Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
NilishangaaIlikuwa mwaka 2020
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NilishangaaIlikuwa mwaka 2020
Hata 2018 piaIlikuwa mwaka 2020
Huyo jamaa alikuwa Very sharpHata 2018 pia
2018 Pia walilipa 19.12.2018Kuna mwaka fulani tarehe 21 ya mwezi iliangukia Jumapili wakalipa tarehe 19 Ijumaa nadhani ilikuwa enzi za mwendazake
Nililipwa tarehe 25.Ulilipwa 24th last month...
Shida hamna. Subiri kesho.
Kuna clip ya Mbunge mmoja anasema viwanda viko tayari kuzalisha saruji ya Shs 5,000 lakini Waziri amekataa anasema hiyo saruji itasababisha maghorofa kuanguka kwahiyo hakubaliani na hiyo saruji.Hello
Ni miaka 7 sasa mishahara tunapokea tarehe 21, 22 au 23.
Kama tarehe 21 ikiangukia katikati au mwisho wa wiki mshahara tunaupata tarehe hiyo.
Kama tarehe 21 ikiwa Jumapili au jumatatu basi Jumanne tarehe 22 tunapata mshahara. Sasa jana tarehe 22 Jumanne kwa kawaida ilibidi watumishi wote tupate mshahara lakini kimya.
Mwezi uliopita tulipata tarehe 26 sijui 25 .
Kuna nini hapa kati?
Je, hii iwe kama alarm kwa watumishi kwamba lolote linaweza kutokea mbele yao?
Pay Master ni mpya anajitahidi amudu mazingira au kapu liko na changamoto?
Hii mada haihusiani na majibu ya tafuta kazi nyingine nje ya kazi.
Nina shughuli zangu hivyo pesa ya kula si shida kivile.
Maana watakuja watu eeeh leo tu unaanza kulalamika
Wanajeshi tumelipwa Jana mapema tu tuko baa saiv tunatamba tu keshokutwa tunarudi vilabu vya pombe chafu
Labda waziri ni mzigoNaona kama wanafanya maksudi
Tulia..😏😏😏Nililipwa tarehe 25.
Kama hivyo basi niambie ilikuwaje October nilipwe tarehe 25 na September nilipwe tarehe 22?
Hiyo kaliKuna clip ya Mbunge mmoja anasema viwanda viko tayari kuzalisha saruji ya Shs 5,000 lakini Waziri amekataa anasema hiyo saruji itasababisha maghorofa kuanguka kwahiyo hakubaliani na hiyo saruji.
Kwa mtazamo huo wa waziri usishangae mishahara itakuwa inalipwa Ijumaa kwa hofu wanywaji wanaweza kuzidisha kipimo wakaharibu kazi katikati ya wiki
Nko na sajinti hapa kanikaribisha na bapa la gongo.Ila ndio kada inayoongoza kuwa na madeni umiza.
Most of wajedazi kadi zao za benki na gari ziko kifungoni.
Hiyo shughuli yako haitegemei mishahara ya wengine au aitegemei mzunguuko wa fedha za serikali?Hello,
Ni miaka 7 sasa mishahara tunapokea tarehe 21, 22 au 23. Kama tarehe 21 ikiangukia katikati au mwisho wa wiki mshahara tunaupata tarehe hiyo.
Kama tarehe 21 ikiwa Jumapili au Jumatatu basi Jumanne tarehe 22 tunapata mshahara. Sasa jana tarehe 22 Jumanne kwa kawaida ilibidi watumishi wote tupate mshahara lakini kimya. Mwezi uliopita tulipata tarehe 26 sijui 25.
Kuna nini hapa kati? Je, hii iwe kama alarm kwa watumishi kwamba lolote linaweza kutokea mbele yao? Pay Master ni mpya anajitahidi amudu mazingira au kapu liko na changamoto? Hii mada haihusiani na majibu ya tafuta kazi nyingine nje ya kazi.
Nina shughuli zangu hivyo pesa ya kula si shida kivile. Maana watakuja watu eeeh leo tu unaanza kulalamika
Hiyo kali
Shida nini wakati nyie mapoti mnalipwa Salary nono,mnalipwa pia posho ya nyumba,na mnalipwa pia posho ya chakulaIla ndio kada inayoongoza kuwa na madeni umiza.
Most of wajedazi kadi zao za benki na gari ziko kifungoni.
Mkuu hii umeitoa wapi ya watu kulipwa next week... Acha utani aiseeTanesco ningeomba waliowe mwezi wa 12 mwanzoni maana nasikia watumishi wote watalipwa Jumatano mpaka alhamisi ijayo
Just utani mkuu haina uhalisiaMkuu hii umeitoa wapi ya watu kulipwa next week... Acha utani aisee
Kwa dharau zile za waziri wa mishahara usitegemee lolote kueleweka hapaNi miaka 7 sasa mishahara tunapokea tarehe 21, 22 au 23. Kama tarehe 21 ikiangukia katikati au mwisho wa wiki mshahara tunaupata tarehe hiyo.
Hata wewe uliyejiajiri Kuna watu unawaajiri.Dah kuajiriwa ni utumwa
Labda uwe una mshahara zaidi ya milioni sita
Naomba ajira kwenye biashara zako izo kubwaMimi sijaajiriwa na serikali ila nina biashara zangu kubwa tu naziendesha ila sijawahi kukashifu aliyeajiriwa kwamba ni mtumwa,wengi wenye maneno hayo ni majobless wanajifariji.
Unadhani kila mtu akijiajiri kazi za umma atafanya nani? Jeshini,polisi,magereza,hospital?