali, nalipwa 500k taasisi binafsi, ila naona hizi changamoto zinanivuruga sana. Nina Akiba ya 1.5million nategemea mwez wa 11 niwe hata na 3+ million,, nafikiria kuachana na hii kazi kwakweli, nikajaribu hata biashara. Mimi ni wale watu ambao napenda kuyachukulia mambo personal sana sasa Nateseka sana na Mambo kama hayo juu kwenye maofisi, sina Amani kabisa.
Mwenye ushauri tafadhali wakuu.
Natanguliza shukrani
Pole sana, jambo la kawaida sana kwenye taasisi, hasa hizi za umma, MA HR huwa wanajifanya kana kwamba Taasisi ni za Baba Zao.Habari wana jukwaa?
1.Unaamka asubuhi na stress unajiuliza leo itakuaje tena nini kitatokea huko?
2.Kuna wale wanajua kujipendekeza kwa boss na kujifanya wanainformation zote jinsi shughuli za kiofisi zinavyokwenda(Machawa).
3. Kuna wale wana vijikundi vyao vya masengenyo, hao ukitoka tu wanakusema , kuna muda wanasemana mpaka wao wenyewe.
4. Kuna yule boss mwenyewe kutwa kujinunisha, salamu usipo msalimia wewe basi usitegemee yeye kuanza kukusalimia wewe.
Wakuu nipo mkoa X napigania ugali, nalipwa 500k taasisi binafsi, ila naona hizi changamoto zinanivuruga sana. Nina Akiba ya 1.5million nategemea mwez wa 11 niwe hata na 3+ million,, nafikiria kuachana na hii kazi kwakweli, nikajaribu hata biashara. Mimi ni wale watu ambao napenda kuyachukulia mambo personal sana sasa Nateseka sana na Mambo kama hayo juu kwenye maofisi, sina Amani kabisa.
Mwenye ushauri tafadhali wakuu.
Natanguliza shukrani
Mkuu kwenye biashara ndiko pasua kichwa!! Hiyo pesa milioni 3!!unaiona nyingi?!! Hahaaa, unaanza tu biashara TRA, hao, manispaa hao, wanataka chao!! Huku kama una roho nyepesi na huna kazi nyingine, ndio utegemee hapo hapo, ni balaa, labda uanze biashara wakati bado upo kazini, kuna unafuu,Nashukuru sana mkuu.
Million3+ sina mke sina mtoto,, naona kwa biashara naweza nikafunguliwa na mtoa riziki.