Hii dunia ni yetu pekee na watu wote ni watumwa wetu (kumbukumbu zangu Juni 17, 2020)

Kimsingi Hili lipo hata bila kuangalia hivyo vikundi vya Kisiasa na dini ila hata kwenye maisha ya kawaida mtu akiwa na kauwezo kidogo anataka kulambwa miguu,kunyenyekewa so Iko namna hiyo.

Huko kwingine ni muendelezo.ila ni Asili ya ubinafsi ya binadamu.
 
Uislamu unazo safu za uongozi na ndio maana waanzilishi wake walikua na watumwa.Wanazuoni wa kiarabu na kiislamu walikua wanawaita wabantu au zenji abar kua ni watu weusi wa daraja la chini na wakiwajumuisha humo waamor na wanubi na wahabeshi na wabantu.Madaraja yalikuepo ndio maana walijiwekea utaratibu wa kuchukua vijakazi ili kuzalisha vizazi chotara na ilikua ni marufuku mtu wa daraja la chini ambalo lilijumuisha watumwa weusi kuoa kwao au kupata hadhi kama yao"""WALIJIITA RANGI YA MTUME NA HADHI ILIYOTUKUKA""".Hata wabantu waliobadili dini na kuacha dini za asili na kua waislamu bado walikua jamii ya watu wa daraja la chini na mfano mzuri ni kisiwa cha Zenjibar chini SEYYID SAID NA SEYYID MAJID NA SEYYID BARGHASH
Ambao wote ni wakoloni wa kiislamu katika ukanda wa afrika mashariki.
Hakuna mfumo wa dini yoyote duniani usiokua na matabaka.Sasa sijui dada Faizah unaijua historia ya wanadamu wa karne kumi na saba zilizopita au????
 
Umefafanua vizuri mkuu
 
Mikopo ushoga,dini, kwa haya wamefanikiwa sana ahsante mkuu
Upo sahii mkuu ila sasa hapa watu waga wanakosea au wanajisahaulisha kimakusudi kitu kimoja wanawalenga wazungu tu na kusahau jamii za waarabu na wayahudi ambazo zote zina influence kubwa katiba bara africa.
Mikopo inatolewa na jamii zote hizo sio wazungu tu peke yake na tabia kama za ushoga walizileta africa watu wa jamii za nje huku kwetu,ambazoni za wazungu na wahindi na waarabu
 
Kwa sisi wataalamu wa saikolojia ya binadamu tunaona na ipo wazi uislamu ni ukoloni wa kiarabu..Kuanzia lugha inayotumika na mavazi yanayoutambulisha mpaka aina ya kuishi na utamaduni wa kufikiri.
Mfano mzuri ni wabantu wa Zenjbar walijinasibisha na uislamu na uarabu mpaka kufikia kuwaita wabantu wa bara WASHENZI na wao wakijiita WAUNGWANA ili kujinasibisha na WAARABU...
NB: USIPOJUA ULIPOTOKA HUWEZI KUJUA UNAPOKWENDA FAIZA
 
Huna utaalam wa Saikolijia wa kuwazidi Waislam walioianzisha fani hiyo.

Kumbuka hilo.
 
Huna utaalam wa Saikolijia wa kuwazidi Waislam walioianzisha fani hiyo.

Kumbuka hilo.
Waislamu walioanzisha hiyo fani ni binadamu wa kawaida waliokua na mapokeo ya mafundisho ya wanajimu wa waajemi wa kale na wagiriki wa kale.
NB:Kumbuka saikolojia za dini za mwanadamu zina mapungufu sababu zipo ndani ya mwili na sio nje ya mwili.WANASAIKOLOJIA TUNAJUA HILO.
NB:USIPOJUA ULIPOROKA HUWEZI KUJUA UNAPOKWENDA
 
Huna utaalam wa Saikolijia wa kuwazidi Waislam walioianzisha fani hiyo.

Kumbuka hilo.
Nilichokieleza kuhusu matabaka ya kijamii ndani ya imani kiislamu ni sahii kabisa...
Nadhani wewe sio mwanazuoni wa dini ya kiislamu na hujui maisha na tamaduni na mapokeo ya imani ya kiislamu.Ndio maana ukasema uislamu hauna matabaka..
NB:USIPOJUA ULIPOTOKA HUWEZI KUJUA UNAPOKWENDA
 
Hayo matabaka uliyaanzisha wewe au mjomba'ko? Au uliisoma Qur'an ikakufundisha matabaka ya Uislam?

Uislam ni mmoja tu, Qur'an ni moja tu.

Imebidi nicheke tu. Yaani wewe uujuwe Uislam na useme upo sahihi kuliko Waislam wenyewe?

Tupe ushahidi wako wa kuwa "sahii kabisa".

Si unakijuwa kitabu kinachoitwa Qur'an ambacho ndiyo muongozo wa kila Muislam?

Tunasubiri.
 
Dadangu mpendwa Faiza wewe ulisema dini ya kiislamu haina matabaka nikakujibu vizuri tu kwa maelezo yanayojitosheleza..
Ebu rudia kusoma maelezo yangu toka mwanzo nilipoanza kukujibu utanielewa na pia ni vizuri kutumia lugha za staha bila matusi au jazba kujibu hoja kama msomi na mchambuzi anayeheshimika na jamii inayomzunguka
NB: HII MADA SIYO YA KIDINI BALI TUNAZUNGUMZIA MATENDO NA HULKA HALISI ZA BINADAMU KUPITIA RANGI,JAMII,DINI,SIASA NA UTAWALA KATIKA KUTAKA KUKANDAMIZA WENGINE
 
Hapana, hapo ndipo unapoonesha kutouelewa Uislam.

Ndani ya Qur'an imeongelewa sana "nafs", hiyo ndiyo saikolijia yenyewe. Kaisome kijana, utafaidika sana.
 
Nilikusoma sana, nikakuuliza, sasa badala ya kujibu nilichokuuliza unaleta porojo. Jikumbushe,nilikuuza hivi:

Hayo matabaka uliyaanzisha wewe au mjomba'ko? Au uliisoma Qur'an ikakufundisha matabaka ya Uislam?

Uislam ni mmoja tu, Qur'an ni moja tu.

Imebidi nicheke tu. Yaani wewe uujuwe Uislam na useme upo sahihi kuliko Waislam wenyewe?

Tupe ushahidi wako wa kuwa "sahii kabisa".

Si unakijuwa kitabu kinachoitwa Qur'an ambacho ndiyo muongozo wa kila Muislam?

Tunasubiri.
 
Hapana, hapo ndipo unapoonesha kutouelewa Uislam.

Ndani ya Qur'an imeongelewa sana "nafs", hiyo ndiyo saikolijia yenyewe. Kaisome kijana, utafaidika sana.
Dadangu mpendwa umeelewa nilichokujibu kuhusu huo uislamu ulioanzishwa na waarabu wa jangwani ambao ni binadamu wa kawaida kabisa kama wewe na walikua na tamaduni zao na utashi wao.Dini ni zao za utashi wa binadamu
NB: NA UMEELEWA MIFANO NILIYOKUPA HASA ZENJIBAR KATIKA MILIKI ZA SEYID SAID NA SEYID MAJID NA SEYID BARGHASH.
 
Dadangu uzuri waga historia haijifichi na nikakupa mifano halisi kuhusu matabaka ndani ya jamii za kiislamu.Nimekuelezea vizuri pale mwanzoni nilipojibu swali lako
 
Dadangu mpendwa mimi kama mchambuzi wa historia ya mwanadamu.Nimekuelezea vizuri hapo juu kuhusu waanzilishi wa matabaka ndani ya jamii hizo zilizoutambulisha uislamu..
Uzuri wa historia ni kwamba waga haifutiki.
 
Dadangu mpendwa mimi kama mchambuzi wa historia ya mwanadamu.Nimekuelezea vizuri hapo juu kuhusu waanzilishi wa matabaka ndani ya jamii hizo zilizoutambulisha uislamu..
Uzuri wa historia ni kwamba waga haifutiki.
Naona unaendeleza porojo zisizo na mpango. Narudia:

Nilikusoma sana, nikakuuliza, sasa badala ya kujibu nilichokuuliza unaleta porojo. Jikumbushe,nilikuuza hivi:

Hayo matabaka uliyaanzisha wewe au mjomba'ko? Au uliisoma Qur'an ikakufundisha matabaka ya Uislam?

Uislam ni mmoja tu, Qur'an ni moja tu.

Imebidi nicheke tu. Yaani wewe uujuwe Uislam na useme upo sahihi kuliko Waislam wenyewe?

Tupe ushahidi wako wa kuwa "sahii kabisa".

Si unakijuwa kitabu kinachoitwa Qur'an ambacho ndiyo muongozo wa kila Muislam?

Tunasubiri.
 
kichwa kichafu
 
Mpendwa Dadangu Nimeshakujibu kila kitu kuhusu matabaka ndani ya uislamu hapo juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…