Hii chelewa chelewa ya mshahara inanipa wasiwasi

Hii chelewa chelewa ya mshahara inanipa wasiwasi

Mimi sijaajiriwa na serikali ila nina biashara zangu kubwa tu naziendesha ila sijawahi kukashifu aliyeajiriwa kwamba ni mtumwa,wengi wenye maneno hayo ni majobless wanajifariji.
Unadhani kila mtu akijiajiri kazi za umma atafanya nani? Jeshini,polisi,magereza,hospital?
Ulisha acha kazi?

 
Kwa Kaz gani wannafanya wanashinda makambini tu na Kisha kwema kuwapiga kina genta kawe ukwamani
Kwakuwa unaishi kwa Raha ukiwa kwako we unajua Off the the ground kuna kipi kinatokea?
Unajua hata Kipi kimezuiwa na kipi kinatekelezwa?
Unajua kuna operation ngapi zinafanyika kunusuru Nchi?
Au kwakuwa ziko Undercover ndo imekuwa sababu ya kashfa..
 
HIV Ni lini serekali imepitisha mwezi bila kuwalipa watumishi wake

Yaani siku Moja tu imepita taayri umeanzisha Uzi

Embu tulia mshahara wako utapa bhna
Mwezi Jana...

Mshahara mwezi wa 10 ulilipwa Tarehe 26 wakati mshahara mwezi wa tisa ulilipwa Tarehe 22...
So ni discrepacy na interval ya siku 4 nzima baada ya tarehe 30..

Ingekuwa wanalipa Tarehe 30..
Kwa mwezi wenye siku 30 tungehesabu watumishi walipewa Mshahara tarehe 4... Mwezi uliofuata..

Na ingekuwa ni mwezi wa 31..
Tungehesabu walilipwa Tarehe 3 mwezu uliofuata...

Mbona Vichwa vyenu vinashindwa kung'amua Hesabu ndogo ya Kujumlisha na kutoa
 
Ulisha acha kazi?

Tayari nimeacha kazi kitambo
 
Hello
Ni miaka 7 sasa mishahara tunapokea tarehe 21, 22 au 23.
Kama tarehe 21 ikiangukia katikati au mwisho wa wiki mshahara tunaupata tarehe hiyo.
Kama tarehe 21 ikiwa Jumapili au jumatatu basi Jumanne tarehe 22 tunapata mshahara. Sasa jana tarehe 22 Jumanne kwa kawaida ilibidi watumishi wote tupate mshahara lakini kimya.
Mwezi uliopita tulipata tarehe 26 sijui 25 .
Kuna nini hapa kati?
Je, hii iwe kama alarm kwa watumishi kwamba lolote linaweza kutokea mbele yao?
Pay Master ni mpya anajitahidi amudu mazingira au kapu liko na changamoto?
Hii mada haihusiani na majibu ya tafuta kazi nyingine nje ya kazi.
Nina shughuli zangu hivyo pesa ya kula si shida kivile.
Maana watakuja watu eeeh leo tu unaanza kulalamika
Ulilipwa 24th last month...
Shida hamna. Subiri kesho.
 
Kama tarehe 21 ikiangukia katikati au mwisho wa wiki mshahara tunaupata tarehe hiyo.
Kama tarehe 21 ikiwa Jumapili au jumatatu basi Jumanne tarehe 22 tunapata mshahara. Sasa jana tarehe 22 Jumanne kwa kawaida ilibidi watumishi wote tupate mshahara lakini kimya.
Mwezi uliopita tulipata tarehe 26 sijui 25 .
Kuna mwaka fulani tarehe 21 ya mwezi iliangukia Jumapili wakalipa tarehe 19 Ijumaa nadhani ilikuwa enzi za mwendazake
 
Back
Top Bottom