Hii chelewa chelewa ya mshahara inanipa wasiwasi

Hii chelewa chelewa ya mshahara inanipa wasiwasi

Hello
Ni miaka 7 sasa mishahara tunapokea tarehe 21, 22 au 23.
Kama tarehe 21 ikiangukia katikati au mwisho wa wiki mshahara tunaupata tarehe hiyo.
Kama tarehe 21 ikiwa Jumapili au jumatatu basi Jumanne tarehe 22 tunapata mshahara. Sasa jana tarehe 22 Jumanne kwa kawaida ilibidi watumishi wote tupate mshahara lakini kimya.
Mwezi uliopita tulipata tarehe 26 sijui 25 .
Kuna nini hapa kati?
Je, hii iwe kama alarm kwa watumishi kwamba lolote linaweza kutokea mbele yao?
Pay Master ni mpya anajitahidi amudu mazingira au kapu liko na changamoto?
Hii mada haihusiani na majibu ya tafuta kazi nyingine nje ya kazi.
Nina shughuli zangu hivyo pesa ya kula si shida kivile.
Maana watakuja watu eeeh leo tu unaanza kulalamika
Dah kuajiriwa ni utumwa
Labda uwe una mshahara zaidi ya milioni sita
 
Hello
Ni miaka 7 sasa mishahara tunapokea tarehe 21, 22 au 23.
Kama tarehe 21 ikiangukia katikati au mwisho wa wiki mshahara tunaupata tarehe hiyo.
Kama tarehe 21 ikiwa Jumapili au jumatatu basi Jumanne tarehe 22 tunapata mshahara. Sasa jana tarehe 22 Jumanne kwa kawaida ilibidi watumishi wote tupate mshahara lakini kimya.
Mwezi uliopita tulipata tarehe 26 sijui 25 .
Kuna nini hapa kati?
Je, hii iwe kama alarm kwa watumishi kwamba lolote linaweza kutokea mbele yao?
Pay Master ni mpya anajitahidi amudu mazingira au kapu liko na changamoto?
Hii mada haihusiani na majibu ya tafuta kazi nyingine nje ya kazi.
Nina shughuli zangu hivyo pesa ya kula si shida kivile.
Maana watakuja watu eeeh leo tu unaanza kulalamika
Kila mwisho, wa kila mwezi mtumishi atapata mshahara wake stahili.

Hayo ya tarehe 20 au 25 ni utamaduni na uungwana wa serikali kwa watumish wake.

Lakini mishara stahili kwa watumishi ipo, na kila mtumisha atapata stahiki zake kila mwisho wa mwezi bila wasiwasi wala tashwishwi yeyote.
Subra na ustahimilivu ni muhimu sana katika hili...
 
Dah kuajiriwa ni utumwa
Labda uwe una mshahara zaidi ya milioni sita
Mimi sijaajiriwa na serikali ila nina biashara zangu kubwa tu naziendesha ila sijawahi kukashifu aliyeajiriwa kwamba ni mtumwa,wengi wenye maneno hayo ni majobless wanajifariji.
Unadhani kila mtu akijiajiri kazi za umma atafanya nani? Jeshini,polisi,magereza,hospital?
 
Hello
Ni miaka 7 sasa mishahara tunapokea tarehe 21, 22 au 23.
Kama tarehe 21 ikiangukia katikati au mwisho wa wiki mshahara tunaupata tarehe hiyo.
Kama tarehe 21 ikiwa Jumapili au jumatatu basi Jumanne tarehe 22 tunapata mshahara. Sasa jana tarehe 22 Jumanne kwa kawaida ilibidi watumishi wote tupate mshahara lakini kimya.
Mwezi uliopita tulipata tarehe 26 sijui 25 .
Kuna nini hapa kati?
Je, hii iwe kama alarm kwa watumishi kwamba lolote linaweza kutokea mbele yao?
Pay Master ni mpya anajitahidi amudu mazingira au kapu liko na changamoto?
Hii mada haihusiani na majibu ya tafuta kazi nyingine nje ya kazi.
Nina shughuli zangu hivyo pesa ya kula si shida kivile.
Maana watakuja watu eeeh leo tu unaanza kulalamika
Mlimchagua wenyewe, mkiambiwa muwe wa liberals hamtaki......
 
Hello
Ni miaka 7 sasa mishahara tunapokea tarehe 21, 22 au 23.
Kama tarehe 21 ikiangukia katikati au mwisho wa wiki mshahara tunaupata tarehe hiyo.
Kama tarehe 21 ikiwa Jumapili au jumatatu basi Jumanne tarehe 22 tunapata mshahara. Sasa jana tarehe 22 Jumanne kwa kawaida ilibidi watumishi wote tupate mshahara lakini kimya.
Mwezi uliopita tulipata tarehe 26 sijui 25 .
Kuna nini hapa kati?
Je, hii iwe kama alarm kwa watumishi kwamba lolote linaweza kutokea mbele yao?
Pay Master ni mpya anajitahidi amudu mazingira au kapu liko na changamoto?
Hii mada haihusiani na majibu ya tafuta kazi nyingine nje ya kazi.
Nina shughuli zangu hivyo pesa ya kula si shida kivile.
Maana watakuja watu eeeh leo tu unaanza kulalamika
Hali ikiendelea hivi kesho siendi hospitali asee wasinitanie
 
Back
Top Bottom