nipo online
JF-Expert Member
- Sep 10, 2022
- 1,039
- 2,657
Mkome kujirahisishaJamaa alikua anatamba sana na IST mpya kabisa, apartment kali. Sasa jamaa kajichanganya alikua na mtu wake sahihi huyu mshangazi alikua anamvuna tu.
Swali langu kwenu wakuu kwanini mishangazi inapenda vijana wa makamo?
Show show mwananawane....warembo wanapenda wanaume wanajua kuchakata mbususuJamaa alikua anatamba sana na IST mpya kabisa, apartment kali. Sasa jamaa kajichanganya alikua na mtu wake sahihi huyu mshangazi alikua anamvuna tu.
Swali langu kwenu wakuu kwanini mishangazi inapenda vijana wa makamo?
πππ Ila duh eti sawa na kufukuzwa kaziHio ni sawa na kufukuzwa kazi hapa mjiniπ€£ mwambie akajipange vizuri.
Kwanini mkuuKatika vitu siji tumikishwa ni " kumfurahisha mwanamke"
Hajuandika kiume Bob kaza mnafanya vijana wote tunaokena mirenda mirenda mama Amina kabisaJamaa alikua anatamba sana na IST mpya kabisa, apartment kali. Sasa jamaa kajichanganya alikua na mtu wake sahihi huyu mshangazi alikua anamvuna tu.
Swali langu kwenu wakuu kwanini mishangazi inapenda vijana wa makamo?
Nilijitahidi Sana,sikuona faida.Kwanini mkuu
π π πSimlikua mnatamba hapa ndani na hiyo mishangazi juzi kati tu...βΉοΈ
Mkuu si unajua za mwizi 40Huyo rafiki ako bwabwa nini...
Inakuaje anakua mzembe hivooo
π¬π¬π¬π¬π¬π¬
Una namba ya huyo mshangazi hapo?Jamaa alikua anatamba sana na IST mpya kabisa, apartment kali. Sasa jamaa kajichanganya alikua na mtu wake sahihi huyu mshangazi alikua anamvuna tu.
Swali langu kwenu wakuu kwanini mishangazi inapenda vijana wa makamo?
Una namba ya huyo mshangazi hapa
Nije kujibu swali...Jamaa alikua anatamba sana na IST mpya kabisa, apartment kali. Sasa jamaa kajichanganya alikua na mtu wake sahihi huyu mshangazi alikua anamvuna tu.
Swali langu kwenu wakuu kwanini mishangazi inapenda vijana wa makamo?
SawAnipo online naona kama unahitaji msaada wa kiakili.
Dada yangu anaishi na bwana huu mwaka wa 4 hawajafika nyumbani kutambulishana wala kulipa mahari
Nalinda heshima katika familia mkuu Wewe umetolewa posa?www.jamiiforums.com
Pesa ngumu sana imagine kuchimba mashimo 270 ujira wa 5600 serious?
Aliye tayari na hii kazi tafadhali nikuunge mimi narudi nyumbani. Iko hivi, unaamka saa 10 usiku mnapelekwa shambani kila mfanyakazi anatakiwa ahudumie, kwa kuchimba mashimo 270 ya kupanda miti, ndipo day iingie, Chakula kipo ugali maharage hakuna Chai ila uji wa chumvi upo. Huku bush hakuna...www.jamiiforums.com
Naenda Dar kununua pikipiki used mbagala zakhiem nina kesh ya 1.2m
Mmm! Wewe jirani yangu tangu lini unayo pikipiki! Muwe na imani wizi mbaya kaka. Wewe ni kuibe una Hela Gani mkuuwww.jamiiforums.com
Polisi wamenitrack niliokota simu, kesho natakiwa kituoni
Msaada wa kisheria simu ya kuokota nakamatwa na polisi. Mama yangu aliokota simu smat phone akanipa sababu yeye Hawezi tumia nikaweka laini hapa nimepagawa, Hii imekaaje mbaya zaidi aliepoteza simu anadai kwao ilibiwa simu, TV nch 32, jiko la ges plate mbili. Je, nachomokaje katika hili...www.jamiiforums.com
Kazini kwangu ninaowasimamia hawanisikilizi, naomba ushauri
Umeleta stori juu juu sana,na utaishia kupata ushauri wa juu juu tu ambao hauwezi kukusaidia lolote. Ni vyema ukafungika wewe unasimamia nini,ni kampuni ama ofisi inayodili na nini. Then hao unaowasimamia wanafanya kazi zipi na zipi na kwa mfumo upi na jee bila wewe kuwaambia hizo kazi...www.jamiiforums.com
Nimepata Tsh. Milioni 1.3, naomba ushauri wa aina ya biashara ninayoweza kufanya
Nina hicho kiasi. Kichwani kwangu nina mawazo haya ya biashara lakini nasita ipi hasa na hizi zote nimezipata humu humu na kulingana na mazingira yangu. 1. Saloon na kuingiza movies na nyimbo. 2. Bodaboda ya million 1.2 dar napata nzuri. 3. Kinglion pikipiki dar ya lak 9. Then lak 4 nibebe balo...www.jamiiforums.com