Hii chelewa chelewa ya mshahara inanipa wasiwasi

Hii chelewa chelewa ya mshahara inanipa wasiwasi

Sasa hicho mkuu si hta mwanasheria anaweza kujibu kutoka na mIongozo na sheria..
Dah umeniangusha sna kwa hilo swali ambalo liko wide hata mtu ambaye anakaa vijiweni (Vile vijiww vyenye facts lakini) anaweza kuelezea
Kwa hiyo umeshindwa kujibu?
Haya nenda kasome Sheria ya Tanzania intelligence and security service Act, utapata mwanga
 
Kwa hiyo umeshindwa kujibu?
Haya nenda kasome Sheria ya Tanzania intelligence and security service Act, utapata mwanga
Ninaijua mkuu mpaka marekebisho yke ya 2023 na nilishawahi kuweka uzi kuihusu pia ...
so pitia Sheria hiyo..na ndo maana nikasema hata Bush lawyer yoyote anauwezo wa kujibu swali lako..

 
Ninaijua mkuu mpaka marekebisho yke ya 2023 na nilishawahi kuweka uzi kuihusu pia ...
so pitia Sheria hiyo..na ndo maana nikasema hata Bush lawyer yoyote anauwezo wa kujibu swali lako..

Kama ulikuwa unaijua mbona ulishindwa kutaja majukumu na Kazi za TISS? Ilikuwaje ukashindwa kunijibu swali langu?
 
Ulisha acha kazi?

Bezo Master kwenye ukaguzi😂
 
Back
Top Bottom