Mzee Kigogo
JF-Expert Member
- Jun 3, 2018
- 9,968
- 16,680
Acha shobo mzee wa BMW X6
Tip njoo toa nchini kwetu ata mia 2 wanapokea na asante za kutosha.
Kutoa tip sio shobo, tembea kidogo duniani ufunguke akiliPoa ila acha shobo inaonekana unapenda sana kushobokea watu hasa mademu unampa hela ya soda alikuomba?
Unatakaje mnyaki wetu😳Leo hatulali eti?
Washamba wenzangu hao hawajui umuhimu wa tipKutoa tip sio shobo, tembea kidogo duniani ufunguke akili
Sio kila jasho utaliweza, majasho mengine waachie akina Dimpoz..kazi kidogo pesa mlima..upo?Nahisi unadhani masihara ninaposema niunganishe na box.....Niko more than serious nataka nikache hii kaz inayonidumaza kiuchumi mwenzio....nataka nivae ukiume nipambanie michongo yoyote yaan.Hata wewe unaweza niajiri tu ilimradi Ilo donge nono lipo kweli....naitaka sana pesa ya jasho langu aisee 🤜
Naona tunachat usiku wa mane😔Unatakaje mnyaki wetu
Kabisa tuko wawili hapaNaona tunachat usiku wa mane😔
Labda nizeeke nitakata tamaa,yaan hapa kichwa kipo vururu hata bange nitauza.Kufa kupo tuSio kila jasho utaliweza, majasho mengine waachie akina Dimpoz..kazi kidogo pesa mlima..upo?
Lala uote mamaLabda nizeeke nitakata tamaa,yaan hapa kichwa kipo vururu hata bange nitauza.Kufa kupo tu
Uchumi umekaba,Kwan nalala sikuhizi....nasubiri ifike 11 nijiandae to jobLala uote mama
Usiku mwemaLala uote mama
Dunia gani umetembea wewe? Kila kitu kinafanywa mahala pake ukichanganya wema sehem isipohitajika hiyo ni shobo na unatakiwa uache, nenda kaishi USA Kama unavyoishi bongo asubuhi amka ukamsalimie jirani uone ni ustaarabu au shoboKutoa tip sio shobo, tembea kidogo duniani ufunguke akili
Maliza kwanza mkataba wako na BM X6Nahisi unadhani masihara ninaposema niunganishe na box.....Niko more than serious nataka nikache hii kaz inayonidumaza kiuchumi mwenzio....nataka nivae ukiume nipambanie michongo yoyote yaan.Hata wewe unaweza niajiri tu ilimradi Ilo donge nono lipo kweli....naitaka sana pesa ya jasho langu aisee 🤜
Huyo achana nae bhana,mzigo umemwelemea.Fanya mambo bas😶
Mkuu mimi naheshimu mkataba,maliza tu kwanza mkataba wako kwa amani.Blaza naona umechukua tonge mdomoni [emoji1544]
Hapana mkuu,ni Ile tu unachelewachelewa🙄Ayaah! Mzigo umenishinda vipi tena au sababu ushapata Tajiri kunizidi?
Subiri kidogo nipande sauli to darHaya Niko Town Mama, tunafanyaje?