Hii chelewa chelewa ya mshahara inanipa wasiwasi

Hii chelewa chelewa ya mshahara inanipa wasiwasi

Kwahyo kwakuwa watumishi wanatofautiana siku ya kuanza kazi kwahyo...unapropose kila siku iwe ni Siku ya Mshahara kwa kila mtu?

Kwa mfano kuna wanaoanza tarehe 1 kazi 2 mpaka 10 na kuna wengine wanaanza 12 na kuendelea..

Kwahyo kila mtu alipwe kwa Tarehe iliyoanza kazi?
Huoni kama itakuw Vurugu?
Maana leo unaweza ukasikia Fulani leo kapata mshahara,kesho kapata ,mwingine n.k

Na ndio maana kuna standard ya Payroll Iwe siku zinazofanan haijalishi umeanza kazi lini ila tu uwe umeanza kabla ya tarehe 15 ya ujazwaji ya Taarifa za kiutumishi za mishahara HCMIS...

Na kumbuka Tarehe hiyo huwa ni starting point ya Circle ambayo itaendelea Kila mwezi ambayo hukamilisha siku thelethni inaweza ikaanza kwa circle ndogo ila kadiri inavyoendelea huwa sawa..

Kwa mfano unaweza ukaanza kazi tarehe 1 na tarehe 22 ukapata mshahara wa mwezi wa Tatu (lets say)

Ili ifike tarehe 30 tangu upokee mshahara wa kwnza itakuwa Tarehe 22 ya mwezi wa 4 (Unaofuata)..
So iko sawa kulingana na miezi inayofuata sio mwezu uliopo.....

Huwezi kuhesabu kabla hujaanza na Moja hapo moja yenyewe haihesabiki!
Unahangaika bure huyo anakaza tu fuvu kashaelewa. Kama shida ni tarehe 30 basi watulipe 30 Kwa 30. Sio mara 22 mara 25
 
Kila mwisho, wa kila mwezi mtumishi atapata mshahara wake stahili.

Hayo ya tarehe 20 au 25 ni utamaduni na uungwana wa serikali kwa watumish wake.

Lakini mishara stahili kwa watumishi ipo, na kila mtumisha atapata stahiki zake kila mwisho wa mwezi bila wasiwasi wala tashwishwi yeyote.
Subra na ustahimilivu ni muhimu sana katika hili...
Mwisho wa mwezi wewe unaelewaje?
 
FB_IMG_16929776565318118.jpg
 
Hello,

Ni miaka 7 sasa mishahara tunapokea tarehe 21, 22 au 23. Kama tarehe 21 ikiangukia katikati au mwisho wa wiki mshahara tunaupata tarehe hiyo.

Kama tarehe 21 ikiwa Jumapili au Jumatatu basi Jumanne tarehe 22 tunapata mshahara. Sasa jana tarehe 22 Jumanne kwa kawaida ilibidi watumishi wote tupate mshahara lakini kimya. Mwezi uliopita tulipata tarehe 26 sijui 25.

Kuna nini hapa kati? Je, hii iwe kama alarm kwa watumishi kwamba lolote linaweza kutokea mbele yao? Pay Master ni mpya anajitahidi amudu mazingira au kapu liko na changamoto? Hii mada haihusiani na majibu ya tafuta kazi nyingine nje ya kazi.

Nina shughuli zangu hivyo pesa ya kula si shida kivile. Maana watakuja watu eeeh leo tu unaanza kulalamika
Mr Clean amekusikia 😂😂
 
Mwisho wa mwezi wewe unaelewaje?
Pale ambapo serikali imejiridhisha na kuhakiki vema taarrifa za watumishi ni sahihi, ina uwezo na ipo tayari kulipa mishahara ya watumishi katika mwezi husika. Full stop .
Hiyo sijui tarehe 22, 25 au 30 baki nayo wewe mwenyewe si muhimu sana
 
Mwezi Jana...

Mshahara mwezi wa 10 ulilipwa Tarehe 26 wakati mshahara mwezi wa tisa ulilipwa Tarehe 22...
So ni discrepacy na interval ya siku 4 nzima baada ya tarehe 30..

Ingekuwa wanalipa Tarehe 30..
Kwa mwezi wenye siku 30 tungehesabu watumishi walipewa Mshahara tarehe 4... Mwezi uliofuata..

Na ingekuwa ni mwezi wa 31..
Tungehesabu walilipwa Tarehe 3 mwezu uliofuata...

Mbona Vichwa vyenu vinashindwa kung'amua Hesabu ndogo ya Kujumlisha na kutoa
Hkn logic yoyote hapo kwa kifupi tu Ni Kwamba hkn mwezi serekali iliwahi kufusha mwezi hata siku tano Bila kuwalipa watu wake

Tulia tunachakata majina soon utaenda kulipa madeni
 
Sio elimu bure, niradi yote ya maendeleo imesimama. Hakuna fedha iliyolipwa toka October ndio maana hata wale wa SGR hawafanyi kazi na wanapunguza watu. Hakuna OC Maofisini wala malipo ya fedha za maendeleo. Kama kuna mtu yupo kwenye mfuml ule wa MUSE aseme hapa kama nadanganya.
Pamoja,na tozo zoote ila,wapi

Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
 
Hkn logic yoyote hapo kwa kifupi tu Ni Kwamba hkn mwezi serekali iliwahi kufusha mwezi hata siku tano Bila kuwalipa watu wake

Tulia tunachakata majina soon utaenda kulipa madeni
Inaonyesha Dhahiri jinsi usivyojua hata Kusoma Logic
 
Mimi sijaajiriwa na serikali ila nina biashara zangu kubwa tu naziendesha ila sijawahi kukashifu aliyeajiriwa kwamba ni mtumwa,wengi wenye maneno hayo ni majobless wanajifariji.
Unadhani kila mtu akijiajiri kazi za umma atafanya nani? Jeshini,polisi,magereza,hospital?
Kuajiriwa ni utumwa, kubali kataa ni utumwa tuu.
 
Kama ulipwi milion 6 usinunue gari.

Sent from my iPhone 15 Pro Max
Ila jenerali ulimwengu kasema kweli, magari kwa mtumishi wa ajirampya ni mateso matupu, unakuta mtu take home ni 850,000/- kaenda kukopa gari anakatwa 250,000/-, anabaki na 600,000/-, hiyo hiyo laki 6 ale,alipe Kodi,ajaze mafuta kwenye gari,na afanyie service gari,
 
Kwahyo kwakuwa watumishi wanatofautiana siku ya kuanza kazi kwahyo...unapropose kila siku iwe ni Siku ya Mshahara kwa kila mtu?

Kwa mfano kuna wanaoanza tarehe 1 kazi 2 mpaka 10 na kuna wengine wanaanza 12 na kuendelea..

Kwahyo kila mtu alipwe kwa Tarehe iliyoanza kazi?
Huoni kama itakuw Vurugu?
Maana leo unaweza ukasikia Fulani leo kapata mshahara,kesho kapata ,mwingine n.k

Na ndio maana kuna standard ya Payroll Iwe siku zinazofanan haijalishi umeanza kazi lini ila tu uwe umeanza kabla ya tarehe 15 ya ujazwaji ya Taarifa za kiutumishi za mishahara HCMIS...

Na kumbuka Tarehe hiyo huwa ni starting point ya Circle ambayo itaendelea Kila mwezi ambayo hukamilisha siku thelethni inaweza ikaanza kwa circle ndogo ila kadiri inavyoendelea huwa sawa..

Kwa mfano unaweza ukaanza kazi tarehe 1 na tarehe 22 ukapata mshahara wa mwezi wa Tatu (lets say)

Ili ifike tarehe 30 tangu upokee mshahara wa kwnza itakuwa Tarehe 22 ya mwezi wa 4 (Unaofuata)..
So iko sawa kulingana na miezi inayofuata sio mwezu uliopo.....

Huwezi kuhesabu kabla hujaanza na Moja hapo moja yenyewe haihesabiki!
Mwanzo wa kuanza kazi ni ule ulioainishwa kwenye mkataba, bila kujali umeanza kazi tarehe 2 au 3 au 4, haijalishi, bali kinachoangaliwa ni kwenye mkataba wa ajira, na kwenye mikataba tarehe ya kuanza kazi ni tafehe 1. Sasa kwanini ulipwe tarehe 22 badala ya 30?
 
Mwanzo wa kuanza kazi ni ule ulioainishwa kwenye mkataba, bila kujali umeanza kazi tarehe 2 au 3 au 4, haijalishi, bali kinachoangaliwa ni kwenye mkataba wa ajira, na kwenye mikataba tarehe ya kuanza kazi ni tafehe 1. Sasa kwanini ulipwe tarehe 22 badala ya 30?
Sio mikataba yote huanza Tarehe 1 mkuu Nenda jikite kwenye kuelewa zaidi utaelewa
 
Back
Top Bottom