Hii dunia ni yetu pekee na watu wote ni watumwa wetu (kumbukumbu zangu Juni 17, 2020)

Sana tena, kupita maelezo ndiyo maana mnashindwa kuzijibu hoja za "kichwa chafu".
Siku zote wachunguzi wa akili za wanadamu tunaonekana tofauti ila nimeshakujibu swali lako hapo juu Dadangu mpendwa na nikakupa ushahidi wa kihistoria.
 
Mpendwa Dadangu Nimeshakujibu kila kitu kuhusu matabaka ndani ya uislamu hapo juu
Hakuna matabaka ndani ya Uislam, unajisumbuwa tu.

Nimekuuliza maswali umeshindwa kujibu hata moja. You are too low kujiita mtafiti wa historia.

Uende ukatafute matabaka ya Uislam na Qur'an ambayo ni mwongozo wa elimu ya Kiislam upo, huijuwi. Unaogopa hata kuisoma.

Jibu maswali yangu huko juu, sitaki porojo zako au za mjombako, ukiongea kuhusu Uislam uongee kutoka kwenye Uislam, siyo wako huo wa kusadikika.

You are simply an amateur (wa mchangani wewe). Kafanye homework yako vizuri au kadanganyane na mapoyoyo wenzako huko.

Jifunze Uislam kupitia Qur'an:

Qur'an 3:103.
Na shikamaneni kwa Kamba ya Mwenyezi Mungu nyote pamoja, wala msifarikiane. Na kumbukeni neema ya Mwenyezi Mungu iliyo juu yenu: vile mlivyo kuwa nyinyi kwa nyinyi maadui naye akaziunganisha nyoyo zenu; kwa neema yake mkawa ndugu. Na mlikuwa ukingoni mwa shimo la Moto, naye akakuokoeni nalo. Namna hivi Mwenyezi Mungu anakubainishieni Ishara zake ili mpate kuongoka. 103
 
Dadangu Faizah nimekupa mpaka mifano ya Zenjibar na akina Seyid Said na Seyid Majid na Seyid Barghash na waungwana na washenzi,,uliisoma na kuelewa matabaka ya jamii hizo za kiislamu ukanda huu wa afrika mashariki...Uliisoma kwa umakini dadangu????
NB:Wajomba zangu wa ujiji akina Abdul Maleek al Majid na Salum Mandira na wengineo ni wabantu walioacha tamaduni zao za kimanyema na kuchukua utamaduni wa kiislamu na majina ya kiarabu sidhani kama hapa itakua vyema kuwahusisha.
 
Na hawa jamaa wanakawaida ya kurithisha maarifa kizazi hadi kizazi tofauti na waafrika kwamba likipita limepita, wajao watajijua wenyewe. Hakika watafanikiwa katika malengo yao hata baada ya vizazi elfu
Upo sahii kaka
 
Wasomali na waarabu ndo akili zao hizi
 
Wanaouliwa kule sudani ni kina nani??
we bibi una kichaa cha dini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…