Exy
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 3,146
- 5,520
Mechi ichezwe saa 1:15 timu iende saa 3 usiku 😂😂😂. Tutawapiga hata wakiwa kambini. Kanuni zipo wazi hata kama umezuia kufanya mazoez I huwezi kugomea mchezo .....utaratibu wa kikanuni utafuatwa na wahusika kuadhibiwa. Simba acheni uongo njooni uwanjani 😂😂 matambo mengi kumbe bure.