Hii Derby haina kipengele labda kipengele uje nacho wewe. Simba wameamua kuja na kipengele chao

Hii Derby haina kipengele labda kipengele uje nacho wewe. Simba wameamua kuja na kipengele chao

Ndio, kama nimeshaona kuna mazingira ya kushindwa kwa sababu zisizo za kiufundi sichezi.
Huna cha kupoteza maana kama nimekosea mtapewa hizo p3 ambazo zinahitajika kwa nguvu mpaka utaratibu wa kawaida unazuiwa kwa figisu. NO REFORM NO DERBY.
Mkuu hizi dalili za kushindwa. Mshindani yoyote hawezi kufa kizembe namna hii najua hata viongozi wako huko watakua wanajutia na kile kilichobandikwa kususia mechi.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Back
Top Bottom