Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Montelukast sodium 10g
Amepewa mtoto wa miezi saba. Anakohoa kwa mbaali kihohozi kama amepaliwa na maji.na sio kiviile lbda mara tatu kwa siku koh koh koh koh sio kiviile yaani. Na Yuko tu poa haumwi wala nini.
Ila dokta bingwa kasema apewe hyo dawa
Nimegoogle ni ya asthma.na hajapimwa wala nini.is it necessary jameni mtoto apewe dawa Kali hivo for minor issues?
Amepewa mtoto wa miezi saba. Anakohoa kwa mbaali kihohozi kama amepaliwa na maji.na sio kiviile lbda mara tatu kwa siku koh koh koh koh sio kiviile yaani. Na Yuko tu poa haumwi wala nini.
Ila dokta bingwa kasema apewe hyo dawa
Nimegoogle ni ya asthma.na hajapimwa wala nini.is it necessary jameni mtoto apewe dawa Kali hivo for minor issues?