Hii dunia ni yetu pekee na watu wote ni watumwa wetu (kumbukumbu zangu Juni 17, 2020)

Hii dunia ni yetu pekee na watu wote ni watumwa wetu (kumbukumbu zangu Juni 17, 2020)

Nataka kufahamu jambo moja,hivi wanatuona watu daraja la mwisho kwasababu ya rangi yetu au kwasababu ya umasikini wetu? Tungekuwa na uwezo wa kiuchumi kiteknolojia kuwazidi wao je bado wangeendelea kutuona watu wa daraja la chini kwasababu ya rangi yetu?
 
Kweli mkuu,niliposoma kitabu A TOWN LIKE ALICE,.nikawa na maswali why waJapan walikua na roho mbaya sana kipindi cha vita ya pili ya dunia??nikapata jibu kua jeps walikua wanaamini kua wao ndio jamii bora zaidi duniani kwamba wao pekee wanastahili kuishi,angalia hitler alichofanya,angalia palestine,angalia wakulima na wafugaji
 
Walikuwa wanaongea Kiarabu?? Au Kiingereza?? au Kiyunani?? Au Kiyahudi??(joking 😃)

Lakini si jambo rahisi kuyatekeleza hayo yote, mwanadamu kwenye jamii yuko kama harufu kwenye upepo, hatawaliki kirahisi, hasa kipindi hiki cha mapinduzi makubwa kiteknolojia.Mwanadamu hatawaliki, na hatotawalika kamwe.

Any way mwanadamu ni kiumbe mbinafsi sana asipojicontrol au kucontroliwa, it's nature.
Kuna kipindi nilipata wageni nilijikuta tu sitaki hata wavute hewa nnayovuta? Ilikuwa taabu sana na patashika, najitahidi kujicotrol tu.

Kwa hivyo huwa tunalaumu wanaofanya kwa UKUBWA, hiyo experience ilinipa kutafakari sana nafikiri nilitakiwa kujifunza jambo hili kwa mapana, mwanadamu akipata nafasi, mamlaka, uwezo huwa kiumbe cha ajabu sana.

Mungu pekee tunapompa nafasi anatufunga speed governor.

Mungu atusaidie sana.
 
Na siku za usoni kutakuwa hakuna hata haja ya Watumwa watabakia AI na waliozitengeneza.

Hii ni Planet of the Apes 👈
Mimi nipo ajenda tofauti kabisa na hiyo inayoisema..But ur right sababu kuna vikundi zaidi ya kimoja vya mwanadamu vinapambania kuimiliki dunia hii
 
Walikuwa wanaongea Kiarabu?? Au Kiingereza?? au Kiyunani?? Au Kiyahudi??(joking 😃)

Lakini si jambo rahisi kuyatekeleza hayo yote, mwanadamu kwenye jamii yuko kama harufu kwenye upepo, hatawaliki kirais, hasa kipindi hiki cha mapinduzi makubwa kiteknolojia.

Any way mwanadamu ni kiumbe mbinafsi sana asipojicontrol au kucontroliwa it's nature.
Kuna kipindi nilipata wageni nilijikuta tu sitaki hata wavute hewa nnayovuta? Ilikuwa taabu sana na patashika, najitahidi kujicotrol tu.

Kwa hivyo huwa tunalaumu wanafanya kwa UKUBWA, hiyo experience ilinipa kutafakari sana nafikiri nilitakiwa kujifunza jambo hili kwa mapana, mwanadamu akipata nafasi, mamlaka, uwezo huwa kiumbe cha ajabu sana.

Mungu pekee tunapompa nafasi anatufunga speed governor.

Mungu atusaidie sana.
Binadamu kiasili sisi ni wabinafsi
 
Kweli mkuu,niliposoma kitabu A TOWN LIKE ALICE,.nikawa na maswali why waJapan walikua na roho mbaya sana kipindi cha vita ya pili ya dunia??nikapata jibu kua jeps walikua wanaamini kua wao ndio jamii bora zaidi duniani kwamba wao pekee wanastahili kuishi,angalia hitler alichofanya,angalia palestine,angalia wakulima na wafugaji
Yeah upo sahii angalia serbia na bosinia na yemeni na DRC na somalia kwa uchache tu!!
 
Dunia Iko hivyo na itaendelea kuwa hivyo Kuna watu wao wanajiona wamezaliwa Ili kufanya domination Kwa wengine, hii imeambukiza Dunia nzima. Kuna watu au jamii hujikuta wao ndio noble race au master race kuliko wengine wote duniani, hii mentality ndiyo imeharibu hii dunia, seek for domination and supremacy. Na kuambukiza hadi katika local regions huku afrika, gawa uwatawale.

Kule Asia wale wahan wanajikuta wao ni watu bora sana kushinda wengine, Bhutan (India) wale wahindi weupe wa kaskazini hujikuta ni bora kuliko wenzao wa kusini. Japan nayo walijiona wao ni bora kuliko majiran zao wote, ujerumani nayo Hitler alitengeneza mentality yakuwa wao ni master race hivyo dunia nzima na watu wake ni takataka, Kuna wazungu hasa wale blonde hair, blue eye, hujiona wao ndio race yenye hadhi ya juu kuliko zote duniani hujiona kama royal bloodline vile, ulaya wafalme wengi na ndugu zao wapo hivyo ni blonde hair, blue eye basi ndo hujiona bora kuliko yeyote, all reasons behind ni supremacy and domination.

Pawns ndo sisi, bahati mbaya au nzuri jamii za kiafrika nyingi hazina hii mentality ya kutoka twende tukatawale na kudominate race nyingine, wewe angalia popote alipo mzungu lazima akudominate direct au indirect Kwa kukutengenezea mazingira ya kukufanya wewe umtegemee yeye bila hata kujitambua au kujifahamu kama ni kamchezo aidha umtegemee Kwa mawazo, njia, ushauri, fedha, mali nk.

Ili uishi kwa raha lazima higher domination iwepo na ndo mvurugano unapoanza maana lazima uue, upore, uibe, uchonganishe nk hii ndo mentality ya jamii za wenzetu kwa kutumia upumbavu wetu Africans tulionao.
 
S
Nilibahatika kuhudhuria kwa njia ya video za kupandikiza kijasusi na kwa kificho kama mtafiti wa dini za binadamu na akili za binadamu na utashi wa kibinadamu na hulika za binadamu majadiliano ya kikundi kimoja cha itikadi za kidini na kisiasa cha wafuasi wa juu kivyeo ndani ya chama hicho. Na kikao kilikua kirefu ila maazimio yao yalikua kama yafuatayo:

1: Hakuna kushirikiana kujenga himaya za kisiasa na jamii za watu wasio wa jamii yetu kwa sababu kiasili wao ni vizazi vya watumwa.

2: Ngozi yetu ndio ngozi bora kuliko jamii yoyote na tuna haki ya kutawala dunia nzima na kuzifanya jamii nyingine vijakazi na watumwa.

3: Asiyefuatisha mitizamo yetu na tamaduni zetu hafai hata kua mtumwa auawe.

4: .Haki ya kuwafanya wengine watumwa ni yetu pekee kwa sababu ya ubora wa rangi na ngozi yetu

5: Dunia nzima ni haki yetu kuimiliki na ni haki yetu kuwalazimisha watu wengine wafuate mitazamo yetu na itikadi zetu na utaratibu wa maisha yetu.

6: Wapinzani wetu wakuu wametuwahi kwa ushawishi wa mda mrefu ila tutumie nguvu kuuondoa bila majadiliano.

7: Sisi ndio jamii bora duniani hivyo tusiruhusu jamii duni ziingize damu katika jamii yetu.

8: Watu wa jamii zote duniani ni watumwa wetu hivyo tujitahidi kupoteza tamaduni zao na lugha zao na kuwapandikiza lugha na ushawishi na tamaduni zetu ili tuvifute vizazi vyao baada ya milenia moja.

9:Imani ndio njia pekee ya kukusanya wafuasi wa kutufanyia kazi zetu na tuwatumie kama madaraja ya kufikia malengo yetu.

Hayo ni malengo tisa ya wafuasi wa kikundi hicho na mikakati yao ya kuitawala dunia baada ya miaka elfu moja kuanzia 2020 na wamejipanga kuitimiza kwa gharama yoyote ile.Baada ya kikao kile na wao viongozi kujipangia majukumu nikahitimisha kitu kimoja katika utafiti wangu wa akili za binadamu na mapokeo yao.

Binadamu wengi duniani wa madaraja tofauti ya akili yanayopelekea kua na maadhimio na maoni na maamuzi ya nje ya ubinadamu.Hainiingii akili kujiharasishia kuua au kumfanya mtumwa binadamu mwenzio kwa sababu ya rangi yake au tamaduni yake au imani yake na wewe kujipa hadhi ya kuhozi maisha yake na kumpangia namna ya kuishi.

Hivi mpaka karne hii kumbe kuna binadamu wana fikira za kujiona wao ni bora kuliko wengine na hii itapelekea migogoro katika hii dunia kutokuisha.Nimejaribu kufuatilia utekelezaji wa maadhimio ya kikao kile na nimeona sehemu mbalimbali duniani yanafanyiwa kazi ili kuja kutoa matokeo ya mda mrefu ujao.

Wakati binadamu mengine wanapenda amani basi kuna binadamu wana mikakati ya kuwatawala wengine katika nyanja zote. Wasiwasi wangu ni kwa jamii zetu wabantu maana naona ndio kama tutakua wahanga wakubwa wa dhahama kama hizi kwa sababu hatujitambui na tumekataa kujitambua kwa makusudi kabisa.

Wakati wewe unapenda amani basi ujue kuna watu duniani hawapendi amani.Wakati wewe unapenda usawa basi ujue kuna watu duniani hawapendi usawa.Wakati wewe unapenda umoja basi ujue kuna watu duniani hawapendi umoja.

Wakati wewe unapenda binadamu wenzio basi ujue kuna binadamu wanakutazama wewe kama mtumwa au kijakazi au mtu wa daraja la chini,kwa sababu tu ya rangi yako ya ngozi na imani yako na asili yako.

Siwezi kuhitimisha kwa kusema binadamu ni wenye mapungufu ila naweza kuhitimisha kwa kusema binadamu wana utashi tofauti tofauti katika hii dunia.
Sio kwamba hicho kikundi chenu ndio CCM yenyewe?? Maana wanavyotufanyia ni sawa na hayo hayo.
 
Ili uishi kwa raha lazima higher domination iwepo na ndo mvurugano unapoanza maana lazima uue, upore, uibe, uchonganishe nk hii ndo mentality ya jamii za wenzetu kwa kutumia upumbavu wetu Africans tulionao.
Wazungu manawasingizia......wale waliokuwa wanatembea na Noah Nyeusi kipindi cha Yule Bwnaa walitumwa na Ngozi nyeupe?

Africa mnatawaliwa kwa ujinga wenu wenyewe
 
Up
Dunia Iko hivyo na itaendelea kuwa hivyo Kuna watu wao wanajiona wamezaliwa Ili kufanya domination Kwa wengine, hii imeambukiza Dunia nzima. Kuna watu au jamii hujikuta wao ndio noble race au master race kuliko wengine wote duniani, hii mentality ndiyo imeharibu hii dunia, seek for domination and supremacy. Na kuambukiza hadi katika local regions huku afrika, gawa uwatawale.

Kule Asia wale wahan wanajikuta wao ni watu bora sana kushinda wengine, Bhutan (India) wale wahindi weupe wa kaskazini hujikuta ni bora kuliko wenzao wa kusini. Japan nayo walijiona wao ni bora kuliko majiran zao wote, ujerumani nayo Hitler alitengeneza mentality yakuwa wao ni master race hivyo dunia nzima na watu wake ni takataka, Kuna wazungu hasa wale blonde hair, blue eye, hujiona wao ndio race yenye hadhi ya juu kuliko zote duniani hujiona kama royal bloodline vile, ulaya wafalme wengi na ndugu zao wapo hivyo ni blonde hair, blue eye basi ndo hujiona bora kuliko yeyote, all reasons behind ni supremacy and domination.

Pawns ndo sisi, bahati mbaya au nzuri jamii za kiafrika nyingi hazina hii mentality ya kutoka twende tukatawale na kudominate race nyingine, wewe angalia popote alipo mzungu lazima akudominate direct au indirect Kwa kukutengenezea mazingira ya kukufanya wewe umtegemee yeye bila hata kujitambua au kujifahamu kama ni kamchezo aidha umtegemee Kwa mawazo, njia, ushauri, fedha, mali nk.

Ili uishi kwa raha lazima higher domination iwepo na ndo mvurugano unapoanza maana lazima uue, upore, uibe, uchonganishe nk hii ndo mentality ya jamii za wenzetu kwa kutumia upumbavu wetu Africans tulionao.
Upo sahii kabisa ndugu
 
Dini kwa Mwenyezi Mungu ni moja tu, Uislam.

Uislam hauna safu za uongozi (hierarchy).

Uislam upo kwa ajili ya watu wote bila kubaguwana. Kwa Mwenyezi Mungu mbora kati yetu ni mcha Mungu tu.

Ukiona au ukisema kuna dini nyingine, basi hiyo ni ya upeo wa kibinadam siyo kwa Mwenyezi Mungu.

Unangoja nini kuwa Muislam?
 
Dini kwa Mwenyezi Mungu ni moja tu, Uislam.

Uislam hauna safu za uongozi (hierarchy).

Uislam upo kwa ajili ya watu wote bila kubaguwana. Kwa Mwenyezi Mungu mbora kati yetu ni mcha Mungu tu.

Ukiona au ukisema kuna dini nyingine, basi hiyo ni ya upeo wa kibinadam siyo kwa Mwenyezi Mungu.

Unangoja nini kuwa Muislam?
Dini ya waarabu kinachokupeleka mbinguni sio dini
 
Back
Top Bottom