Hii chapati niliyotengeneza, usipokua makini utajing'ata Vidole

Hii chapati niliyotengeneza, usipokua makini utajing'ata Vidole

Sadly hakuna...wengi wanapangiana zamu. Kupika kwa kupangiana zamu kunaboaje sasa.

Baadaye mnapata mtoto/watoto anakuja dada wa kazi..Jumatatu hadi Jumatatu anapika. My friend siku watoto wakikua wakaondoka mnachokanaje. Maana kipindi hiko nguvu za kushinda chumbani kiunoni usiku mzima hamna. Hamkuwa mnafanya kazi pamoja.

Naelewa kuna mihangaiko ya kazi na mtakapopata watoto. Lakini ikiwezekana Jumapili na Jumamosi mkaingia jikoni wenyewe..itawasaidia sana kudumisha ndoa yenu. Yani kama Jumapili ni kumpa dada likizo kabisa..asionekane jikoni.


Haimaanishi mnashinda jikoni siku nzima..ila kama mkipika pilau lenu safi mkaunganisha lunch na dinner...lile lisaa na mnalokaa pamoja jikoni huyu akikata hoho mwingine anamenya matunda...

Mkimaliza mnahakikisha mmesafisha jiko. Aisee baada ya msosi hapo mkienda zenu chumbani, chaga zitasimulia. Kufanya kazi pamoja kuna-strengthen sana mahusiano (sio kupika peke yake).

Usipende kufanya kazi kwa zamu..kila siku uwaze nifanye ninii cha ziada mwenzangu asichoke...nim-surprise na dish gani leo nimewahi kutoka kazini. Mwambie dada nenda kaangalie Marichui nipo jikoni leo nimewahi kutoka. Wengi siku hizi ni baba/mama akitoka kazini hata kama amewahi hiyo siku cha kwanza social media, TV, na kumshurutisha dada mpaka dada anawaombea muwe mnachelewa tu kila siku!!!!
umesema vyema mkuu
 
Biafsi kipindi nilipokuwa nyumba za kupanga kuna siku ilikuwa inatokezea mke wangu anaumwa na hataki niingie jikoni kumpikia eti kisa anaona aibu, lakini sahv siku moja moja namwambia akae pembeni akacheki Sinema zetu then kidume naingia jikoni. Hadi raha
Na ndo uswahilin kwetu ilivyo,hasa sie wa majiko ya mkaa,ah mwanaume anawashia jiko ndani,akitoa nje anaweka haraka haraka afu mbio ndani
 
Na ndo uswahilin kwetu ilivyo,hasa sie wa majiko ya mkaa,ah mwanaume anawashia jiko ndani,akitoa nje anaweka haraka haraka afu mbio ndani
Kila kitu kinahitaji utulivu. Hata kwenye kupika, bila hivyo utaripua tu[emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38]
 
Heshima kwenu wakuu,

Nmegundua kumbe kutengeneza chapati simple sana. Nimetengeneza chapati sikutegemea kama zitakua tamu hivi. Yaani ni tamu balaa.. Nikimpikia mgeni itabidi nimwambie awe makini asijing'ate kidole au ulimi.

Ila bado kuna tatizo, kama mlivyo nifundisha kutengeneza chips, Nimejaribu kukaanga Chips sijafanikiwa sana, msaada jamani

Naomba niongezewe utaalam wa chapati. Nataka nikija kuoa mke wangu asipate tabu pale anapoumwa au kusafiri. Chapati ninazotengeneza hazitazamiki halafu mafuta yanadondoka kama asali.

Je, nyie mwatengenezaje na mwatia viungo gani? View attachment 717776
Mafuta yamezidi,ulikua unaogopa kuunguza?
 
Sadly hakuna...wengi wanapangiana zamu. Kupika kwa kupangiana zamu kunaboaje sasa.

Baadaye mnapata mtoto/watoto anakuja dada wa kazi..Jumatatu hadi Jumatatu anapika. My friend siku watoto wakikua wakaondoka mnachokanaje. Maana kipindi hiko nguvu za kushinda chumbani kiunoni usiku mzima hamna. Hamkuwa mnafanya kazi pamoja.

Naelewa kuna mihangaiko ya kazi na mtakapopata watoto. Lakini ikiwezekana Jumapili na Jumamosi mkaingia jikoni wenyewe..itawasaidia sana kudumisha ndoa yenu. Yani kama Jumapili ni kumpa dada likizo kabisa..asionekane jikoni.


Haimaanishi mnashinda jikoni siku nzima..ila kama mkipika pilau lenu safi mkaunganisha lunch na dinner...lile lisaa na mnalokaa pamoja jikoni huyu akikata hoho mwingine anamenya matunda...

Mkimaliza mnahakikisha mmesafisha jiko. Aisee baada ya msosi hapo mkienda zenu chumbani, chaga zitasimulia. Kufanya kazi pamoja kuna-strengthen sana mahusiano (sio kupika peke yake).

Usipende kufanya kazi kwa zamu..kila siku uwaze nifanye ninii cha ziada mwenzangu asichoke...nim-surprise na dish gani leo nimewahi kutoka kazini. Mwambie dada nenda kaangalie Marichui nipo jikoni leo nimewahi kutoka. Wengi siku hizi ni baba/mama akitoka kazini hata kama amewahi hiyo siku cha kwanza social media, TV, na kumshurutisha dada mpaka dada anawaombea muwe mnachelewa tu kila siku!!!!
Hii comment sjui niitunze wapi
 
Back
Top Bottom