Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo jamaa ni kichwa maji,ni mbishi mnoo. Achana nayeSio mikataba yote huanza Tarehe 1 mkuu Nenda jikite kwenye kuelewa zaidi utaelewa
Kuna,watu wanakuheshimu hapa jamvini tafadhali tunza,heshima yakoMwanzo wa kuanza kazi ni ule ulioainishwa kwenye mkataba, bila kujali umeanza kazi tarehe 2 au 3 au 4, haijalishi, bali kinachoangaliwa ni kwenye mkataba wa ajira, na kwenye mikataba tarehe ya kuanza kazi ni tafehe 1. Sasa kwanini ulipwe tarehe 22 badala ya 30?
NmB imesoma tayarKwani bado hawajaweka?
Haha, mimi sitaki hiyo heshima bila kujibu hoja zangu.., hoja tu ndio itakupa heshimaKuna,watu wanakuheshimu hapa jamvini tafadhali tunza,heshima yako
Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app
Mikataba ya serikali ya ajira huwa inaanza tarehe yeyote tu mtu anayojisikia?, hakuna mwongozo wa tarehe maalum ya kuanza mkataba wa ajira? Hebu niwekee mkataba mmoja tu wa ajira amabo unasema mkataba utaanza kutumika tarehe 2 , au 3 au 4..etc.Sio mikataba yote huanza Tarehe 1 mkuu Nenda jikite kwenye kuelewa zaidi utaelewa
🆔 Yako ni kongwe ila una ujinga mwingi mnoo.. hutaki kujifunza wala unacho elimishwa huelewi. Unataka tukuwekee barua za ajira hapa? Mimi binafsi barua yangu ya mkataba wa ajira ni tar 19/02/201-Mikataba ya serikali ya ajira huwa inaanza tarehe yeyote tu mtu anayojisikia?, hakuna mwongozo wa tarehe maalum ya kuanza mkataba wa ajira? Hebu niwekee mkataba mmoja tu wa ajira amabo unasema mkataba utaanza kutumika tarehe 2 , au 3 au 4..etc.
Barua ya ajira au mkataba wa ajira? Weka huo mkataba, ficha details kisha weka tarehe tu ya kuanza mkataba, tuone mkataba unaonza tarehe 19🆔 Yako ni kongwe ila una ujinga mwingi mnoo.. hutaki kujifunza wala unacho elimishwa huelewi. Unataka tukuwekee barua za ajira hapa? Mimi binafsi barua yangu ya mkataba wa ajira ni tar 19/02/201-
Umetoka? Tukadai madeni yetuhongereni
Wazee wa kuliamshahongereni
hongeraMimi sijui wamejichanganya, nimecheck balance naona wameniwekea mshahara tayari.