Miss Natafuta
JF-Expert Member
- Sep 16, 2015
- 27,031
- 49,928
Ahaaa kwani si nimelipia huduma jamani??Hosp za bongo bhana. pengine umepewa hizo dawa ili kuondoa jam hapa Hospitalini..
Nawaza sana.sina Amani na hii dawa yani.Ungepewa montelukast ya 5mg ingefaa zaidi kuliko hiyo ya watu wazimaView attachment 3060727
Kazi yake ni nini dear?nimetoka kuinywa hapa dk 5 zilizopita...sina hakila kwa watoto aise..au mpe nusu
Ni muhimbili mkuu vipimo wanavo vya kutoshaWengi wa madaktari ni kama waganga wa kienyeji tu
Usikubali hata siku moja kuanza dose kabla ya vipimo vya uhakika
Tatizo hawataki kutumia vipimo au hakuna au vimeharibika
Hapo wanaona wabuni tu kihuni badala ya kusema hatuna vipimo nenda hospitali yenye vipimo
Wanauwa sana hawa watu
asthma...inasaidia mnoKazi yake ni nini dear?
Kweli kabisa Muhimbili wako vizuri kwa sababu wanafunzi wa nje wanakuja na ni hospitali yetu kubwa nchiniNi muhimbili mkuu vipimo wanavo vya kutosha
Asthma na kifuwaKazi yake ni nini dear?
dalili za hatari ni zipi?Usimpe kama sio serious issue,nunua mycolin syrup ya watoto,alafu mtoto mdogo usipende kumpa dawa kama haoneshi dalali za hatari
Mmh dogo haumwi huko bnaAsthma na kifuwa
Mtoto unampa kidonge 1 usiku
Anakimungunya
Ova
Mtoto chini ya mwaka asali haitakiwi mama mkwe.ni sumuKifua hicho unamlambisha asali mbichi, kidogo tu, kutwa mara moja.
Hyo dawa ndy kazi yakeMmh dogo haumwi huko bna
Ndo .maana nimeshtuka nimepigwaHyo dawa ndy kazi yake
Sasa wao wamempa hiyo imsaidie nini
Ova