Hii chelewa chelewa ya mshahara inanipa wasiwasi

Hii chelewa chelewa ya mshahara inanipa wasiwasi

Hello
Ni miaka 7 sasa mishahara tunapokea tarehe 21, 22 au 23.
Kama tarehe 21 ikiangukia katikati au mwisho wa wiki mshahara tunaupata tarehe hiyo.
Kama tarehe 21 ikiwa Jumapili au jumatatu basi Jumanne tarehe 22 tunapata mshahara. Sasa jana tarehe 22 Jumanne kwa kawaida ilibidi watumishi wote tupate mshahara lakini kimya.
Mwezi uliopita tulipata tarehe 26 sijui 25 .
Kuna nini hapa kati?
Je, hii iwe kama alarm kwa watumishi kwamba lolote linaweza kutokea mbele yao?
Pay Master ni mpya anajitahidi amudu mazingira au kapu liko na changamoto?
Hii mada haihusiani na majibu ya tafuta kazi nyingine nje ya kazi.
Nina shughuli zangu hivyo pesa ya kula si shida kivile.
Maana watakuja watu eeeh leo tu unaanza kulalamika
Kuna clip ya Mbunge mmoja anasema viwanda viko tayari kuzalisha saruji ya Shs 5,000 lakini Waziri amekataa anasema hiyo saruji itasababisha maghorofa kuanguka kwahiyo hakubaliani na hiyo saruji.
Kwa mtazamo huo wa waziri usishangae mishahara itakuwa inalipwa Ijumaa kwa hofu wanywaji watazidisha kipimo wakaharibu kazi katikati ya wiki

SIKILIZA HAPA
 
Kuna clip ya Mbunge mmoja anasema viwanda viko tayari kuzalisha saruji ya Shs 5,000 lakini Waziri amekataa anasema hiyo saruji itasababisha maghorofa kuanguka kwahiyo hakubaliani na hiyo saruji.
Kwa mtazamo huo wa waziri usishangae mishahara itakuwa inalipwa Ijumaa kwa hofu wanywaji wanaweza kuzidisha kipimo wakaharibu kazi katikati ya wiki
Hiyo kali
 
Hello,

Ni miaka 7 sasa mishahara tunapokea tarehe 21, 22 au 23. Kama tarehe 21 ikiangukia katikati au mwisho wa wiki mshahara tunaupata tarehe hiyo.

Kama tarehe 21 ikiwa Jumapili au Jumatatu basi Jumanne tarehe 22 tunapata mshahara. Sasa jana tarehe 22 Jumanne kwa kawaida ilibidi watumishi wote tupate mshahara lakini kimya. Mwezi uliopita tulipata tarehe 26 sijui 25.

Kuna nini hapa kati? Je, hii iwe kama alarm kwa watumishi kwamba lolote linaweza kutokea mbele yao? Pay Master ni mpya anajitahidi amudu mazingira au kapu liko na changamoto? Hii mada haihusiani na majibu ya tafuta kazi nyingine nje ya kazi.

Nina shughuli zangu hivyo pesa ya kula si shida kivile. Maana watakuja watu eeeh leo tu unaanza kulalamika
Hiyo shughuli yako haitegemei mishahara ya wengine au aitegemei mzunguuko wa fedha za serikali?
 
Ni miaka 7 sasa mishahara tunapokea tarehe 21, 22 au 23. Kama tarehe 21 ikiangukia katikati au mwisho wa wiki mshahara tunaupata tarehe hiyo.
Kwa dharau zile za waziri wa mishahara usitegemee lolote kueleweka hapa
 
Mimi sijaajiriwa na serikali ila nina biashara zangu kubwa tu naziendesha ila sijawahi kukashifu aliyeajiriwa kwamba ni mtumwa,wengi wenye maneno hayo ni majobless wanajifariji.
Unadhani kila mtu akijiajiri kazi za umma atafanya nani? Jeshini,polisi,magereza,hospital?
Naomba ajira kwenye biashara zako izo kubwa
 
Back
Top Bottom