DR Mambo Jambo
JF-Expert Member
- May 10, 2012
- 11,622
- 26,005
Utakuta Barua Ya RMO mezani 🤣🤣Hali ikiendelea hivi kesho siendi hospitali asee wasinitanie
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utakuta Barua Ya RMO mezani 🤣🤣Hali ikiendelea hivi kesho siendi hospitali asee wasinitanie
Tanesco ningeomba waliowe mwezi wa 12 mwanzoni maana nasikia watumishi wote watalipwa Jumatano mpaka alhamisi ijayoTena watumishi wa umma kama Tanesco inabidi wazidi kucheleweshewa au wasilipwe kabisa.
pia mzunguko wa pesa umepungua sana mtaani kuanzia mwezi wa kumiKimsingi hamuna malipo yoyote si kwa wakandarasi wala wazabuni wala mradi wowote wa Maendeleo toka mwanzo wa mwezi huu. Hali ni ngumu kibubu kimekauka kabisa.
Ulisha acha kazi?Mimi sijaajiriwa na serikali ila nina biashara zangu kubwa tu naziendesha ila sijawahi kukashifu aliyeajiriwa kwamba ni mtumwa,wengi wenye maneno hayo ni majobless wanajifariji.
Unadhani kila mtu akijiajiri kazi za umma atafanya nani? Jeshini,polisi,magereza,hospital?
Kwakuwa unaishi kwa Raha ukiwa kwako we unajua Off the the ground kuna kipi kinatokea?Kwa Kaz gani wannafanya wanashinda makambini tu na Kisha kwema kuwapiga kina genta kawe ukwamani
Mwezi Jana...HIV Ni lini serekali imepitisha mwezi bila kuwalipa watumishi wake
Yaani siku Moja tu imepita taayri umeanzisha Uzi
Embu tulia mshahara wako utapa bhna
Subiri ifike hizo tarehe ili ukamilishe mwezi kamili ulipweMwezi uliopita tulipata tarehe 26 sijui 25 .
Tayari nimeacha kazi kitamboUlisha acha kazi?
USHAURI: Nataka kuacha kazi ila nina mkopo Benki
Habari za asubuhi? Kama kichwa cha Habari kinavyojieleza nimeajiriwa na serikali taaluma yangu ni Daktari wa binadamu (medical doctor) kuna mkopo nimechukua wa thamani ya mil 35. Nimefungua pharmacy pamoja na maabara. Nataka niache kazi nisimamie biashara zangu. Je, nikikimbia serikali...www.jamiiforums.com
Ulilipwa 24th last month...Hello
Ni miaka 7 sasa mishahara tunapokea tarehe 21, 22 au 23.
Kama tarehe 21 ikiangukia katikati au mwisho wa wiki mshahara tunaupata tarehe hiyo.
Kama tarehe 21 ikiwa Jumapili au jumatatu basi Jumanne tarehe 22 tunapata mshahara. Sasa jana tarehe 22 Jumanne kwa kawaida ilibidi watumishi wote tupate mshahara lakini kimya.
Mwezi uliopita tulipata tarehe 26 sijui 25 .
Kuna nini hapa kati?
Je, hii iwe kama alarm kwa watumishi kwamba lolote linaweza kutokea mbele yao?
Pay Master ni mpya anajitahidi amudu mazingira au kapu liko na changamoto?
Hii mada haihusiani na majibu ya tafuta kazi nyingine nje ya kazi.
Nina shughuli zangu hivyo pesa ya kula si shida kivile.
Maana watakuja watu eeeh leo tu unaanza kulalamika
Wala haijapita.HIV Ni lini serekali imepitisha mwezi bila kuwalipa watumishi wake
Yaani siku Moja tu imepita taayri umeanzisha Uzi
Embu tulia mshahara wako utapa bhna
30.11.2023Kwani mwezi unaisha lini?
Pala tarehe inapokutana na tarehe iliyopita .. ktk muktadha wa mshahara lakini....Kwani mwezi unaisha lini?
Wanaofanya underground operation mostly ni TISS (kitengo)Kwakuwa unaishi kwa Raha ukiwa kwako we unajua Off the the ground kuna kipi kinatokea?
Unajua hata Kipi kimezuiwa na kipi kinatekelezwa?
Unajua kuna operation ngapi zinafanyika kunusuru Nchi?
Au kwakuwa ziko Undercover ndo imekuwa sababu ya kashfa..
Kumbuka mwezi uliopita tumelipa Bil 300+ kwenye kesi tuliyoshindwa ughaibuni nadhani ndicho chanzo hata October mishahara kulipwa kwa mafungumafunguJe, hii iwe kama alarm kwa watumishi kwamba lolote linaweza kutokea mbele yao?
Pay Master ni mpya anajitahidi amudu mazingira au kapu liko na changamoto?
Kuna mwaka fulani tarehe 21 ya mwezi iliangukia Jumapili wakalipa tarehe 19 Ijumaa nadhani ilikuwa enzi za mwendazakeKama tarehe 21 ikiangukia katikati au mwisho wa wiki mshahara tunaupata tarehe hiyo.
Kama tarehe 21 ikiwa Jumapili au jumatatu basi Jumanne tarehe 22 tunapata mshahara. Sasa jana tarehe 22 Jumanne kwa kawaida ilibidi watumishi wote tupate mshahara lakini kimya.
Mwezi uliopita tulipata tarehe 26 sijui 25 .
Unafahamu kuna Millitary intelligence?Wanaofanya underground operation mostly ni TISS (kitengo)
Ilikuwa mwaka 2020Kuna mwaka fulani tarehe 21 ya mwezi iliangukia Jumapili wakalipa tarehe 19 Ijumaa nadhani ilikuwa enzi za mwendazake
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Walimu tuna hali ngumu