Hii Combination baina ya Mzee Kinana na Shaka ni dhahiri huu ni mwanzo wa mwisho wa Upinzani Tanzania

Hii Combination baina ya Mzee Kinana na Shaka ni dhahiri huu ni mwanzo wa mwisho wa Upinzani Tanzania

Huo upinzani wanaohangaika kuumaliza si ulimalizwa na hawa 👇

images - 2022-09-07T031710.840.jpeg
 
👇👇

Tazama siasa inayopigwa na hawa mabwana then njoo uniambie nafasi ya Upinzani iko wapi kwa sasa.

👇👇

KINANA NA SHAKA WATEMBELEA SHAMBA LA MBEGU BORA ZA MAHINDI WILAYANI MISENYI
View attachment 2345082
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana ametembelea shamba la mbegu la Global Agency Farm lililopo Buchurago Bugorora wilayani Misenyi Mkoa wa Kagera.
View attachment 2345083
Akiwa shambani hapo, Kanali Mstaafu Kinana alishuhudia shughuli mbalimbali zinazofanyika katika uandaaji wa mbegu bora za mahindi ukiwa utekelezaji wa Ilani ya Uchagu ya CCM.
View attachment 2345084
Pichani Kinana akiwa na viongozi wengine akiwemo Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka na Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Albert Chalamila wakiwa wamepanda kwenye
mtambo unaotumika kwa shughuli za kilimo katika shamba hilo.
View attachment 2345085
Kinana ambaye ameongozana na Shaka amehitimisha ziara yake mkoani Kagera na kuelekea mkoani Geita kendelea na ziara hiyo yenye lengo la kukagua uhai wa Chama na utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya 2020-2025.
Hiyo ndo level ya juu ya kufikiri ya baadhi yetu - kwamba kw kitendo cha kuona shamba la mbegu ndo mwisho wa upinzani ...duh!
 
[emoji116][emoji116]

Tazama siasa inayopigwa na hawa mabwana then njoo uniambie nafasi ya Upinzani iko wapi kwa sasa.

[emoji116][emoji116]

KINANA NA SHAKA WATEMBELEA SHAMBA LA MBEGU BORA ZA MAHINDI WILAYANI MISENYI
View attachment 2345082
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana ametembelea shamba la mbegu la Global Agency Farm lililopo Buchurago Bugorora wilayani Misenyi Mkoa wa Kagera.
View attachment 2345083
Akiwa shambani hapo, Kanali Mstaafu Kinana alishuhudia shughuli mbalimbali zinazofanyika katika uandaaji wa mbegu bora za mahindi ukiwa utekelezaji wa Ilani ya Uchagu ya CCM.
View attachment 2345084
Pichani Kinana akiwa na viongozi wengine akiwemo Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka na Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Albert Chalamila wakiwa wamepanda kwenye
mtambo unaotumika kwa shughuli za kilimo katika shamba hilo.
View attachment 2345085
Kinana ambaye ameongozana na Shaka amehitimisha ziara yake mkoani Kagera na kuelekea mkoani Geita kendelea na ziara hiyo yenye lengo la kukagua uhai wa Chama na utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya 2020-2025.
Ila Tanzania kuendelea haitatokea hata iweje,......eti kanali mstaafu naye ni mwanachama kindaki ndaki wa siasa,.....sasa wanajeshi ambao ndio tulitegemea watailinda katiba,wao ndio wanaongoza kuvaa mashati ya kijani
 
👇👇

Tazama siasa inayopigwa na hawa mabwana then njoo uniambie nafasi ya Upinzani iko wapi kwa sasa.

👇👇

KINANA NA SHAKA WATEMBELEA SHAMBA LA MBEGU BORA ZA MAHINDI WILAYANI MISENYI
View attachment 2345082
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana ametembelea shamba la mbegu la Global Agency Farm lililopo Buchurago Bugorora wilayani Misenyi Mkoa wa Kagera.
View attachment 2345083
Akiwa shambani hapo, Kanali Mstaafu Kinana alishuhudia shughuli mbalimbali zinazofanyika katika uandaaji wa mbegu bora za mahindi ukiwa utekelezaji wa Ilani ya Uchagu ya CCM.
View attachment 2345084
Pichani Kinana akiwa na viongozi wengine akiwemo Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka na Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Albert Chalamila wakiwa wamepanda kwenye
mtambo unaotumika kwa shughuli za kilimo katika shamba hilo.
View attachment 2345085
Kinana ambaye ameongozana na Shaka amehitimisha ziara yake mkoani Kagera na kuelekea mkoani Geita kendelea na ziara hiyo yenye lengo la kukagua uhai wa Chama na utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya 2020-2025.
Upinzani haufi kwa sababu Mzee Kinana na kijana wake wanapiga kampeni,sasa hapo si wanatembelea vitu na kupiga picha tu,hivyo wanavyotembelea vimekuwepo kwa zaidi ya miaka 7!sasa kipi kipya,zaidi ya matamko mara mkandarasi hivi au vile,hakuna kipya,hakuna tija,hakuna sera ya kuinua uchumi,nchi haijengwi kwa kutembea tembea tu na kuzurura nchi nzima,Kinana sio mchumi,anapiga porojo tu,
Watuonyeshe wameboresha nini?na wanachama wangapi wameama vyama vyao kujiunga na ccm,sio wale machawa wanaowaza kwa kutumia matumbo!
Vyama vya upinzani vinapigwa Kabali!havina uhuru wa kujiachia!!waruhusu vyama vya upinzani navyo vipige hizo maktime waone muziki,
Kinana ameishazeeka hawezi mziki wa ACT kiganjani,Wala Chadema digital!!
Uvccm imejaa machawa watupu,
 
[emoji116][emoji116]

Tazama siasa inayopigwa na hawa mabwana then njoo uniambie nafasi ya Upinzani iko wapi kwa sasa.

[emoji116][emoji116]

KINANA NA SHAKA WATEMBELEA SHAMBA LA MBEGU BORA ZA MAHINDI WILAYANI MISENYI
View attachment 2345082
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana ametembelea shamba la mbegu la Global Agency Farm lililopo Buchurago Bugorora wilayani Misenyi Mkoa wa Kagera.
View attachment 2345083
Akiwa shambani hapo, Kanali Mstaafu Kinana alishuhudia shughuli mbalimbali zinazofanyika katika uandaaji wa mbegu bora za mahindi ukiwa utekelezaji wa Ilani ya Uchagu ya CCM.
View attachment 2345084
Pichani Kinana akiwa na viongozi wengine akiwemo Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka na Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Albert Chalamila wakiwa wamepanda kwenye
mtambo unaotumika kwa shughuli za kilimo katika shamba hilo.
View attachment 2345085
Kinana ambaye ameongozana na Shaka amehitimisha ziara yake mkoani Kagera na kuelekea mkoani Geita kendelea na ziara hiyo yenye lengo la kukagua uhai wa Chama na utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya 2020-2025.
 
vugu-vugu said:
Tazama siasa inayopigwa na hawa mabwana then njoo uniambie nafasi ya Upinzani iko wapi kwa sasa.

Kume tozo imewawezesha kuzurura hovyo kiasi hicho, Watanzania twafaaaa!
 
Hili shamba ni la serikali au chama kimeamua kutembelea shamba la mtu binafsi?
[emoji116][emoji116]

Tazama siasa inayopigwa na hawa mabwana then njoo uniambie nafasi ya Upinzani iko wapi kwa sasa.

[emoji116][emoji116]

KINANA NA SHAKA WATEMBELEA SHAMBA LA MBEGU BORA ZA MAHINDI WILAYANI MISENYI
View attachment 2345082
Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Tanzania Bara, Kanali Mstaafu Abdulrahman Kinana ametembelea shamba la mbegu la Global Agency Farm lililopo Buchurago Bugorora wilayani Misenyi Mkoa wa Kagera.
View attachment 2345083
Akiwa shambani hapo, Kanali Mstaafu Kinana alishuhudia shughuli mbalimbali zinazofanyika katika uandaaji wa mbegu bora za mahindi ukiwa utekelezaji wa Ilani ya Uchagu ya CCM.
View attachment 2345084
Pichani Kinana akiwa na viongozi wengine akiwemo Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka na Mkuu wa Mkoa wa Kagera, Albert Chalamila wakiwa wamepanda kwenye
mtambo unaotumika kwa shughuli za kilimo katika shamba hilo.
View attachment 2345085
Kinana ambaye ameongozana na Shaka amehitimisha ziara yake mkoani Kagera na kuelekea mkoani Geita kendelea na ziara hiyo yenye lengo la kukagua uhai wa Chama na utekelezaji wa Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya 2020-2025.
 
Back
Top Bottom