Hii dunia hii, rafiki yangu kanyang'anywa gari na mshangazi wake

Hii dunia hii, rafiki yangu kanyang'anywa gari na mshangazi wake

nipo online

JF-Expert Member
Joined
Sep 10, 2022
Posts
1,039
Reaction score
2,657
Jamaa alikuwa anatamba sana na IST mpya kabisa, apartment kali. Sasa jamaa kajichanganya alikuwa na mtu wake sahihi huyu mshangazi alikuwa anamvuna tu.

Swali langu kwenu wakuu kwanini mishangazi inapenda vijana wa makamo?
 
Jamaa alikua anatamba sana na IST mpya kabisa, apartment kali. Sasa jamaa kajichanganya alikua na mtu wake sahihi huyu mshangazi alikua anamvuna tu.

Swali langu kwenu wakuu kwanini mishangazi inapenda vijana wa makamo?
Show show mwananawane....warembo wanapenda wanaume wanajua kuchakata mbususu
 
Jamaa alikua anatamba sana na IST mpya kabisa, apartment kali. Sasa jamaa kajichanganya alikua na mtu wake sahihi huyu mshangazi alikua anamvuna tu.

Swali langu kwenu wakuu kwanini mishangazi inapenda vijana wa makamo?
Hajuandika kiume Bob kaza mnafanya vijana wote tunaokena mirenda mirenda mama Amina kabisa
 
nipo online naona kama unahitaji msaada wa kiakili.









 
Jamaa alikua anatamba sana na IST mpya kabisa, apartment kali. Sasa jamaa kajichanganya alikua na mtu wake sahihi huyu mshangazi alikua anamvuna tu.

Swali langu kwenu wakuu kwanini mishangazi inapenda vijana wa makamo?
Nije kujibu swali...
Mkuu mashangazi wanafata kitu kinaitwa non luminous flame.....

Characteristics of non luminous flame
1-Blue in colour
2-Very hot
3-Do not produce soots
 
nipo online naona kama unahitaji msaada wa kiakili.









SawA
 
Back
Top Bottom