Hii chapati niliyotengeneza, usipokua makini utajing'ata Vidole

Hii chapati niliyotengeneza, usipokua makini utajing'ata Vidole

Mzigua90 Mzigua90 Mzigua90 raha zaidi ni muwe mnapika pamoja. Jiko la ndani, nyumbani mko wawili peke yenu...Ijumaa jioni mmewahi wote kutoka kazini au Jumamosi asubuhi mmeamka saa mbili hivi, ama Jumapili hivi mmetoka ibadani...mnaingia jikoni wewe na khanga tu (au mtandio) na bra pekee, yeye atupie vest na bukta..muanze kukarangiza..huyu anafanya hiki mwingine anafanya kile aisee....

Hata ikiwa katikati ya wiki..aisee jikoni ukiamua kupatumia vizuri utapapenda kuliko chumbani nakuhakikishia.
Hahahha nimecheka tu
 
Mzigua90 Mzigua90 Mzigua90 raha zaidi ni muwe mnapika pamoja. Jiko la ndani, nyumbani mko wawili peke yenu...Ijumaa jioni mmewahi wote kutoka kazini au Jumamosi asubuhi mmeamka saa mbili hivi, ama Jumapili hivi mmetoka ibadani...mnaingia jikoni wewe na khanga tu (au mtandio) na bra pekee, yeye atupie vest na bukta..muanze kukarangiza..huyu anafanya hiki mwingine anafanya kile aisee....

Hata ikiwa katikati ya wiki..aisee jikoni ukiamua kupatumia vizuri utapapenda kuliko chumbani nakuhakikishia.
Hilo zoezi la kupika hivyo jikoni nitaunguza chakula na masufuria kila siku. Wakati sijawa mama naishi mwenyewe bf alikua akija inabidi nipike kabla hajaingia ndani. Maana akifika eti niko jikoni na zoezi la kupika linaingia mapumziko. Nikipata anaejua kupika nitakua napika nae mkuu
 
Ningekua bado ningekuPM bahati mbaya/nzuri mdogo wako ameniwahi [emoji13] maana mi sioni tabu kumpikia mtu madhali usiku inakuwa zamu yake kushika mwiko[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Na we unajua kupika?
Naam Karibu jikoni

IMG_20180128_194348.jpeg
IMG_20180128_200730.jpeg
IMG_20180128_195020.jpeg
 
Heshima kwenu wakuu,

Nmegundua kumbe kutengeneza chapati simple sana. Nimetengeneza chapati sikutegemea kama zitakua tamu hivi. Yaani ni tamu balaa.. Nikimpikia mgeni itabidi nimwambie awe makini asijing'ate kidole au ulimi.

Ila bado kuna tatizo, kama mlivyo nifundisha kutengeneza chips, Nimejaribu kukaanga Chips sijafanikiwa sana, msaada jamani

Naomba niongezewe utaalam wa chapati. Nataka nikija kuoa mke wangu asipate tabu pale anapoumwa au kusafiri. Chapati ninazotengeneza hazitazamiki halafu mafuta yanadondoka kama asali.

Je, nyie mwatengenezaje na mwatia viungo gani? View attachment 717776
Hiyo mingano iliyofinyangwa kwa pamoja ndo unaiita chapati? Acha dharau mkuu[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Hilo zoezi la kupika hivyo jikoni nitaunguza chakula na masufuria kila siku. Wakati sijawa mama naishi mwenyewe bf alikua akija inabidi nipike kabla hajaingia ndani. Maana akifika eti niko jikoni na zoezi la kupika linaingia mapumziko. Nikipata anaejua kupika nitakua napika nae mkuu
Kwamba mnaanza mechi badala ya kupika ama vepe
 
Biafsi kipindi nilipokuwa nyumba za kupanga kuna siku ilikuwa inatokezea mke wangu anaumwa na hataki niingie jikoni kumpikia eti kisa anaona aibu, lakini sahv siku moja moja namwambia akae pembeni akacheki Sinema zetu then kidume naingia jikoni. Hadi raha
 
swali ni je? wangapi wanafanya hivyo ili kudumisha uhusiano


Sadly hakuna...wengi wanapangiana zamu. Kupika kwa kupangiana zamu kunaboaje sasa.

Baadaye mnapata mtoto/watoto anakuja dada wa kazi..Jumatatu hadi Jumatatu anapika. My friend siku watoto wakikua wakaondoka mnachokanaje. Maana kipindi hiko nguvu za kushinda chumbani kiunoni usiku mzima hamna. Hamkuwa mnafanya kazi pamoja.

Naelewa kuna mihangaiko ya kazi na mtakapopata watoto. Lakini ikiwezekana Jumapili na Jumamosi mkaingia jikoni wenyewe..itawasaidia sana kudumisha ndoa yenu. Yani kama Jumapili ni kumpa dada likizo kabisa..asionekane jikoni.


Haimaanishi mnashinda jikoni siku nzima..ila kama mkipika pilau lenu safi mkaunganisha lunch na dinner...lile lisaa na mnalokaa pamoja jikoni huyu akikata hoho mwingine anamenya matunda...

Mkimaliza mnahakikisha mmesafisha jiko. Aisee baada ya msosi hapo mkienda zenu chumbani, chaga zitasimulia. Kufanya kazi pamoja kuna-strengthen sana mahusiano (sio kupika peke yake).

Usipende kufanya kazi kwa zamu..kila siku uwaze nifanye ninii cha ziada mwenzangu asichoke...nim-surprise na dish gani leo nimewahi kutoka kazini. Mwambie dada nenda kaangalie Marichui nipo jikoni leo nimewahi kutoka. Wengi siku hizi ni baba/mama akitoka kazini hata kama amewahi hiyo siku cha kwanza social media, TV, na kumshurutisha dada mpaka dada anawaombea muwe mnachelewa tu kila siku!!!!
 
Back
Top Bottom