Hii chapati niliyotengeneza, usipokua makini utajing'ata Vidole

Hii chapati niliyotengeneza, usipokua makini utajing'ata Vidole

Unajitahidi kupika ila njegere upike za nazi ndo nzuri

Halafu ukimkuta Joseverest amekaa upande anakuna nazi na mbuzi wake utamsema na kumuanzishia thread humu hahaha...

Mimi kwa kweli mbuzi ninayo lakini ni kwa ajili ya wadogo zangu tu wakija. Nikihitaji ladha ya nazi natumia za azam...ingawa mara moja moja huwa najilipua tu ila nikikuna nakuwa na mlango nimefunga kabisa! Wabongo mna maneno sana....

Hii comment sjui niitunze wapi

Nimekufowadia PM.
 
Yaani true kabisa[emoji13] [emoji13] [emoji13] walisema kuhusu ukosoaji kumbe wao ndio wakosoaji wakubwa[emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji23] [emoji23]
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hahaha mmegundua na nyie mmekuwa kama hawa wanaume mnaowasema wakosoaji eeh...!


ama kweli nyani haoni kundule...
 
Halafu ukimkuta Joseverest amekaa upande anakuna nazi na mbuzi wake utamsema na kumuanzishia thread humu hahaha...

Mimi kwa kweli mbuzi ninayo lakini ni kwa ajili ya wadogo zangu tu wakija. Nikihitaji ladha ya nazi natumia za azam...ingawa mara moja moja huwa najilipua tu ila nikikuna nakuwa na mlango nimefunga kabisa! Wabongo mna maneno sana....



Nimekufowadia PM.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] nataman nikuone unavokuna nazi
 
Halafu ukimkuta Joseverest amekaa upande anakuna nazi na mbuzi wake utamsema na kumuanzishia thread humu hahaha...

Mimi kwa kweli mbuzi ninayo lakini ni kwa ajili ya wadogo zangu tu wakija. Nikihitaji ladha ya nazi natumia za azam...ingawa mara moja moja huwa najilipua tu ila nikikuna nakuwa na mlango nimefunga kabisa! Wabongo mna maneno sana....



Nimekufowadia PM.
Nashukuru ntaifoad sehem
 
Heshima kwenu wakuu,

Nmegundua kumbe kutengeneza chapati simple sana. Nimetengeneza chapati sikutegemea kama zitakua tamu hivi. Yaani ni tamu balaa.. Nikimpikia mgeni itabidi nimwambie awe makini asijing'ate kidole au ulimi.

Ila bado kuna tatizo, kama mlivyo nifundisha kutengeneza chips, Nimejaribu kukaanga Chips sijafanikiwa sana, msaada jamani

Naomba niongezewe utaalam wa chapati. Nataka nikija kuoa mke wangu asipate tabu pale anapoumwa au kusafiri. Chapati ninazotengeneza hazitazamiki halafu mafuta yanadondoka kama asali.

Je, nyie mwatengenezaje na mwatia viungo gani? View attachment 717776
Mkuu mbona picha umechukua FB umetengeneza ww kweli?
 
Mtu ukiolewa na mwanaume anaejua kupika ni kazi sana,utapika mchuzi wako vzur atakosoa mpaka ujione mdogo,pika andazi lako atalitoa kasoro hadi ujiogope,mara vitunguu hujakaanga vizuri,mara nyanya hazikuiva,mara mafuta umetia mengi,mara andazi halijaumuka yan tabu
Hahahaaa.... Hiyo ndo raha. Ukikosea si anakuelekeza? Ukijua maisha yanasonga. Usiogope kukosolewa.
 
Halafu ukimkuta Joseverest amekaa upande anakuna nazi na mbuzi wake utamsema na kumuanzishia thread humu hahaha...

Mimi kwa kweli mbuzi ninayo lakini ni kwa ajili ya wadogo zangu tu wakija. Nikihitaji ladha ya nazi natumia za azam...ingawa mara moja moja huwa najilipua tu ila nikikuna nakuwa na mlango nimefunga kabisa! Wabongo mna maneno sana....



Nimekufowadia PM.
Uwe unakuna nazi ya kutosha unaweka kwenye fridge. Ukikata kupika unapasha tu maji unachuja zako tui. Mi nazi ya azam siwezi kuila tena. Nazi ya kawaida ina ladha kwenye msosi. Ile ya azam unasikia harufu tu ila ladha hamna. Kama dada anakujaga kwako mwambie awe anakukunia aweke kwa fridge uachane na nazi za azam
 
Back
Top Bottom