Hii dunia ni yetu pekee na watu wote ni watumwa wetu (kumbukumbu zangu Juni 17, 2020)

Hii dunia ni yetu pekee na watu wote ni watumwa wetu (kumbukumbu zangu Juni 17, 2020)

Sana tena, kupita maelezo ndiyo maana mnashindwa kuzijibu hoja za "kichwa chafu".
Siku zote wachunguzi wa akili za wanadamu tunaonekana tofauti ila nimeshakujibu swali lako hapo juu Dadangu mpendwa na nikakupa ushahidi wa kihistoria.
 
Mpendwa Dadangu Nimeshakujibu kila kitu kuhusu matabaka ndani ya uislamu hapo juu
Hakuna matabaka ndani ya Uislam, unajisumbuwa tu.

Nimekuuliza maswali umeshindwa kujibu hata moja. You are too low kujiita mtafiti wa historia.

Uende ukatafute matabaka ya Uislam na Qur'an ambayo ni mwongozo wa elimu ya Kiislam upo, huijuwi. Unaogopa hata kuisoma.

Jibu maswali yangu huko juu, sitaki porojo zako au za mjombako, ukiongea kuhusu Uislam uongee kutoka kwenye Uislam, siyo wako huo wa kusadikika.

You are simply an amateur (wa mchangani wewe). Kafanye homework yako vizuri au kadanganyane na mapoyoyo wenzako huko.

Jifunze Uislam kupitia Qur'an:

Qur'an 3:103.
Na shikamaneni kwa Kamba ya Mwenyezi Mungu nyote pamoja, wala msifarikiane. Na kumbukeni neema ya Mwenyezi Mungu iliyo juu yenu: vile mlivyo kuwa nyinyi kwa nyinyi maadui naye akaziunganisha nyoyo zenu; kwa neema yake mkawa ndugu. Na mlikuwa ukingoni mwa shimo la Moto, naye akakuokoeni nalo. Namna hivi Mwenyezi Mungu anakubainishieni Ishara zake ili mpate kuongoka. 103
 
Hakuna matabaka ndani ya Uislam, unajisumbuwa tu.

Nimekuuliza maswali umeshindwa kujibu hata moja. You are too low kujiita mtafiti wa historia.

Uende ukatafute matabaka ya Uislam na Qur'an ambayo ni mwongozo wa elimu ya Kiislam upo, huijuwi. Unaogopa hata kuisoma.

Jibu maswali yangu huko juu, sitaki porojo zako au za mjombako, ukiongea kuhusu Uislam uongee kutoka kwenye Uislam, siyo wako huo wa kusadikika.

You are simply an amateur (wa mchangani wewe). Kafanye homework yako vizuri au kadanganyane na mapoyoyo wenzako huko.

Jifunze Uislam kupitia Qur'an:

Qur'an 3:103.
Na shikamaneni kwa Kamba ya Mwenyezi Mungu nyote pamoja, wala msifarikiane. Na kumbukeni neema ya Mwenyezi Mungu iliyo juu yenu: vile mlivyo kuwa nyinyi kwa nyinyi maadui naye akaziunganisha nyoyo zenu; kwa neema yake mkawa ndugu. Na mlikuwa ukingoni mwa shimo la Moto, naye akakuokoeni nalo. Namna hivi Mwenyezi Mungu anakubainishieni Ishara zake ili mpate kuongoka. 103
Dadangu Faizah nimekupa mpaka mifano ya Zenjibar na akina Seyid Said na Seyid Majid na Seyid Barghash na waungwana na washenzi,,uliisoma na kuelewa matabaka ya jamii hizo za kiislamu ukanda huu wa afrika mashariki...Uliisoma kwa umakini dadangu????
NB:Wajomba zangu wa ujiji akina Abdul Maleek al Majid na Salum Mandira na wengineo ni wabantu walioacha tamaduni zao za kimanyema na kuchukua utamaduni wa kiislamu na majina ya kiarabu sidhani kama hapa itakua vyema kuwahusisha.
 
Na hawa jamaa wanakawaida ya kurithisha maarifa kizazi hadi kizazi tofauti na waafrika kwamba likipita limepita, wajao watajijua wenyewe. Hakika watafanikiwa katika malengo yao hata baada ya vizazi elfu
Upo sahii kaka
 
Nilibahatika kuhudhuria kwa njia ya video za kupandikiza kijasusi na kwa kificho kama mtafiti wa dini za binadamu na akili za binadamu na utashi wa kibinadamu na hulika za binadamu majadiliano ya kikundi kimoja cha itikadi za kidini na kisiasa cha wafuasi wa juu kivyeo ndani ya chama hicho. Na kikao kilikua kirefu ila maazimio yao yalikua kama yafuatayo:

1: Hakuna kushirikiana kujenga himaya za kisiasa na jamii za watu wasio wa jamii yetu kwa sababu kiasili wao ni vizazi vya watumwa.

2: Ngozi yetu ndio ngozi bora kuliko jamii yoyote na tuna haki ya kutawala dunia nzima na kuzifanya jamii nyingine vijakazi na watumwa.

3: Asiyefuatisha mitizamo yetu na tamaduni zetu hafai hata kua mtumwa auawe.

4: .Haki ya kuwafanya wengine watumwa ni yetu pekee kwa sababu ya ubora wa rangi na ngozi yetu

5: Dunia nzima ni haki yetu kuimiliki na ni haki yetu kuwalazimisha watu wengine wafuate mitazamo yetu na itikadi zetu na utaratibu wa maisha yetu.

6: Wapinzani wetu wakuu wametuwahi kwa ushawishi wa mda mrefu ila tutumie nguvu kuuondoa bila majadiliano.

7: Sisi ndio jamii bora duniani hivyo tusiruhusu jamii duni ziingize damu katika jamii yetu.

8: Watu wa jamii zote duniani ni watumwa wetu hivyo tujitahidi kupoteza tamaduni zao na lugha zao na kuwapandikiza lugha na ushawishi na tamaduni zetu ili tuvifute vizazi vyao baada ya milenia moja.

9:Imani ndio njia pekee ya kukusanya wafuasi wa kutufanyia kazi zetu na tuwatumie kama madaraja ya kufikia malengo yetu.

Hayo ni malengo tisa ya wafuasi wa kikundi hicho na mikakati yao ya kuitawala dunia baada ya miaka elfu moja kuanzia 2020 na wamejipanga kuitimiza kwa gharama yoyote ile.Baada ya kikao kile na wao viongozi kujipangia majukumu nikahitimisha kitu kimoja katika utafiti wangu wa akili za binadamu na mapokeo yao.

Binadamu wengi duniani wa madaraja tofauti ya akili yanayopelekea kua na maadhimio na maoni na maamuzi ya nje ya ubinadamu.Hainiingii akili kujiharasishia kuua au kumfanya mtumwa binadamu mwenzio kwa sababu ya rangi yake au tamaduni yake au imani yake na wewe kujipa hadhi ya kuhozi maisha yake na kumpangia namna ya kuishi.

Hivi mpaka karne hii kumbe kuna binadamu wana fikira za kujiona wao ni bora kuliko wengine na hii itapelekea migogoro katika hii dunia kutokuisha.Nimejaribu kufuatilia utekelezaji wa maadhimio ya kikao kile na nimeona sehemu mbalimbali duniani yanafanyiwa kazi ili kuja kutoa matokeo ya mda mrefu ujao.

Wakati binadamu mengine wanapenda amani basi kuna binadamu wana mikakati ya kuwatawala wengine katika nyanja zote. Wasiwasi wangu ni kwa jamii zetu wabantu maana naona ndio kama tutakua wahanga wakubwa wa dhahama kama hizi kwa sababu hatujitambui na tumekataa kujitambua kwa makusudi kabisa.

Wakati wewe unapenda amani basi ujue kuna watu duniani hawapendi amani.Wakati wewe unapenda usawa basi ujue kuna watu duniani hawapendi usawa.Wakati wewe unapenda umoja basi ujue kuna watu duniani hawapendi umoja.

Wakati wewe unapenda binadamu wenzio basi ujue kuna binadamu wanakutazama wewe kama mtumwa au kijakazi au mtu wa daraja la chini,kwa sababu tu ya rangi yako ya ngozi na imani yako na asili yako.

Siwezi kuhitimisha kwa kusema binadamu ni wenye mapungufu ila naweza kuhitimisha kwa kusema binadamu wana utashi tofauti tofauti katika hii dunia.
Wasomali na waarabu ndo akili zao hizi
 
Hakuna matabaka ndani ya Uislam, unajisumbuwa tu.

Nimekuuliza maswali umeshindwa kujibu hata moja. You are too low kujiita mtafiti wa historia.

Uende ukatafute matabaka ya Uislam na Qur'an ambayo ni mwongozo wa elimu ya Kiislam upo, huijuwi. Unaogopa hata kuisoma.

Jibu maswali yangu huko juu, sitaki porojo zako au za mjombako, ukiongea kuhusu Uislam uongee kutoka kwenye Uislam, siyo wako huo wa kusadikika.

You are simply an amateur (wa mchangani wewe). Kafanye homework yako vizuri au kadanganyane na mapoyoyo wenzako huko.

Jifunze Uislam kupitia Qur'an:

Qur'an 3:103.
Na shikamaneni kwa Kamba ya Mwenyezi Mungu nyote pamoja, wala msifarikiane. Na kumbukeni neema ya Mwenyezi Mungu iliyo juu yenu: vile mlivyo kuwa nyinyi kwa nyinyi maadui naye akaziunganisha nyoyo zenu; kwa neema yake mkawa ndugu. Na mlikuwa ukingoni mwa shimo la Moto, naye akakuokoeni nalo. Namna hivi Mwenyezi Mungu anakubainishieni Ishara zake ili mpate kuongoka. 103
Wanaouliwa kule sudani ni kina nani??
we bibi una kichaa cha dini
 
Back
Top Bottom