FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
Ndio, sasa jibu swaliUmeelewa swali?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio, sasa jibu swaliUmeelewa swali?
Wapi nimesema mama hana pesa ya kulipa Watumishi? Ni hivi, mimi ni Mzabuni najua nisemalo. Kama kuna muhasibu au mtu anayesimamia mfumo wa Malipo ya serikali (MUSE) aseme kama wameweza kufanya malipo ya miradi ya maendeleo hadi OC kama zimelipwa toka mwezi wa 10. Nakwambia nchi haina pesa miradi yote imesimama.Pesa hamna? Dreamliner limepeleka taifa stars morocco, limekaa kule siku hamsa, timu imepewa 0.5bn ya bure bure, halafu unasema sirikale haina 700bn ya kulipa watumishi? Acheni utani. Mama anaupiga mwingi
Mwezi June 2019Kuna mwaka fulani tarehe 21 ya mwezi iliangukia Jumapili wakalipa tarehe 19 Ijumaa nadhani ilikuwa enzi za mwendazake
Mkuu ulishawahi kubaka ?! Hua nawaza unawezaje kuejaculate wakati wa kubaka kwanza unaanzaje unamkaba au daaahKimshahara chenyewe hakidumu km bao la mbakaji....
Mzigo tayari kwani?Umeshafika tawi la ATM au card iko kwa kausha damu au ndio hayanihusu
mzigo wenu tayari mda sana hapa mdau katoka nduki baada ya text kuingia kawahi ATM.
Wapi nimesema mama hana pesa ya kulipa Watumishi? Ni hivi, mimi ni Mzabuni najua nisemalo. Kama kuna muhasibu au mtu anayesimamia mfumo wa Malipo ya serikali (MUSE) aseme kama wameweza kufanya malipo ya miradi ya maendeleo hadi OC kama zimelipwa toka mwezi wa 10. Nakwambia nchi haina pesa miradi yote imesimama.
Maana umejibu swali ambalo sijakuulizaNdio, sasa jibu swali
Mkuu naomba ajiraMimi sijaajiriwa na serikali ila nina biashara zangu kubwa tu naziendesha ila sijawahi kukashifu aliyeajiriwa kwamba ni mtumwa,wengi wenye maneno hayo ni majobless wanajifariji.
Unadhani kila mtu akijiajiri kazi za umma atafanya nani? Jeshini,polisi,magereza,hospital?
Hilo ndio jibu, sasa jibu swali languMaana umejibu swali ambalo sijakuuliza
Swali lako uliuliza niniHilo ndio jibu, sasa jibu swali langu