Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaaaaNunua sahani acha ubahili
Sio kweli, mbona mi sina gubu?[emoji23] [emoji23] wana gubu sana
Sio kweli mbona mimi sipiki na sijaoa na umri wa kuoa unaniruhusu kabisaWanaume wanaojua kupika hua wanachelewa sana kuoa
Hahaha kwa hayo mapishi kuoa we ni.ndoto
Yan anafundisha vizuri sanaNgoja na mie nikamfuatilie simjui hata
[emoji23] [emoji23] sukari kwenye chapatiChapati naona zina mafuta mengi mkuu. Hapo ukute uemtia na sukari kama hutatapika sijui
Pishi lako linavutia
Hujaoa badoSio kweli, mbona mi sina gubu?
Mara nyingi nikitaka upishi mpya naingia page za mapishi insta. Ngoja nianze na huyu sasa.Yan anafundisha vizuri sana
Utakua tu hujapata wa kumuoa au hauna mahariSio kweli mbona mimi sipiki na sijaoa na umri wa kuoa unaniruhusu kabisa
Ukimaliza hapo unashushia na maji basi tena. Kweli staftahi kabambe hiyo sio chapati za mtoa uzi utasema kaziloeka kwenye mafuta [emoji23][emoji23]Staftahi ya Jumamosi shurti iwe tofauti na siku za wiki....ukipata hiyo na juice fresh ya matunda....
Nimeshaoa, na watoto wawiliHujaoa bado
Sema ukipata mwanaume asiejua kupika raha hata umpikie nini ye anajionea sawa tuu. [emoji23][emoji23][emoji23]Yaan kuna huyo mme wa shoga angu alikuaga mpishi mkuu kwenye mgahawa wa mamake zaman,jaman mwanaume yule hata chai anakosoa,kila chakula kinachopikwa anaona kibaya,afu ukosoaji wake ni wa kuzira chakula anaviiimba,mkew akimuuliza nini shida,eti hua ugali mbona umepika mlaini sana,mara mchuzi hauna ushirikiano,nyanya peke ake ,kitunguu peke ake[emoji23] [emoji23] Anataka abeeeeeembelezwe au akatafutiwe chips mtaan ndo ale,yan ana gubu sio la hii karne
Hahaha kwa hayo mapishi kuoa we ni.ndoto
Insta sa unakuta video nusu nusu mi ndo mana naamuaga tu kwenda youtubeMara nyingi nikitaka upishi mpya naingia page za mapishi insta. Ngoja nianze na huyu sasa.
Ukimaliza hapo unashushia na maji basi tena. Kweli staftahi kabambe hiyo sio chapati za mtoa uzi utasema kaziloeka kwenye mafuta [emoji23][emoji23]
Mi natakaga kujua recipes na steps basi.Insta sa unakuta video nusu nusu mi ndo mana naamuaga tu kwenda youtube
Si kwasababu hajui kupika hata ukipika ovyo ye atakula na no comment, lakini mkitupata tunaojua, ukiniripulia jikoni nakwambia ukae pembeni nafanya yangu then we unabakia kuona haya tu[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]Sema ukipata mwanaume asiejua kupika raha hata umpikie nini ye anajionea sawa tuu. [emoji23][emoji23][emoji23]