Hii Dharau ni mwisho, Sidhani kama kuna ya juu yake

Poa,utaacha funguo Kwa jirani au nakukuta ndani?....niandalie na kitaulo Cha kukung'utia vumbi[emoji6]
Funguo utaukuta chini ya jiwe hapa pembeni ya mlango, vitaulo vipo vya kutosha Hadi tissue paper, shughuli ushindwe ww tu yani
 
Polee!!
Kwa hiyo Hela uliyompa as a tip ni sawa kabisa ni vile umemkuta yupo na negative attitude.
 
Funguo utaukuta chini ya jiwe hapa pembeni ya mlango, vitaulo vipo vya kutosha Hadi tissue paper, shughuli ushindwe ww tu yani
Sawa,Haina shida mkuu wangu 🤜
 
Hahaha nimecheka sana. Pole sana kwa masaibu yaliyokukumba. Sio Wakenya wote wana tabia mbaya hivyo. Huyo amekosa adabu lakini tusamehe tu. Karibu Kenya siku nyingine.
 
Very dangerous
 
Ukitajirika urudi pale kula na umwachie angalau 50,000 hii ni sawa 1,000,000 ya bongo.
Yeye amekupa 500=10,000 ya bongo.
 
2 hrs behind Tz time

Nazingua nini?
Nahisi unadhani masihara ninaposema niunganishe na box.....Niko more than serious nataka nikache hii kaz inayonidumaza kiuchumi mwenzio....nataka nivae ukiume nipambanie michongo yoyote yaan.Hata wewe unaweza niajiri tu ilimradi Ilo donge nono lipo kweli....naitaka sana pesa ya jasho langu aisee 🤜
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…