Foxhound
JF-Expert Member
- Dec 15, 2013
- 28,710
- 76,243
[emoji13] kati ya watu ambao wanapata raha basi ni wanawake ambao wameolewa na wanaume wanaojua kupika, maana ukimzingua tu ye anaingia jikoni mwenyewe, sema wanawake wengi hilo hawalijui[emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]Na kingine napenda mwanaume anaejua kupika. Nikae ye anipikie siku moja moja.